Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Najua humu Kuna watu mmetembea sana hapa Tanzania lakini kwa umri wangu mdogo nimewahi Ima kufanya kazi hata kwa wiki moja, au kuishi au kukanyaga kwenye mikoa yote yenye kivuli cha blue kama inavyoonekana kwenye ramani 👇 I'm very proud kwa kutembea karibu mikoa yote ya Tanzania
lake zone.jpg
central zone.jpg
northern zone.jpg
coastal zone.jpg
yo I can tell you, hakuna hata barabara moja inayounganisha Kati ya mkoa mmoja na mwingine ambayo haina lami..

Na barabara nzuri zaidi zinapatikana kaskazini (North zone) kuanzia Tanga-Kilimanjaro-Arusha-Manyara, hizi barabara ni nzuri mno zote ✅ + mazingira na hali ya hewa ya hii mikoa it's wow.! Lakini pia hii barabara ya Katoro-Runzewe & barabara kubwa ya Kahama-Runzewe-nyakanazi-Biharamulo ✅ barabara nyingine ni ile ya Mwanza-Bunda-Musoma hii barabara ni kali mno ✅.. Cc Tony254 nyie barabara zenu zipo kwenye makaratasi tu hamtuwezi
 
Sasa hii utasemaje, na ujue hii sio product from our biggest shipyard in SSA. Hii ni ya private investor in Mombasa. Watu wanacheza na chuma wewe unatuonyesha boat za fibre glass, ambayo hata vijana wa mtaa wanaweza unda. 🤣 🤣 🤣 🤣

Southern Engineering Co. Ltd (SECO) is an ISO accredited, Marine and  Offshore Engineering Company in Kenya
SECO:The marine engineering experts - CCE l ONLINE NEWS
Mambo ya maintenance hata Lake Victoria na Lake Tanganyika yanafanyika! We have more shipyards than Kunyaland!
















 
Cruise port haina hata terminal. Hizi awards zinatolewa kwa kura sio kwa merit.
Nenda kalalamike kwa waandaa tuzo mwehu wewe 😂😂 ulikua unapiga kelele zisizo na faida, Dar Port kumbe umeshawahi shinda tuzo ya Africa nzima 😂😂
 
Nenda kalalamike kwa waandaa tuzo mwehu wewe 😂😂 ulikua unapiga kelele zisizo na faida, Dar Port kumbe umeshawahi shinda tuzo ya Africa nzima 😂😂
Nionyeshe cruise terminal dar port niondoke Jf.
 
Wacha kupotosha umma. Hiyo unayokataa ndio ya Dar and here is the proof
View attachment 2261915
Ya Zanzibar inafanana hivi ila zote Misikiti tu View attachment 2261912
Architectural designs kwenye majengo yote ya ikulu za Africa kama sio za kichina, ni za kiarabu au za kizungu, sasa architectural design ya ikulu ya magogoni ni ya kiarabu, then what's the problem.? Are you crazy.? 👇 Umia vizuri
P1010598-b-615x435.jpg
us-president-george-w-bush-and-tanzanias-president-jakaya-mrisho-kikwete-walk-to-a-joint-press...jpg
4-4.jpg
ulifkiri hii ni kile kibanda chenu chenye mnaita state house.? 😂😂😂
 
Back
Top Bottom