Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni sawa kabisa lakini hii theory yao tusiiache ipite hivi hivi lazima tuwajibu kiutu uzima waache huu ujinga. Wanatengeza vitu vya kijinga kuharibu image ya Taifa letu.

Watu wengi wanafuatilia hizi clip na kupata picha mbaya kwa kuonyesha kwamba watu wetu wana maisha magumu kiasi kwamba wanakimbilia Kenya kwenda kuomba omba.

Hii inaonyesha sisi tuna maisha magumu kuliko wao wakati siyo kweli..lazima tufanye kitu kukomesha huu upotoshaji.
Kuna siku nyinyi watanzania mmekubali mapungufu yenu kwenye hizi mijadala? Ni mara ngapi mumekana hadi ripoti za kimataifa zinazoweka Tanzania chini ya Kenya? Sasa hii ndio mtakubali? Mbona tushawazoea?

Unasema sio kweli mko na maisha magumu wakati ripoti za kimataifa zinasema nyinyi ndio mnaongoza kwa ufukara ukanda huu, ripoti ambayo pia mlikana kama kawaida yenu. Ni lini mtakubali mapungufu yenu kama nchi na kujua kwamba nyinyi ni taifa ambalo bado iko na changamoto kama nchi zingine nyingi za kiafrika?
 
Kuna siku nyinyi watanzania mmekubali mapungufu yenu kwenye hizi mijadala? Ni mara ngapi mumekana hadi ripoti za kimataifa zinazoweka Tanzania chini ya Kenya? Sasa hii ndio mtakubali? Mbona tushawazoea?

Unasema sio kweli mko na maisha magumu wakati ripoti za kimataifa zinasema nyinyi ndio mnaongoza kwa ufukara ukanda huu, ripoti ambayo pia mlikana kama kawaida yenu. Ni lini mtakubali mapungufu yenu kama nchi na kujua kwamba nyinyi ni taifa ambalo bado iko na changamoto kama nchi zingine nyingi za kiafrika?
Changamoto zipo sikatai. Ila nitapinga mwanzo mwisho kwamba sisi tuna maisha magumu sana kiasi kwamba watu wetu wanakuja kwenu kuomba omba mitaani. Vitu vingi vibaya vinavyoongelewa kwenu kuhusu sisi viko staged, kwa kuwa mnaambiwa kuwa ndivyo mnaamini, lakini si kweli. Nasimamia msimamo wangu huu mkuu.
 
Hatutaki maneno mengi warudisheni kwao tena muite na press kabisa mtangaze dunia nzima tujue wametokea maeneo gani ,na pia serikali yetu ijiridhishe kwamba ni Watanzania kweli, lasivyo tukianza kujibu mapigo msijeanza kimbilia UN kwenda kushitaki kama kawaida yenu [emoji2955][emoji2955][emoji2955]
Yaonekana kwamba hili swala la ombaomba limekuuma sana. Sisi sio wakatili na wenye chuki na wivu dhidi ta majirani zetu kama nyie. If the Kenyan government decides to deport them then I believe it will be done in a humane and respectable manner.
 
Mentality ya kukulia kwenye low income suburbs Ndio inakufanya uchukuie mapori. Maeneo yenye miti Mingi kwanza yana hewa safi zaidi, joto la chini, mandhari tulivu na ya kuvutia, pia yana thamani kubwa zaidi kwasababu miti ni resource. Fungua google maps uangalie satellite pictures za Oysterbay na Masaki halafu linganisha na sehemu nyingine za Dar uone utofauti. Maeneo ya matajiri yana miti mingi kuliko maeneo wanayoishi watu wenye kipato cha chini.

Pia ni reflection ya hali halisi ya Tanzania. Dar haina public park hata moja! Mji wa watu milioni saba haina green spaces kwasababu hakuna urban planning.

Mbona Matajiri kama Reginald Mengi wana nyumba “porini.” Kwa hiyo ni mentality yako ya umasikini Ndio inakusumbua.
View attachment 2272328
Hapa nakuunga mkono maana mimi ni mdau mkubwa sana wa miti, iwe natural forest au artificial forest yote ni muhimu kwasababu miti na misitu kwa ujumla ina faida nyingi. Siku zote kijani na water bodies zina mandhari nzuri sana.

Ila sentesi yako ya kwanza siikubali.
 
Yaonekana kwamba hili swala la ombaomba limekuuma sana. Sisi sio wakatili na wenye chuki na wivu dhidi ta majirani zetu kama nyie. If the Kenyan government decides to deport them then I believe it will be done in a humane and respectable manner.
Sure limeniuma sana hujadanganya niwe mkweli, iweje Watanzania wenzangu na nchi yangu idhalilishwe kwa kiwango hiki na serikali ipo kimya tu? Haioni? Kama ni kweli yenyewe ifanye mchakato iwarudishe na kuwasaidia maana tuna mfuko wa TASAF kusaidia Kaya na watu masikini.

Mpaka serikali itakaposema ni kweli ni Watanzania ,nitarudi tena kwako kusema sorry nilipotoka. Kama pesa zao zipo na hawakupata mpaka wakaamua kuondoka kwenda kuomba zitafutwe zijulikane zilikwenda wapi na watu wachukuliwe hatua kali. Uzuri sisi hatulei ujinga siku hizi.
 
Changamoto zipo sikatai. Ila nitapinga mwanzo mwisho kwamba sisi tuna maisha magumu sana kiasi kwamba watu wetu wanakuja kwenu kuomba omba mitaani. Vitu vingi vibaya vinavyoongelewa kwenu kuhusu sisi viko staged, kwa kuwa mnaambiwa kuwa ndivyo mnaamini, lakini si kweli. Nasimamia msimamo wangu huu mkuu.
Why would we stage a story/thory about Tanzania? To what benefit? Explain to me how that would help Kenya and Kenyans deal with their challenges.

Look man, Tanzania is not heaven on earth, don't expect it not to have its share of challenges. Even America has its own share of challenges to deal with.

Even right now, you still maintain that hamna maisha magumu sana while data zote za kimataifa zinasema nyinyi ndio mnaongoza kwa ufukara ukanda huu. Je, ripoti kama hizi pia zimekuwa stage-managed na Kenya? Stop blaming us for your problems man. Hata sisi pia tupo na changamoto zetu and we don't blame them on anyone
 
Sure limeniuma sana hujadanganya niwe mkweli, iweje Watanzania wenzangu na nchi yangu idhalilishwe kwa kiwango hiki na serikali ipo kimya tu? Haioni? Kama ni kweli yenyewe ifanye mchakato iwarudishe na kuwasaidia maana tuna mfuko wa TASAF kusaidia Kaya na watu masikini.

Mpaka serikali itakaposema ni kweli ni Watanzania ,nitarudi tena kwako kusema sorry nilipotoka. Kama pesa zao zipo na hawakupata mpaka wakaamua kuondoka kwenda kuomba zitafutwe zijulikane zilikwenda wapi na watu wachukuliwe hatua kali. Uzuri sisi hatulei ujinga siku hizi.
I understand your pain. Just the same way sisi pia hatufurahii tukiona wenzetu wa kaskazini wakikosa chakula sababu ya ukame and the government is not doing enough to alleviate the suffering. Sema tu serikali zetu hazitilii mkazo maswala muhimu za kitaifa.

Lakini ukweli wa mambo ni kwamba kuna watanzania wapo kwenye mitaa na barabara za Kenya kama ombaomba. Sio eti ombaomba wote ni watanzania ila majority of them are Tanzanians
 
Huyu journalist anasema kwamba Uganda iliexport gold worth $3 billion in 2019.


Hii site inasema kwamba Uganda iliexport gold worth $3.4 billion in 2020.

Sasa swali ni je hizi gold zinatokea wapi kwa maana Uganda kwa sasa hawana gold mines kubwa? Hizi gold zitakuwa zinatokea DRC. Uganda wamediscover gold mining site yenye gold ores worth $12 trillion in western Uganda juzi lakini bado hawajaanza kuichimba. Sasa sijui kwa nini Mungu katusahau sisi Kenya kwenye suala la madini. Yaani kabisa Kenya hatuna madini, isipokuwa titanium ambayo inakwisha next year. Soda ash tunayo lakini haina thamani. Anyway, DRC, Uganda na Tanzania nyote mna dhahabu kwa wingi chini ya ardhi lakini bado nyote ni masikini kutushinda. Hapo ndio kuna kizungumkuti. Mungu hawezi kupatia kila kitu.

Yah ofcoz some of the gold inatokea DRC na Burundi
 
Yani wanafanya kama kwao, wakati bongo ukienda huko mtwara kwenye buffer zone alafu unatembea ovyo bila barua ya utumbulisho kutoka kwa mwenyekiti na mjumbe utaipata vizuri
msumbiji huko wamejuta kuna kamanda wangu yupo kule alipostia video aisee JWTZ ni nuksi yaani walikuwa wanawatwanga nakuwachinja waasi kutoka msumbiji kama kuku na wamewalaza kama kuni..

ni mwendo wa vyuma tu
 
Ni sawa kabisa lakini hii theory yao tusiiache ipite hivi hivi lazima tuwajibu kiutu uzima waache huu ujinga. Wanatengeza vitu vya kijinga kuharibu image ya Taifa letu.

Watu wengi wanafuatilia hizi clip na kupata picha mbaya kwa kuonyesha kwamba watu wetu wana maisha magumu kiasi kwamba wanakimbilia Kenya kwenda kuomba omba.

Hii inaonyesha sisi tuna maisha magumu kuliko wao wakati siyo kweli..lazima tufanye kitu kukomesha huu upotoshaji.
Upotoshaji upi wakati ni kweli kuna omba omba wengi kutoka Tanzania wamejaa Nairobi wakiomba omba pesa barabarani.
 
msumbiji huko wamejuta kuna kamanda wangu yupo kule alipostia video aisee JWTZ ni nuksi yaani walikuwa wanawatwanga nakuwachinja waasi kutoka msumbiji kama kuku na wamewalaza kama kuni..

ni mwendo wa vyuma tu
Yani uko mtwara paskie tuu broo mm nawashanga wakenya wanawachekea alshabab
 
Back
Top Bottom