Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkalee Nicxie vipi mbona sikuoni tena mzee wa kuumizwa na ma slums ya Kenya mpk unalazimisha na sisi tuwe na ma slums kama yenu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Upende usipende Nairobi inaiweka Africa kwenye map kwenye masuala ya UN. Ukipinga upinge kwenye facts.
Asa mbona UN HQ Tanzania pia ipo Arusha, hii hapa 👇
16-11-28_01(0).jpg
16-11-28_02(1).jpg
16-11-28_10.jpg
un(0).jpg
2021-07-28-RC-visit-Arusha_2(0).jpg
800px-UN_International_Residual_Mechanism_for_Criminal_Tribunals,_Arusha,_Tanzania_(46421607935).jpg
ELB9qKqXYAAAAyt.jpg
 
Zimekuja kwa sababu ya usaliti wakati wenzenu wanasaidia kupata uhuru nyingi mlikua mnaona mzungu ndio bora. Nothing else
Aisee badala wewe ushukuru Kenya kwa kuhost UN headquarters on behalf of the entire African continent, wewe unatutusi kwamba vilikuja kwa sababu ya usaliti. Ujue hata bara la Asia halina UN headquarters pamoja na bara hilo kuwa nchi matata kama Japan, India na China. South America haina licha ya kuwa na nchi matata kama Brasil na Argentina.
 
Mzee wangu kakimbia [emoji23][emoji23][emoji23]
Hao dawa yao ni kupiga panapouma hakuna kumpa pumzi, unapiga panapouma akileta propaganda mwambie twende ground, wanaleta picha za juu za baadhi ya maeneo unplanned alafu wanaita slums ukimwambia twende ground tuone hizo slums anakimbia.
 
Aisee badala wewe ushukuru Kenya kwa kuhost UN headquarters on behalf of the entire African continent, wewe unatutusi kwamba vilikuja kwa sababu ya usaliti. Ujue hata bara la Asia halina UN headquarters pamoja na bara hilo kuwa nchi matata kama Japan, India na China. South America haina licha ya kuwa na nchi matata kama Brasil na Argentina.
Nyie wenye headquarters mnawakaribia kimaendeleo hao wasio na headquarters?
 
Hapo ndipo utajua utofauti wa utajiri wa Kenya na Tz, kenya wana kampuni 700 Tz zime invest only $500mil cc kampuni moja tu uliza ita invest kiasi gani. Lake oil pekee uwekezaji wake Kenya umezidi uwekezaji wa kampuni 500 za Kenya (mafundi cherehani, watengeneza sabuni na vi bank vichache) zilizowekeza Tz.
Naona wanamuhitaji hadi bakhresa 😂
 
Wabongo wakifika Nairobi hua wanaona nikama wako London. 🤣 🤣 🤣 Ona hawa leaders wao vile wanafurahia kukua kwa mall.

 
Naona wanamuhitaji hadi bakhresa [emoji23]
Hofu yangu ni kwamba hawa kina Bakhressa wakienda kule watafanya investment za kufa mtu kama walizofanya huku alafu itakuwa shida mbele, kule wasifanye investment ila wapeleke products tu, au wafanye vi investment kama wanavyofanya Wakenya huku kwetu, vi investment jua kali.
 
Hahaha Africa, Asia, South America, Carribean na Australia kuna UN Headquarters moja na ipo Nairobi. Inaitwa UNON, yaani UN Office at Nairobi. Hapo UNON kuna bodies mbili za UN ambazo zina headquarters Nairobi. UNEP (United Nations Environment programme) inayoshughulika na maswala ya mazingira. Ya pili inaitwa UN Habitat ambayo inashughulika na maswala ya nyumba na makaazi ya watu. Anna Tibaijuka ambaye ni Mtanzania alikuwa kiongozi katika UN Habitat zamani wakati ilikuwa body ndogo, lakini sasa hivi imepandishwa hadhi.
031-2019-10-03-5dsr8774.jpg


Hio yenu sio UN headquarters. Punguza bangi. Usilete battle kwenye kila kitu.
 
Aisee badala wewe ushukuru Kenya kwa kuhost UN headquarters on behalf of the entire African continent, wewe unatutusi kwamba vilikuja kwa sababu ya usaliti. Ujue hata bara la Asia halina UN headquarters pamoja na bara hilo kuwa nchi matata kama Japan, India na China. South America haina licha ya kuwa na nchi matata kama Brasil na Argentina.

Mbona wana office Maeneo mengi? Hata huko Japan, China etc.

IMG_8286.jpg

IMG_8285.jpg

IMG_8283.jpg
 
Sasa ikiwa unatumia kopo la kichina tecno na umevimba kichwa, taqo si utaliwa ukihongwa Iphone hata 7
Ushalainika mtoto, nilikwambia utalegea tu hii ndiyo JF [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom