Haya ni majinga a.k.a majitu ya kupigwa na miradi tembo mweupe, kuna limoja hapo juu eti linasema tunaionea wivu expressway nmecheka sn, eti mm na akili zangu timamu nionee wivu mradi usio na tija? Yani nchi yangu inajenga miradi yenye tija kwa wananchi na yenye thamani kuliko miradi yao alafu nionee wivu road [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haya sasa barabara hilo hapo lishaanza kubomoka niambie tena kwamba naona wivu, daily dosage on flick [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2271114