Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,705
- 107,150
A British company in Kenya doesn't mean kenyan company!
A British company in Kenya doesn't mean kenyan company!
Owned 40% by GOK, niambie kule germany mna shares ngapi?A British company in Kenya doesn't mean kenyan company!
Wapo Watz wengi wanaenda nje za nchi kwa ajili ya kazi sema hii huwa sio habari nzuri kwa nchi, ni aibu sn kwa nchi kusomesha madaktari na manesi wake kwa gharama alafu wanaenda kusaidia jamii nyingine, hii ni aibu sn japo majinga kama wewe na waziri wako mnashangilia.Wewe una chuki za kike. Kenyan nurses are sought after not just in the UK but other countries as well. I have a relative nurse working in Arkansas, left employment here in Kenya when the opportunity presented itself.
Why Kenya and not Tanzania or any other country in the region? It's about quality, self-drive and other admirable attributes that Kenyan professionals are well-known for. Wewe endelea kulia wakati watu wanaenda kupiga hela
Thread.
Kuna mtu alibisha kwamba kwa sasa Kibera ndiyo the largest slum in the world nadhani atakuwa keshaeleewa.Thread.
manesi wenu wanafanya kazi wapi nchi za nje?Wapo Watz wengi wanaenda nje za nchi kwa ajili ya kazi sema hii huwa sio habari nzuri kwa nchi, ni aibu sn kwa nchi kusomesha madaktari na manesi wake kwa gharama alafu wanaenda kusaidia jamii nyingine, hii ni aibu sn japo majinga kama wewe na waziri wako mnashangilia.
It is not just Kenya's richest square mile, it is East Africa's richest square mile😂😂jamaa kawang'ata afu akawapuliza
eti Africa's largest urban slum hapohapo kawasifia kataja kenya's richest square mile
I read somewhere that it prints currency even for some regional countries. Is this true?
Papa hapa NairobiKenya mwaprint kutokea wapi kwani?
Kumbe, nilikuwa silijui hili.
Maendeleo yanaleta karaha kwa wananchi, hawakupewa elimu kabla na kwasababu wanajiona wameendelea wanajua kila kitu.haya expressway hio tayar kumenuka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2276326
View attachment 2276327View attachment 2276328View attachment 2276329
Aisee, self service ya nguvu [emoji39]
Hii expressway hii itawamaliza.haya expressway hio tayar kumenuka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2276326
View attachment 2276327View attachment 2276328View attachment 2276329
Waafrika na Afrik kwa ujumla wantakiwa kuthamini vitu vyao, nyumbani kwao, hii kuhangaika na nchi za watu watapotea wengi.Refugees wa Kiafrika waliokuwa wanajaribu kuingia nchi ya Spain wamepigwa kama mbwa na wengi wameuwawa au kujeruhiwa vibaya. Hii imefanyika katika territory ya Spain ambayo ipo Africa karibu na Morocco. Unyama ulioje?