Leta total number of vessels plying on kisumu, usituletee vipicha vya kujiibaiiba na kujibaraguza kama mnaweza kutunishiana misuli na Tanzania kwenye hii sector, hamuwezi hata muungane na UgandaPengine we ni kipofu na hatujui, zingine tena under construction in Kisumu. Leo we mzee utaona tabu sana, ulianza na hatuna, ukaanza kulilia numbers, kidogo design sasa naona umeanza kulilia colors. 🤣 🤣 🤣
Ona Kazi safi na inayofanywa na mali safi safi. 😊
![]()
Nyef nyef ona tena zinajengewa Kenya na wakenya. 🤣🤣🤣Hamna water taxis zozote
Kaiulize serikali yako hilo swaliHuyu anamaanisha nini,Tanga ndyo nini sasa?
huyo mkenya anatabia za konokono ..Wakati wengine wakisonga mbele yeye huwa anarudi nyuma.
Ubongo wake nadhani unatumia outdated software.
Anaweza post ujinga halafu ukamuumbua cha kushangaza kesho tena atarudia.
washazoea ukabila hao na matabakatabakaHumu ndan tukiitetea mwanza twaonekana wote kwetu mwanza![]()
Sasa hizi ngalawa mbona zipo in millions for fishing in Tanzania?Nyef nyef ona tena zinajengewa Kenya na wakenya. 🤣🤣🤣
![]()
![]()
![]()
Hhii Ikulu ya Zanzibar ya Dar na Dodoma ni hii
Sasa hizi ngalawa mbona zipo in millions for fishing in Tanzania?
Sasa hizi ngalawa mbona zipo in millions for fishing in Tanzania?
Hivi ni vitu vya kawaida sana Bongo.. Nina picha nyingi mno ambazo nimepiga mwenyewe kwa mikono yangu nilikua nafkiria kuzipost humu lakini nimeona tu nipotezee niendelee kuwacheka mki brag vitu vidogo kama hivi, by the way nipo kwenye project ambayo kwasasa naifanya kuzunguukia mikoa ya kanda ya ziwa (lake zone) yote👇 hii mikoa (yenye shades za blue) Iko mbali mno kutoka Dar lakini yote ipo connected na barabara za lami safi mno, hata na zile barabara za kutoka na kuelekea to the capital of lake zone (Mwanza)🇰🇪 254 ❤️
![]()
Umeona enhee jamaa ni wapumbavu! Wakikuonyesha ferry inabeba magari kwenda visiwa vya kisumu ni-tag!Hiyo nyingine sio seabus ni patrol boat
lGeza Ulole na ndugu zake wenye wivu wanataka kutudnganya eti 2 million passengers can be transported on 5 routes using 2 water buses only. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hata hawana aibu.
View attachment 2261857
wacha kelele wewe! Mpo nyuma sana kwa water transportation! there are only 3 waterbuses! hiyo 5 million ni tangu waanze ku-operate!Geza Ulole na ndugu zake wenye wivu wanataka kutudnganya eti 2 million passengers can be transported on 5 routes using 2 water buses only. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hata hawana aibu.
View attachment 2261857
Huyo sio mzee, nashuku umemzidi miaka.Pengine we ni kipofu na hatujui, zingine tena under construction in Kisumu. Leo we mzee utaona tabu sana, ulianza na hatuna, ukaanza kulilia numbers, kidogo design sasa naona umeanza kulilia colors. 🤣 🤣 🤣
Ona Kazi safi na inayofanywa na mali safi safi. 😊
![]()
Kijana wa Tandale, kama hilo sio jengo la makamu wenu wa Rais hayo maandishi yanafanya nini hapo? Alafu tupatie basi picha ya jengo la ofisi yake kama kweli hiyo sio ofisi yake. Kama huna jibu usije na povu hapaWe pumba kweli nani kakuambia makamu wa raisi ndio anafanya kazi hapo? Hilo jengo ni la tangu 70s hapo kulikuwa na idara mojawapo ya VP office na idara ya madini na nishati miaka ya 80s. Propaganda peleka kibera.
Mwambie akuonyeshe shipyard moja dar, mombasa ina mbili.Sasa hii utasemaje, na ujue hii sio product from our biggest shipyard in SSA. Hii ni ya private investor in Mombasa. Watu wanacheza na chuma wewe unatuonyesha boat za fibre glass, ambayo hata vijana wa mtaa wanaweza unda. 🤣 🤣 🤣 🤣
![]()
![]()
Kisumu imeshinda Mwanza and Arusha in almost everything.Sikiliza nikwambie ukweli we jamaa, inawezekana Mombasa kuizid Mwanza kwenye baadhi ya vitu, lakini kwa Kisumu 😂😂 hapana, Kisumu haiwezani with neither Arusha nor Mwanza .. Kisumu ni hakuna kitu mzee