Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
wacha kujisumbua ukweli unabaki kuwa ukweli huna cha kutuambia
wacha kujisumbua ukweli unabaki kuwa ukweli huna cha kutuambia
sijajua ni wapi labda unisaidieunajua hapo ni wapi kweli?. afadhali hayo majengo ya residential mitaani sio huu upuzi ambao umetapakaa na kuzunguka jiji lote in 2022[emoji116] [emoji116] [emoji116] .,
View attachment 2271422
View attachment 2271426
View attachment 2271428
Halafu angalia hivyo vitofali vya udongo hapo ni aibu tupu.Haya ni majinga a.k.a majitu ya kupigwa na miradi tembo mweupe, kuna limoja hapo juu eti linasema tunaionea wivu expressway nmecheka sn, eti mm na akili zangu timamu nionee wivu mradi usio na tija? Yani nchi yangu inajenga miradi yenye tija kwa wananchi na yenye thamani kuliko miradi yao alafu nionee wivu road [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haya sasa barabara hilo hapo lishaanza kubomoka niambie tena kwamba naona wivu, daily dosage on flick [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2271114
Number mtazidi kusoma mibongolala hadi kiamawacha kujisumbua ukweli unabaki kuwa ukweli huna cha kutuambia
Hii noma hapo chini nawaona masela wamechill tu hawana habari. Walichakachua, kuna vitu si vya kufanyia mzaha maana vinaweza kugharimu maish ya watu. Usikute serikali iko kimya inasubiria la kutokea ndipo i-act [emoji24][emoji24][emoji24]Expressway imeshaanza kurudisha chenchi [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
View attachment 2271101
Hiyo picha amepost hapo is not even Nairobi. Mibongolala lakini! 😂unajua hapo ni wapi kweli?. afadhali hayo majengo ya residential mitaani sio huu upuzi ambao umetapakaa na kuzunguka jiji lote in 2022👇 👇 👇 .,
View attachment 2271422
View attachment 2271426
View attachment 2271428
Imagine ujinga kama huu ufanyike Tanzania nini kitatokea kwa mkandarasi zaidi ya kuambiwa arudie huku passport yake ikiwa imehifadhiwa sehemu salama [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Haya ni majinga a.k.a majitu ya kupigwa na miradi tembo mweupe, kuna limoja hapo juu eti linasema tunaionea wivu expressway nmecheka sn, eti mm na akili zangu timamu nionee wivu mradi usio na tija? Yani nchi yangu inajenga miradi yenye tija kwa wananchi na yenye thamani kuliko miradi yao alafu nionee wivu road [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haya sasa barabara hilo hapo lishaanza kubomoka niambie tena kwamba naona wivu, daily dosage on flick [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2271114
Elevated roads are so many in Nairobi. Tulianza kuziona wakati bado zilikuwa ndoto huko kwenu. Umewahi sikia hata moja imeanguka? Mnawashwa sana vilaza 😂 😂Hii noma hapo chini nawaona masela wamechill tu hawana habari. Walichakachua, kuna vitu si vya kufanyia mzaha maana vinaweza kugharimu maish ya watu. Usikute serikali iko kimya inasubiria la kutokea ndipo i-act [emoji24][emoji24][emoji24]
Rushwa hupofusha macho, uzalendo uwekwa kando, wizi na ufisadi, elimu mbovu ndio chanzo cha haya yote.Wachina wanawaonea sana wakunya , sijui hawana quality controllers , yaani wanachezewa sana . Tatizo wakunya wanababaikia sana ngozi nyeupe
Kabisaaa, siyo tatizo hili? Kuwa muungwana basi hapo mkandarasi amechemka...kemeeni huu ujinga utawacost one day.Rudisha school fees,
Takataka nyeusi
Iyo ni expansion joint.
Keshasema ni expansion joint, kwahiyo siyo shida hata kidogo maisha yaendelee watu waendelee kupita tu haitaleta madhara [emoji848][emoji848][emoji848][emoji849][emoji849]watakuambia kuwa hayo ni masuala ya earth quake
Shauri yenu, your Swahili is not recognized. That's why Kenyan Swahili is used all over, just like hakuna matata.nilichokiona ni mnatuharibia tu kiswahili kakitu ndiyo nini
Ninadhani ni expansion joint tu ilitokea kwa ghorafa kule underground likaanguka na kuleta madhara kidogo kwa watu, hapana shida engineers wako well organized (In Kenyan voice).Bro ni lini tena hii!!?
Majirani hii dhambi ya kuua watu wasio na hatia nachelea kusema kuna kipindi itawatafuna.
Mbona ni hatari aisee [emoji52][emoji52]Express way ya kunyaland imeanza kuanguanguka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116]
View attachment 2271464