Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kibaki alikuwapo akaenda, sasa uhuru anaenda! dude halijakamilika!
Sikulaumu naelewa nyie washamba wa South hamna city kama hii huko kwenu. Kwa hivyo sikushangai kwamba huelewi hizi cities zitendelea kujengwa kwa miaka mingi. Watch this space. Konza city is the pride of East Africa. The only city of its kind in East Africa. Huko kwenu hamna kitu kama hiki
 
Zaidi ya kilometers 30 kutoka CBD
Tarmacked streets, Nairobi haifiki huku


Wacha ujinga. Sasa unafikiri 30 kms from Nairobi CBD sio tarmacked? Kenya inajenga 150 km of continuous dual carriageway kutoka CBD hadi town inaitwa Marua ambayo ipo 150 km from CBD. Isitoshe Naiobi ina 100 km of ring road ambayo pia ni dual carriageay. Yaani Nairobi imezungukwa na 100 km ya bypasses ambazo ni dual carriageway kwa jina Northern, Eastern, Western na Southern Bypass. Barabara hizi nne ni 100 km of dual carriageway ambayo zimeizunguka Nairobi. Nyie mnajaribu kutucopy kwa kujenga bypass kama hii Dodoma ila yetu imekamilika na inatumika na yenu ujenzi ndio umeanza. Tazama picha
download (4).jpeg


Cc Geza Ulole
 
mwonekano wa hii station na mazingira yake pemben unafanana na station ipi hapa east africa?
#ChinaMade #ChineseCulture

Wakati wame-release video za render za station za sgr Kenya nilikuwa naangalia design concepts, kuwa zina-reflect local sceneries and culture. Lakini mambo yakawa tofauti. I think wachina wanafanya bidii sana kuweka influence yao, hata kwenye architecture. Sijajua sgr ya Mwanza-Isaka watatoa renders za station lini (They should have all the drawings ready by now). Ila Ngoja tuone mambo yatakavyokuwa.
 
1100 doctors wakati itakua na less than 500 patient beds 😅😅😅😅
I usually wonder how you survive with this kind of reasoning. So Kwa maisha yako yote hujaiskia the word outpatients? Outpatients are the backbone of every hospital and they are the majority. Hospital with 100 beds can have 5,000 outpatients in a day.
 
Serikali ya kifedhuli sana hii
Magufuli alivyopiga ban safari na matumizi ya hovyo kwa watumishi wa umma walimuona mwehu, wakayarudisha kwa mbwembwe wakijiona wana akili kubwa ya uongozi kuliko Magufuli

Dakika sifuri tu tayari yameangukia pua, yamerudisha strategies za JPM 😂😂😂😂

Huyu mama hata uzoefu wa miaka 10 kwenye serikali kubwa kama ya Jamuhuri hana eti Anafikiri alikua na akili kubwa ya kumkosoa mtu aliekaa serikalini tena wizarani kwa miaka zaidi ya 30 🚮🚮🚮
Screenshot_20220615-062149.png
 
I usually wonder how you survive with this kind of reasoning. So Kwa maisha yako yote hujaiskia the word outpatients? Outpatients are the backbone of every hospital and they are the majority. Hospital with 100 beds can have 5,000 outpatients in a day.
Kwanza hiyo hospital itakua na vitanda 200 vya wagonjwa, hao madaktari 1100 watakuwa wanafanya shughuli gani au nao watakuwa wagonjwa sometimes?
 
Back
Top Bottom