Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You people are always looking for excuses to cover up for your underdevelopment. Mwanza is your second biggest city na kila siku hapa mnailinganisha na Mombasa. Does it mean that Tanzania's second city haijakuwa na need ya kujenga barabara Kama hiyo ya Eldoret?
Kwamba Mwanza hakuna msongamano wa magari ama?
Tumejenga dual roads na ring roads za kutosha na tunajenga interchange maeneo ya Usagara plus Busisi bridge hizo zote ni investment za kutosha
 
download.jpeg
 
another huge investment
Hapo tujue huo mchanga ni nini na unapelekwa wapi na unafaida gani ? Maana hata tz tunataka mchanga safi kuboresha fukwe zetu kama coco beach mchanga wake umesha kufa ni mweusi auvutii tena ,tumwage mchanga safi ili kuvutia utalii
Sijajua kama na mchanga safi wa fukwe utakuwepo kwenye huo mpango au ni madini mengine tu ya baharini
 
nairobae Tony254 Coco Master Nicxie dyfre Don YF kujeni muone huyu mwarabu bonoko anapinga ati hapa sio Kisumu😂😂

View attachment 2260596
eti sio kisumu.!🤔.. but infact i was there just the other week at Tom Mboya Labour College for some workshop.

Ichoboy, this is the affluent Milimani Estate in kisumu, just near nyalenda estate, hio nayo lazma kieleweke..!
Screenshot_20220614-235516_Chrome.jpg


ata nimeona heri kumletea google maps ndo huyu mtoto apate kuridhika

ichoboy01. google maps kwa raha zako babake👇🏽
Screenshot_20220615-000526_Earth.jpg
Screenshot_20220615-000608_Earth.jpg
 
Back
Top Bottom