Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapo ukikaa just one day lazima u fall sick uchafu na air quality terrible bora kama sina nyumba nikae juu ya mti porini napata hewa fresh na natural environment sio garbage environment kama ya pipeline
Kibera wana maisha mazuri kuliko wakazi wa pipeline, kibera is overrated, there are many and biggest slums than kibera in Kenya.
 
Hapo ukikaa just one day lazima u fall sick uchafu na air quality terrible bora kama sina nyumba nikae juu ya mti porini napata hewa fresh na natural environment sio garbage environment kama ya pipeline
Watakuambia sio wengi eti hawazaliani hovyo, congestion iliopo pipeline ni kama kila second wanazaa watoto 10 pipeline pekee, there's no freedom of movement kabisa pipeline
 
Matunda ya fuso fabrication economy ya kunyaland on sight 😂😂😂😂

Screenshot_20220614-080934.png
 
wameshupalia mambo ya loliondo kumbe yanayowaumiza ni haya
View attachment 2259884
Hotel zimejaa Arusha kwa wingi wa Watalii na Chambulo anasema mwakani yatakuwa mafuriko makubwa ya watalii akashauri miundombinu ya hotel za nyota 5 ziongezeke maana za kwake 3 zote zimeshafanyiwa booking.

Ushauri wangu kwanini Ngurudoto na Impala zisifufuliwe na kumaliza kesi ambayo iko mahakamani ili zianze kufanya kazi.

Mambo ya kesi ni kujichelewesha..mazungumzo yafanyike, serikali au Banks ziingie ubia na hizi hotel zilipiwe madeni yake halafu watajua jinsi watamalizana biashara iendelee.
 
Back
Top Bottom