Si mnasemanga Nairobi yote ni slum? 😂 Kumbe kuna sehemu zingine ambazo sio slum? I had no idea.mm nimezoom sehemu wanaita slum niakakuta huu ushuzi sasa 🤣🤣👇👇 unaeza jionea tofaut kwann mzungu awe na akili kuliko wewe
View attachment 2268728
What's that building?
Nani alikuambia hatujui dar?Nahisi labda hufahamu mimi ni mjaluo by nature mama yangu ni mtu wa kenya(k'ogello) nina ujomba na Barack Obama,mjomba wangu anafanya kazi JKIA nimeshaenda Nairobi sio chini ya mara tatu,Kisumu zaidi ya mara 7 na mombasa natarajia kwenda August.....sasa wewe endelea kukaa hapo Migori halafu uendelee kupiga domo hapa JF kuwa Nairobi au Dar ya 80-2000's ndio Dar ya 2010's-2020's...Dar inapanuka sana tena sana nina wajomba zangu uwa wakienda dar wanabaki midomo wazi hawaamini wanachokiona..........Be open minded
Wewe jamaa The best 007 huwa unasema kwamba unafanya kazi JNIA airport lakini hujui simulator ni nini? Mpaka unakataa kwamba hili dude sio simulator? Kwa hivyo hujui simulator inakaa vipi? Mzee kwani unafanya kazi ya aina gani hapo airport?Sioni simulator hapo mm au hilo dude la nyuma ndiyo flight simulator? Btw now umekubali kwamba Tz tunayo na inakuja flight simulator b737?
Kigali financial square,inajengwa na equity Kigali.Ni twin tower ya 24f,20fWhat's that building?
Hawa sio watu nahisi wana uelewa mdogo sana uwa wamekalili mambo ya kizamani bila kujua kuwa Tanzania inabadilika sana tena sanaWakati mwingine inakubidi tu ufunguke labda mtu atakuelewa kidogo [emoji16][emoji16]
Hizi ni hospitali ndogo na kubwa zimejengwa in informal settlements na county ya Nairobi under nms kupunguza msongamano kwenye hospitali kubwa za nairobi. In total ni hospitali 28 mpya na 4 refurbished. Zinarange from level 2 hadi level 5 kama hii Margaret Kenyatta hospital yenye vitanda 350R these the hospitals fools were making noises about? 16 beds hospitals?
Sasa umeskia kenya iko stagnant ama? Wewe muongi ndio una uelewa mdogo wacha kulaumu watu[emoji1787]Hawa sio watu nahisi wana uelewa mdogo sana uwa wamekalili mambo ya kizamani bila kujua kuwa Tanzania inabadilika sana tena sana
Ulaya kipindi cha baridi ndio uwa wanatoka nje ya europe,hasa waskandanavia uwa ndio kipindi cha likizo kabisa,so tutegee kuanzia des hapo kuongezeka kwa wataliiMiundombinu hasa malazi ni muhimu sana kuongezwa maana zilizopo zitajaa sana na kushindwa ku-accommodate.
Huijui dar unaiona kwenye picha tu nakusihi endelea kubaki tu hapo mabandani kama mbwa au nguruwe wa kichagaNani alikuambia hatujui dar?