Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sijawahi kuona nchi imejaa wajinga kama Tz , kila utoto wanaambiwa wanafuatafuata , hakuna mmasai wa narok Ako na ngombe Tz infact wao ndio wanaleta narok areas around Eminangio Forests towards Loita Plains. Huyu Ledama yeye anajishugulisha na dairy cows si izo takataka za nyama(sahiwal,borana etc)
Sasa kelele za nini kama si mnagombea interests zenu? Umewahi ona Tanzania ikilalamika Masai kuhamishwa huko Kunyaland? Mlipowatoa Mau forest tulipiga kelele?
 
Cheki ulivyokuwa na colonial mentality yaani unamuita muafrika mwenzako negro hujui hiyo ni discrimination au wewe uko class moja na wazungu au umekuwa mnyapara wa mzungu? Alleviate mental slavery brother amasivyo utakuwa mtumwa tuu maisha yako yote.
Si poa kuitana negro, lakini pia nyie ni washenzi sana, mnakuanga busy mkituita monkey na kusema ngozi yetu ni nyeusi sana, mbona hamjiangaliii pia?
 
In africa na duniani nimetembea nchi nyingi sana na SA nimekuwa nikienda kila mara kama chooni kenya imekuwa nchi ya mwishomwisho ku visit mpaka siku moja nafika airport jamaa wa immigration aka scan passport yangu na kuniuliza wewe huwa hutembelei huku sana eh. Lakini nikajua mentality yake kichwani maana alikuwa anashangaa iweje niwe from east africa nisitembelee kenya maana kwa mtazamo wake nilijua alilishwa matango pori ya propaganda kuwa kenya ni bora kuliko nchi nyingine za EA na kwamba majirani watapenda kuja kenya little did he know kuwa nilikuja kwa lazima tuu sio hiari yangu.
Kwani they put a gun to your head[emoji1787] mimi naona ungejifichia ukiwa airport, kama ni ya mwisho mwisho mbona basi umetembea hizo maeneo zote?
 
Wewe ni mshamba wa mji wenu kwani Langata road inaanzia wapi kama sio hapo kwenye roundabout mombasa road. Na usitegemee mgeni akupe mpaka vijina vya hivyo vijiwe vyenu kama unavyolazimisha hapa.

Halafu ndio Nairobi iko na roundabout nyingi sana njia zote za kuingia mjini ni roundabout.
Wacha hasira, hakuna kitu kama langata roundabout.
 
In africa na duniani nimetembea nchi nyingi sana na SA nimekuwa nikienda kila mara kama chooni kenya imekuwa nchi ya mwishomwisho ku visit mpaka siku moja nafika airport jamaa wa immigration aka scan passport yangu na kuniuliza wewe huwa hutembelei huku sana eh. Lakini nikajua mentality yake kichwani maana alikuwa anashangaa iweje niwe from east africa nisitembelee kenya maana kwa mtazamo wake nilijua alilishwa matango pori ya propaganda kuwa kenya ni bora kuliko nchi nyingine za EA na kwamba majirani watapenda kuja kenya little did he know kuwa nilikuja kwa lazima tuu sio hiari yangu.
Tuma picha ukiwa Kenya uache porojo buana. Mimi sijawahi fika Dar-is-a-slum and I have no longing for it.
 
Ndiyo cm zao hizo, over 99% ya Wakenya wanatumia Tecno brand na wengi ni za zamani mno.
Hohoho 🤣🤣🤣 Tecno kila mahali.
Street scene, Msimbazi Street, Kariakoo, Dar-es-Salaam, Tanzania Stock  Photo - Alamy



Aerial view of Msimbazi Street and Kariakoo looking southeast, Dar es  Salaam, Tanzania Stock Photo - Alamy
 





Meli ikiwa juu ya crade baada ya kuvutwa na winch kule Kigoma!

Na huku Mv Mwanza ikiendelea kujengwa Mwanza South port!

Hivi kuna tofauti gani meli kuitwa MT na nyingine MV? Kama hapo juu !? Mwenye ufafanuzi please.
 
Sasa kelele za nini kama si mnagombea interests zenu? Umewahi ona Tanzania ikilalamika Masai kuhamishwa huko Kunyaland? Mlipowatoa Mau forest tulipiga kelele?
Wewe hata hujui ni kabila gani lilihamishwa Mau Forest. Yaani unajifanyanga mjuaji wa mambo za Kenya kumbe hujui lolote kuhusu Kenya. Wamaasai hawakuhamishwa Mau forest.
 
Ile nguruwe yenye huwa inasema Kenya haina 3 level interchange imejificha wapi?
View attachment 2269523
Achana na yule mjinga Ichoboy. Hajui kwamba the first three-level interchange ukanda huu iko pale Pangani. But because he's stupid na anapenda mabishano, he has always maintained that that's not a three-level interchange. Sijui uelewa wake wa neno "three-level" ni nini
 
Back
Top Bottom