joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Sasa atazaliwaje Tanzania Kama wazazi hawaishi Tanzania?. Kabila na Museven walikua wanaishi majirani Sana pale Oysterbay kwa zaidi ya miaka 6, watoto wao wote waliwazaa hapo, Joseph Kabila alikua na kijiwe chake pale Magomeni mapipa.Kipindi vita ya kumuondoa Mobutu inaanza alikuwa anaishi Uganda! Joseph Kabila kusomea Tanzania au kuishi Dar hakumaanishi na baba pia!
Baada ya Museven kuwa rais Uganda 1986, na Nyerere kustaafu, Mzee Kabila Kama yeye ndiye aliyekwenda Uganda kuendeleza mapambano, ila familia yake ilibaki Tanzania, kumbuka ni rahisi kuishambulia DRC kutokea Uganda kuliko kutokea Tanzania.
Joseph Kabila anajua Kiswahili zaidi ya kifaransa, kilingala au Kiingereza, tena Kiswahili cha Kitanzania, ninakumbuka siku za mwanzo kabila baada ya kuchukua madaraka, alikua akienda kuhutubia lazima atumie wakalimani, hakua akijua lugha za huko
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app