Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You will not see a forensic lab like this anywhere in East and central Africa
FB_IMG_16551847388287779.jpeg
FB_IMG_16551848635102888.jpeg
FB_IMG_16551853384417849.jpeg
FB_IMG_16551853425537845.jpeg
FB_IMG_16551853464861102.jpeg
FB_IMG_16551853498527985.jpeg
FB_IMG_16551853561162267.jpeg
FB_IMG_16551853602040453.jpeg
FB_IMG_16551853641603140.jpeg
FB_IMG_16551853682371289.jpeg
FB_IMG_16551853751238454.jpeg
FB_IMG_16551853806477161.jpeg
 
sisi nye nye nye



Hiyo pipeline imepewa hilo jina kimkakati ni pipe la kupitisha na kuhifadhi uchafu, na huwezi amini Wakunya wengi wa humu wanaishi hapo japo hawapapendi, mm siwezi kuishi hapo hata kwa bahati mbaya ni bora nikaishi uswazi. Yani pipeline na kibera bora kibera wakuu trust me.

Na pia msidhani kwamba hapo ndiyo residential area chafu zaidi Kenya hapana, kuna maeneo machafu zaidi ya hapo huko Kenya, yani jamaa ni wachafu mnoo.
 
All vichochoro vya slums in Kenya except Kibera have cabro which cannot be found in Dar cbd
Kibera wamejengewa a dual carriage way na flyover passing through., making transport faster apart from train services.,
 
Hiyo pipeline imepewa hilo jina kimkakati ni pipe la kupitisha na kuhifadhi uchafu, na huwezi amini Wakunya wengi wa humu wanaishi hapo japo hawapapendi, mm siwezi kuishi hapo hata kwa bahati mbaya ni bora nikaishi uswazi. Yani pipeline na kibera bora kibera wakuu trust me.

Na pia msidhani kwamba hapo ndiyo residential area chafu zaidi Kenya hapana, kuna maeneo machafu zaidi ya hapo huko Kenya, yani jamaa ni wachafu mnoo.
Wee jamaa unakuanga zuzu kweli, pipeline is next to kenya pipeline shirika la mafuta, you need your head checked
kpc.jpg
 
Hiyo pipeline imepewa hilo jina kimkakati ni pipe la kupitisha na kuhifadhi uchafu, na huwezi amini Wakunya wengi wa humu wanaishi hapo japo hawapapendi, mm siwezi kuishi hapo hata kwa bahati mbaya ni bora nikaishi uswazi. Yani pipeline na kibera bora kibera wakuu trust me.

Na pia msidhani kwamba hapo ndiyo residential area chafu zaidi Kenya hapana, kuna maeneo machafu zaidi ya hapo huko Kenya, yani jamaa ni wachafu mnoo.
Kalilieni kwa choo 😂 😂 😂 😂 , pipeline is called so kwa vile underground ni pipe ya mafuta inapita inayoelekea Kisumu na Eldoret., and pipeline company iko karibu na pale.., kilaza, hii sio Dar.., ukweli unaumaaa, najua ni uchungu lakini zoea zoea, sisi hatuna makosa, ni wivu wenu unawatesa hivi 😜 😂 😂 😂 😂
1655187694048.png

1655187853771.png

1655188141104.png

Vs ushamba ulio tapakaa Dar.,😂😂😂😂
1655188267401.png
 
Check huduma kwenye hili Bango. Kama zote

View attachment 2259861
Anakuambia Lab servses, alafu Wakunya huwa wanaogopa kukorofishana wenyewe kwa wenyewe wanajua ipo siku mtu akikorofishwa ataleta uozo wa nchini kwao kama huu, kuna siku kuna mmoja wao walimkorofisha akasema wakizidi kumzingua ataiweka Nairobi uchi, basi waliogopa na wakaacha kabisa kumgusa.

Hapa utakuta kuna Watz wanajifanya kimbele mbele kuponda nchi yao, mwengine jana eti katupia picha ya posta eti amei expose posta ndiyo kwanza kanipa screen saver ya hatari ambayo ckuwahi kuwa nayo
 
Wataleta their collected evidence tuwasaidie uchunguzi kama walivyo mleta mkulu Nairobi apate matibabu ya hali ya juu, ila it was too late kwa ujeuri wao wakudhania wako sawa, walichelewa 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom