Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 22,140
- 17,878
Hot air gossip that can't be backed up by any proof. Look Joto, you can't win an argument by just ranting. You claim Tanzania produce more health professionals yet you can't prove the claims. If you produce more nurses than Kenya, then where are they if your nurse-patient ratio per 1,000 patients still stands at a low of 0.6? We are at 1.2 ( double your figures) and you are still much concerned about us? 😃😃. You must be sick in the headNipo concern kwasababu Kenya mpo na matatizo mengi kutokana na ujinga wenu. Kwanini ninyi wakenya juzi mlifuatilia tatizo la Ngorongorio kuliko nchi yoyote Ile, Sasa kwanini unanishangaa Mimi nikiwa "concerned na Mambo ya Kenya?.
Sababu ingine ni kwamba, wakenya wengi Sana wanavuka mpaka na kuja kutafuta huduma za Afya Tanzania, hasa mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na mkoa wa Mara.
Tanzania tunazalisha Nurses na Doctors wengi kwa mwaka kuliko Kenya, miaka miwili iliyopita Tanzania tulikua tunazalisha madaktari 1200 kwa mwaka, Uganda 900 na Kenya 700 kwa mwaka(you can confirm through Google).
Muhimu zaidi ni kwamba sehemu kubwa ya Nurses na Doctors wanapata ajira, ni wale tu ambao bado hawajapata ajira ndio huruhusiwa kwenda kufanyakazi nje.
Kumbuka Kenya mlipoomba msaada wa madaktari 500 kufuatia mgomo wa madaktari huko Kenya, tulisema wale ambao hawajapata ajira, au wastaafu ndio watume barua za maombi.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
In matters physicians/doctors, you claim to produce more than us while statistical data shows you score a paltry 0.1 against Kenya's 0.2 when it comes to doctor-patient ratio per a thousand patients. Again, we've doubled your figures
Sasa hao madaktari na manesi "mnaozalisha" kutushinda wako wapi? But as usual, you and your gang will deny these figures with all your strength and might! But do we even care? 😂😂😂
About Kenyans crossing over to Tanzania, you know it was a secluded case coz it only happened during doctors' strike. It's even laughable that you are using it to base your argument on. Adios!