Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ordered
20220615_070213.jpg



Delivered
kenya_sgr.jpg
 
Tutawafinya kabisa kwenye hili suala la ngorongoro. Kwanza huyu tunacheki ana subscribers wengi sana youtube.


Hao subscribers wake hawana impact yoyote na utalii wetu,njaa tupu wanamsaidia mwenyewe tu aweze kujikidhi na ujobless na njaa za kunyaland,angalia page yenye followers milioni 56 comment za watalii wajao,mtaumia sana na wivu wenu wa kijinga TZ hamuiwezi
 


Hao subscribers wake hawana impact yoyote na utalii wetu,njaa tupu wanamsaidia mwenyewe tu aweze kujikidhi na ujobless na njaa za kunyaland,angalia page yenye followers milioni 56 comment za watalii wajao,mtaumia sana na wivu wenu wa kijinga TZ hamuiwezi

Nimepitia idadi ya followers wa page ya Manchester United, wana
Twitter 31.3M
Instagram 58.6M
Facebook 75M

Sijafitilia social sites nyingine..ila hizo tatu zote Man U wamepost hio ishu ya Kilimanjaro.. effortlessly great 🇹🇿🇹🇿👏
 
Biggest port yet 50% ya cooking gas mnapitishia Tanga
Sasa how do you expect cooking gas kupitishwa kwenye port? Unataka gas iwekwe kwenye hizo containers za port ama? Reasoning ya watanzania saa zingine inatia huruma!
 
Sikulaumu naelewa nyie washamba wa South hamna city kama hii huko kwenu. Kwa hivyo sikushangai kwamba huelewi hizi cities zitendelea kujengwa kwa miaka mingi. Watch this space. Konza city is the pride of East Africa. The only city of its kind in East Africa. Huko kwenu hamna kitu kama hiki
Huyu jamaa ni msahaulifu kweli kweli, keshahau East Africa ina Dodoma the most organized City in East and Central Africa.
 
Back
Top Bottom