Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Kutoka rate ya 6-7% mpk rate ya 4-5%..
Hatutokfika kwa spidi kubwa kwa rate hii
Hahaha
Kutoka rate ya 6-7% mpk rate ya 4-5%..
Hatutokfika kwa spidi kubwa kwa rate hii
Wewe unapenda tu kuropokwa. Heshimu miaka yako we mzee. 🤣 🤣 🤣Leta evidence ziko zaidi ya mbili!
![]()
We pumba kweli nani kakuambia makamu wa raisi ndio anafanya kazi hapo? Hilo jengo ni la tangu 70s hapo kulikuwa na idara mojawapo ya VP office na idara ya madini na nishati miaka ya 80s. Propaganda peleka kibera.Ni kweli tupo hovyo kwenye swala la public buildings. Vipi kuhusu hii ofisi ya makamu wenu wa Rais? Naona ni design ya kipekee. Jengo noma sana tena ya linapendeza kwelikweli
View attachment 2261385
And by the way, when did that ugly building receive its last coat of fresh paint?
Hata shule zetu zote vibao vinasoma TAMISEMI unataka kusema waziri anafanya kazi kwenye vyumba vya shuleOfisi ya makamu wa rais![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
😂😂 Kwahyo kwasababu mimi ni mzaliwa wa Tanga, ndio sifai kuitetea Mwanza.? Au Mwanza si Tz .?Oya wewe ulisema unatokea Tanga sasa mbona huwa unaotetea Mwanza sana hivi?
Kagame anapokea wakimbizi toka mataifa makubwa! sanction itangoja sana! Ndo maana hatuwacheleweshi na upuuzi wenyu Ngorongoro na Loliondo msije mkaja ku-claim hizo sehemu kama dalili zilivyoanza!
Hao watutsi wanaolazimisha integration FADRC walienda Eastern DRC kama wakimbizi leo hii wana guts za kuanzisha vita! Tunatoa masai wote mkose pa kufikia mbugani! Halafu tuone mkikatiza!
Kwa nini miji mingine ya TZ ikikejeliwa wewe huwa umetulia lakini Mwanza ikitajwa tu lazima uitetee? Au ndio ulisomea huko?😂😂 Kwahyo kwasababu mimi ni mzaliwa wa Tanga, ndio sifai kuitetea Mwanza.? Au Mwanza si Tz .?
Inakaa TRC wanapita humu ndani
![]()
![]()
MY TAKE
Haya madudu ya kununua vichwa viwili na mabehewa 30 (refurbished), yalifanyikaje kipindi cha malaika?
Hivi huoni aibu? Seabuses ziko mbili hiyo nyingine ni design nyingine!Wewe unapenda tu kuropokwa. Heshimu miaka yako we mzee. 🤣 🤣 🤣
![]()
![]()
![]()
Sioni aibu wapi? Ulianza na kusema hatuna water taxis, nikakupea jibu, ukarudi kusema ziko mbili pekee, nikakupiga knockout. Sasa umerudi kulia lia tena kama mtoto na we ni mzee. 🤣 🤣 🤣 🤣Hivi huoni aibu? Seabuses ziko mbili hiyo nyingine ni design nyingine!
Umeanza kulia kuhusu design sasa, baada ya kupokea kichapo ya numbers.Hivi huoni aibu? Seabuses ziko mbili hiyo nyingine ni design nyingine!
leta evidence ya yellow seabuses zaidi ya mbili! Usituletee mitumbwi ya uvuvi unaita PAX ferries!Sioni aibu wapi? Ulianza na kusema hatuna water taxis, nikakupea jibu, ukarudi kusema ziko mbili pekee, nikakupiga knockout. Sasa umerudi kulia lia tena kama mtoto na we ni mzee. 🤣 🤣 🤣 🤣
Ndio nilisoma, but still siwezi vumilia dharau za kukejeliwa Mwanza mbele ya tinny town kama Kisumu kwasababu naijui Mwanza vizur mno na ni ukweli uliowazi kabisa Mwanza is ahead of Kisumu every single aspect, except interchanges.. Mwanza mwenzake ni mombasaKwa nini miji mingine ya TZ ikikejeliwa wewe huwa umetulia lakini Mwanza ikitajwa tu lazima uitetee? Au ndio ulisomea huko?
Haha sawa bro.Ndio nilisoma, but still siwezi vumilia dharau za kukejeliwa Mwanza mbele ya tinny town kama Kisumu kwasababu naijui Mwanza vizur mno na ni ukweli uliowazi kabisa Mwanza is ahead of Kisumu every single aspect, except interchanges.. Mwanza mwenzake ni mombasa
So hapo unataka kufananisha na back up ya utalii iliyopata Tz? Kutaja jina pekee bila kuonesha ni kitu gani mtalii atavutika nacho ndio ufananishe na kutajwa mt Kilimanjaro? Unaumwa mavi wewe![]()