joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Ninaweza kukuhakikishia kwamba, ukichukua pesa inayotumiwa na Kenya kuagiza bidhaa toka nje ya nchi, inazidi pesa inayotumiwa na nchi zote zinazotumia bandari ya Dar ukiacha DRC pekee.So unataka kusema kwamba dar port inayotumika na shitholes kama tanzania, burundi, congo, malawi, zambia ,zimbabwe, DRC zote zina positive balance of trade.? Unaleta majibu ya mzaha kwa mambo serious.
Ninyi wakenya hamjui ni kwa kiasi gani uchumi wa Kenya unavyotegemea imports, Kama hata raw materials from agriculture sector pia Kenya inaagiza toka nchi za nje by 80% ya mahitaji yake wakati Kenya "is an Agricultural based Economy, hiyo ni dalili kwamba mpo katika hali mbaya Sana.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app