Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya wao kitu muhimu ni malls tu


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Kujenga malls pia ni part of kujenga uchumi. Malls ni part of retail sector ya Uchumi. Wajinga tu ndio wanadhani kwamba kujenga malls hakusaidii uchumi wa nchi. Hapo ndani ya malls kutakuwa na maduka 3,000 za wafanyibiashara wadogo wadogo. Sasa hii mall pia itasaidia wafanyibiashara wadogo. Pili kutakuwa na banks na supermarket ndani ya hio mall. Pengine kutakuwa na Safaricom shop, pengine hoteli, pengine bookshop, pengine duka ya kuuza simu, na kadhalika. Sasa hii mall unataka kudanganya watu kwamba haina maana yoyote kwa uchumi wa Kenya. Wewe mambo ya uchumi huwa imekishinda kabisa.
 
Ibrahim Konate in Tanzania🇹🇿
 

Attachments

  • FB_IMG_16558976572912068.jpg
    FB_IMG_16558976572912068.jpg
    30.8 KB · Views: 22
Kujenga malls pia ni part of kujenga uchumi. Malls ni part of retail sector ya Uchumi. Wajinga tu ndio wanadhani kwamba kujenga malls hakusaidii uchumi wa nchi. Hapo ndani ya malls kutakuwa na maduka 3,000 za wafanyibiashara wadogo wadogo. Sasa hii mall pia itasaidia wafanyibiashara wadogo. Pili kutakuwa na banks na supermarket ndani ya hio mall. Pengine kutakuwa na Safaricom shop, pengine hoteli, pengine bookshop, pengine duka ya kuuza simu, na kadhalika. Sasa hii mall unataka kudanganya watu kwamba haina maana yoyote kwa uchumi wa Kenya. Wewe mambo ya uchumi huwa imekishinda kabisa.
Hii ni sawa na kusogeza huduma karibu na jamii. Mfano mtu ajenge frem za maduka, anatapata kodi, wale watakaopanga watauza bidhaa zenye uhitaji kwa wananchi, badala ya mtu kusafiri mwendo mrefu kufuata bidhaa atatumia muda mfupi. So ataokao muda na nauli ambao atautumia kufanya mambo mengine. Kwa hii naona uko sawa Tony254,labda kama nimeelewa vibaya.
 
China inamheshimu sana huyu mzee. Bila shaka huko kwao anakumbukwa mno kwenye mioyo yao.
kama sio yeye China isinge-claim her rightful place at permanent member security council! Yeye ndiye aliye-mobilize Africa, central and South America, middle east na all non aligned members kuipitisha China na kuitimua Taiwan!
 
Hii ni sawa na kusogeza huduma karibu na jamii. Mfano mtu ajenge frem za maduka, anatapata kodi, wale watakaopanga watauza bidhaa zenye uhitaji kwa wananchi, badala ya mtu kusafiri mwendo mrefu kufuata bidhaa atatumia muda mfupi. So ataokao muda na nauli ambao atautumia kufanya mambo mengine. Kwa hii naona uko sawa Tony254,labda kama nimeelewa vibaya.
Umeelewa vizuri rafiki. Malls zina manufaa mengi tu kwa uchumi. Watu kama akina joto la jiwe ambao wanaidharau mall hawaelewi malls zina manufaa mengi kwa uchumi. Kimsingi hakuna tofauti kubwa kati ya mall na soko la kariokoo isipokuwa aina ya bidhaa zinazouzwa. Soko la Kariokoo kunauzwa matunda, mboga na mambo kama hayo ila kwenye mall utakuta kila kitu kinauzwa humo. Ukitaka bookshop utaipata humo, ukitaka hoteli utaipata humo, ukitaka kununua simu au laptop utaipata humo. In fact nchi za wazungu zimepunguza sana matumiza ya masoko yaani open air market na hata vyakula vinauzwa ndani ya malls na supermarkets. Kimsingi hakuna tofauti kubwa kati ya mall na soko kwa maana hata huko Uzunguni, matunda, mboga, samaki na nyama yanauzwa ndani ya mall. Sasa hata hakuna haja ya soko. Masoko mengi yamefungwa sana huko Uzunguni. Ya mwisho ni kwamba mall inaongeza value ya ardhi ya eneo iliyojengwa. Wakati mall inapojengwa mahali fulani, value ya shamba ya eneo hilo inaongezeka kishenzi.
 
Uzuri wa hizo ni kuwa zimejengwa kwa foundation,ukuta tofali,juu kuna paa,ina tiles ndani na gypsum kwa mbali....ila upande wa Nairobi mnaishi kwenye nyumba za mbwa au nguruwe kama hivi [emoji116][emoji116]
Sasa mimi si criticise nyumba, nakuonyesha picha nimepiga mwenyewe nikiwa dar, mtu aishi kwa banda la nguruwe ama banda la farasi, ni kwa kupenda kwa mwenyezi mungu, ila we are all hustling to live better lives than we presently live,nimezunguka tz sana mimi si kama wewe naokota mapicha online
 
Sasa mimi si criticise nyumba, nakuonyesha picha nimepiga mwenyewe nikiwa dar, mtu aishi kwa banda la nguruwe ama banda la farasi, ni kwa kupenda kwa mwenyezi mungu, ila we are all hustling to live better lives than we presently live,nimezunguka tz sana mimi si k
pole sana ila nakusihi fanya kazi kwa bidii ili utoke humo mabandani,hiyo sio sehem ya kuishi binadamu mnatuaibisha sana Waafrika yaani tunaonekana kama vile sisi ni wanyama sio binadamu
 
Back
Top Bottom