Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Malls.? ๐คฃ๐คฃ๐คฃKalilie kwa choo, mji uko na malls mingi kuliko Mwanza unasema nini wewe, iko na interchange mbili. Mwanza haina ๐ ๐ ๐ ๐ ๐
Malls.? ๐คฃ๐คฃ๐คฃKalilie kwa choo, mji uko na malls mingi kuliko Mwanza unasema nini wewe, iko na interchange mbili. Mwanza haina ๐ ๐ ๐ ๐ ๐
Wishful thinker๐๐๐๐.., inauma kuona Town coverage ya Mombasa ni kubwa kuliko ya Dar is slum ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐Nmekwambia 99% ya majengo yote ya CBD Mombasa ni ya 1800s, ukiacha hayo majengo kuna residential area ambayo 40% ni nyumba za udongo, 30% ni nyumba za mabati, 20% ni guest houses, 3% middle class and the last 7% ni mageto ya wahuni na malaya wanaojiuza ukibisha nakuletea evidence.
Si wewe ndio umetaja mambo ya AC, sasa kilaza mkubwa ataitaje wengine kilazaNani kakwambia nimetaka ku debate AC humu, we kilaza

I think the restrictions all boil down to rampant terror attacks at the coast. Though hata Nairobi kuna sehemu huwezi fly drone, Muthaiga being one of themNot Mwanza, Dar's rich estates haziwezani na Nyali, in aesthetics na size, the lady didn't bring the whole Nyali as I know it, kuna sehemu mingi amewacha, u can't just walk anyhow, and photography is restricted, Afrikan Traveller alinyang'anywa camera, he didn't know Mombasa sio kama Nai, security hapana mchezo coasto., places mob u can't fly drone.,
You have a very miserable life, Nairobi inakukosesha usingizi tena unaongezea Mombasa. ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ Chunga sana usikufe na stress.Nmekwambia 99% ya majengo yote ya CBD Mombasa ni ya 1800s, ukiacha hayo majengo kuna residential area ambayo 40% ni nyumba za udongo, 30% ni nyumba za mabati, 20% ni guest houses, 3% middle class and the last 7% ni mageto ya wahuni na malaya wanaojiuza ukibisha nakuletea evidence.
Kwani majengo holela ni kwa vile watu wanajenga peke yao au kushindwa kwa serikali kupima ardhi nchi nzima? Huwezi kuzuia watu kujenga! serikali na mashirika yajenge na wakati huo huo serikali isiache kupima ardhi na kuisimamia kwa wale wanavunja mipango iliyosimamiwa ya ardhi hiyo!Umeongea vizuri kaka, ngoja niongezee na mimi kidogo.
Tukiendelea na huu utaratibu wa watu wajenge nyumba hatutafika, mashirika ya serikali kama watumishi housing, nhc jeshi, tba nk yana uwezo wa kujenga nyumba ila saa nyingine inakuwa ngumu kupata wateja sababu watu wanajijengea.
Ili kuondoa makazi holela serikali izuie kwa sasa watu kujenga then iweze she makampuni kama nhc nk yajenge nyumba kwa Kuanzia serikali ikubali hasara au nusu hasara, kwa mfano itoe bilioni 100 kila mwaka kwa tba, nhc nk wajenge nyumba kwa sharti la kuvunja sehemu zilizo hovyo kama wslivyofanya magomeni kisha wananchi walioathirika wa napata nyumba zinazobaki wanauza au kupangisha.
Tujenge maghorofa, ujenzi wa nyumba za chini sio mzuri unafanya miji inakuwa mikubwa na Hatuwezi kupeleka barabara maji na umeme.
Mfano ukijenga maghorofa 10 ya floor 10 kila moja na kila floor inachukua familia 2 maana yake jengo moja litakuwa na familia 20,majengo 10 familia 200.
Ukijenga nyumba za chini 200 utachukua eneo kubwa sana na utahitaji mitandao ya maji barabara na umeme nk.
Watu wansobomolewa nyumba kupisha miradi wasilipwe fidia ila serikali ijengwe nyumba wahamishiwe kwenye hizo nyumba, fidia ilipwe tu kama kilichohusika kwenye mradi sio nyumba ya kuishi.
Sheria za miji ziheshimiwe, si kila nyumba ilio pembeni ya barabara basi iwe na frame(s)
Kuwe na maeneo maalumu ya biashara.
Nyumba kama za wamasai handeni zinatosha kwa watu wa hali ya chini, zikijengwa kama zile 1000 kila mwaka kureplace makazi holela nazo pia zitasaidia.
Haya ni mawazo yangu, hii sehemu ya makazi Magu hskuigusa, ni Wakati Wa mama kujichukulia ujiko eneo hili.
Huyo huwa anaumianga tu hivyo siku hizi. Sijui ni hedhi zinamsumbua ๐๐Wishful thinker๐๐๐๐.., inauma kuona Town coverage ya Mombasa ni kubwa kuliko ya Dar is slum ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐
View attachment 2267486
View attachment 2267490
View attachment 2267487
View attachment 2267488
Vitu ambavyo ninavyo kwa nyumba yeye anazionea kwa basiSasa AC ni vitu za kudebate![]()
Jamaa unapambana kubadili nyeusi kuwa nyeupe, lakini wapi ๐คฃ๐คฃ๐คฃ hii energy kwanini usingaliitumia at least kwenye kutafuta hela utoke kwenye ufukara ulionao.?Wishful thinker๐๐๐๐.., inauma kuona Town coverage ya Mombasa ni kubwa kuliko ya Dar is slum ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐
View attachment 2267486
View attachment 2267490
View attachment 2267487
View attachment 2267488
Evidence zipo zinasubiri kujikuna kwako tuYou have a very miserable life, Nairobi inakukosesha usingizi tena unaongezea Mombasa.![]()
![]()
Chunga sana usikufe na stress.










Huyu kaumia vibaya sana sio utaniNmekwambia 99% ya majengo yote ya CBD Mombasa ni ya 1800s, ukiacha hayo majengo kuna residential area ambayo 40% ni nyumba za udongo, 30% ni nyumba za mabati, 20% ni guest houses, 3% middle class and the last 7% ni mageto ya wahuni na malaya wanaojiuza ukibisha nakuletea evidence.
Ebu tuoneshe ulivyo panickEvidence zipo zinasubiri kujikuna kwako tu![]()
You mean alileta picha ya Hazina Towers ikiwa bado linajengwa na kusema amepiga picha yeye mwenyewe? ๐๐๐Blame poor camera quality and did you knw hazina towers the building with the crane walimaliza kujenga kitambo![]()
Unateseka sana aiseee. ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃEvidence zipo zinasubiri kujikuna kwako tu![]()
Mara kumi ya ka Nairobi mzee Mombasa ni ushuzi, ni mji wa zamani sn.Ebu tuoneshe ulivyo panick