Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania tayari mna ICT sector mbovu halafu mnataka kuanza kuitoza digital tax?
 
leta evidence ya yellow seabuses zaidi ya mbili! Usituletee mitumbwi ya uvuvi unaita PAX ferries!
Pengine we ni kipofu na hatujui, zingine tena under construction in Kisumu. Leo we mzee utaona tabu sana, ulianza na hatuna, ukaanza kulilia numbers, kidogo design sasa naona umeanza kulilia colors. 🤣 🤣 🤣

Ona Kazi safi na inayofanywa na mali safi safi. 😊

May be an image of 5 people, people standing and outdoors
 
Kutoka rate ya 6-7% mpk rate ya 4-5%..
Hatutokfika kwa spidi kubwa kwa rate hii
nmesoma hii habari ..so last year tz GDP was 161.5 trillion which is 70 bil usd ....so kwa 4.7 means we will go to 73 to 74 bil usd

gdp per capital 2.79m around 1200 usd

we should be growing 7 to 10 percent for significant effects

wanadai vita ya ukraine but mm naona still we can pull 7% if we follow up na agriculture plan ya bashe..na if we can pull big mining deals...

am not worried with 4 to 5%

i know if we complete SGR Dar Mwanza na ports za ku link Congo we will have lump sum growth ..kuna project nying zinazoendelea kwa pamoja zitazotupa lump sum growth

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Wewe mbwa si uliwekewa picha ya hili jengo likiwa safi limepigwa rangi upya? But again you were told that the building is not for vice president office, umeshindwa battle unarudia kitu ambacho ushapewa na evidence kitambo kama jana ukaweka Picha ya uchafu mto msimbazi wakati ulishawekewa picha humu za kusafishwa kwake.

Wakati wengine wakisonga mbele yeye huwa anarudi nyuma.
Ubongo wake nadhani unatumia outdated software.
Anaweza post ujinga halafu ukamuumbua cha kushangaza kesho tena atarudia.
 
Ndio nilisoma, but still siwezi vumilia dharau za kukejeliwa Mwanza mbele ya tinny town kama Kisumu kwasababu naijui Mwanza vizur mno na ni ukweli uliowazi kabisa Mwanza is ahead of Kisumu every single aspect, except interchanges.. Mwanza mwenzake ni mombasa
yani hivi kwako uko very sure mwanza level yake mombasani... maajabu ya musa akiwa pamoja na firaoni

mwanza👇🏽
Screenshot_20220615-175914_Gallery.jpg
Screenshot_20220615-175923_Gallery.jpg
Screenshot_20220615-175937_Gallery.jpg
Screenshot_20220615-175945_Gallery.jpg
Screenshot_20220615-180053_Gallery.jpg




Vs



mombasani👇🏽
Screenshot_20220615-171210_Chrome.jpg
Screenshot_20220615-171154_Chrome.jpg
Screenshot_20220615-170912_Chrome.jpg
Screenshot_20220615-171007_Chrome.jpg
Screenshot_20220606-071630_Chrome.jpg
Screenshot_20220205-124614_Facebook.jpg
Screenshot_20220601-063445_YouTube.jpg
Screenshot_20220601-062935_YouTube.jpg
Screenshot_20220601-062155_YouTube.jpg
Screenshot_20220601-060301_YouTube.jpg
Screenshot_20220601-060754_YouTube.jpg
Screenshot_20220601-060925_YouTube.jpg
Screenshot_20220601-061411_YouTube.jpg
 
Sikiliza nikwambie ukweli we jamaa, inawezekana Mombasa kuizid Mwanza kwenye baadhi ya vitu, lakini kwa Kisumu 😂😂 hapana, Kisumu haiwezani with neither Arusha nor Mwanza .. Kisumu ni hakuna kitu mzee
 
Sioni aibu wapi? Ulianza na kusema hatuna water taxis, nikakupea jibu, ukarudi kusema ziko mbili pekee, nikakupiga knockout. Sasa umerudi kulia lia tena kama mtoto na we ni mzee. 🤣 🤣 🤣 🤣
Hamna water taxis zozote
 
Back
Top Bottom