Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 22,140
- 17,878
Hii story inakuumiza sana bongolala hadi ukaamua kuandika insha 😂 😂 😂Kuhusu suala la beggars wala usipate shida, inajulikana wazi nchi gani ni ombaomba kati ya Tanzania na Kenya, pia mkuu ni nani asiyejua kwamba Kenya ni nchi isiyowajali wananchi wake? Mamilioni ya Wakenya hawana ardhi, hawana chakula, hawajui kesho yao itakuwaje kwnn wasiwe ombaomba? Yani ombaomba gani atakuwa na uwezo wa kutoka katikati ya nchi yake aende nchi jirani? Ombaomba gani atakuwa na uwezo wa kukata pasipoti ikiwa 70% ya Wakenya hawana passport za kusafiria? Sasa hao watakuwa ombaomba au middle class?
Ukweli ni kwamba serikali ya Kenya haijali wananchi wake, 90% ya Wakenya wanaishi maisha ya kubahatisha mno, mnaweza kuona hata humu kwenye huu uzi Wakenya wa humu ambao kwao ndio kidogo wana afadhali, angalia simu tu ya maana kidogo hawawezi ku afford, humu tukileta idadi ya wakenya wenye magari kwenye huu uzi sidhani kama wanazidi wawili huo ndio ukweli, so hii inakupa taswira ya kwamba ombaomba hao ni lazima wawe Wakenya mana hata hawa walio humu pia wengi wao ni ombaomba amini kwamba.
Alarm over rise in Tanzanian beggars in Kitale - ASPECT NEWS
An alarm has been raised over a rise in cases of persons living with disabilities from Tanzania being used by some individuals as beggars in Kitale town in a get rich quick scheme. The coordinator of personas living with disabilities at the Catholic Diocese of Kitale Ms Scholastic Ingotsi said...