Hiyo pipeline imepewa hilo jina kimkakati ni pipe la kupitisha na kuhifadhi uchafu, na huwezi amini Wakunya wengi wa humu wanaishi hapo japo hawapapendi, mm siwezi kuishi hapo hata kwa bahati mbaya ni bora nikaishi uswazi. Yani pipeline na kibera bora kibera wakuu trust me.sisi nye nye nye
Kibera wamejengewa a dual carriage way na flyover passing through., making transport faster apart from train services.,All vichochoro vya slums in Kenya except Kibera have cabro which cannot be found in Dar cbd
Wee jamaa unakuanga zuzu kweli, pipeline is next to kenya pipeline shirika la mafuta, you need your head checkedHiyo pipeline imepewa hilo jina kimkakati ni pipe la kupitisha na kuhifadhi uchafu, na huwezi amini Wakunya wengi wa humu wanaishi hapo japo hawapapendi, mm siwezi kuishi hapo hata kwa bahati mbaya ni bora nikaishi uswazi. Yani pipeline na kibera bora kibera wakuu trust me.
Na pia msidhani kwamba hapo ndiyo residential area chafu zaidi Kenya hapana, kuna maeneo machafu zaidi ya hapo huko Kenya, yani jamaa ni wachafu mnoo.
Aiseeeh
Kalilieni kwa choo 😂 😂 😂 😂 , pipeline is called so kwa vile underground ni pipe ya mafuta inapita inayoelekea Kisumu na Eldoret., and pipeline company iko karibu na pale.., kilaza, hii sio Dar.., ukweli unaumaaa, najua ni uchungu lakini zoea zoea, sisi hatuna makosa, ni wivu wenu unawatesa hivi 😜 😂 😂 😂 😂Hiyo pipeline imepewa hilo jina kimkakati ni pipe la kupitisha na kuhifadhi uchafu, na huwezi amini Wakunya wengi wa humu wanaishi hapo japo hawapapendi, mm siwezi kuishi hapo hata kwa bahati mbaya ni bora nikaishi uswazi. Yani pipeline na kibera bora kibera wakuu trust me.
Na pia msidhani kwamba hapo ndiyo residential area chafu zaidi Kenya hapana, kuna maeneo machafu zaidi ya hapo huko Kenya, yani jamaa ni wachafu mnoo.
Mtaa ni kama town vile.., mnapata tabu sana, Dar hii haupati, itakua ni downtown Dar hii😂😂😂 😂 😂 😂 😂 😂Hapa Chini hata Mkokoteni hupiti Duh.
View attachment 2259859
Hayo aliyoandika hasa hiyo hashtag, ni kweli?Huyo ni Mkenya anayeongea upuuzi kwa matarajio ya kulipwa fedha



Anakuambia Lab servses, alafu Wakunya huwa wanaogopa kukorofishana wenyewe kwa wenyewe wanajua ipo siku mtu akikorofishwa ataleta uozo wa nchini kwao kama huu, kuna siku kuna mmoja wao walimkorofisha akasema wakizidi kumzingua ataiweka Nairobi uchi, basi waliogopa na wakaacha kabisa kumgusa.









Wataleta their collected evidence tuwasaidie uchunguzi kama walivyo mleta mkulu Nairobi apate matibabu ya hali ya juu, ila it was too late kwa ujeuri wao wakudhania wako sawa, walichelewa 😂 😂 😂You will not see a forensic lab like this anywhere in East and central AfricaView attachment 2260053View attachment 2260054View attachment 2260055View attachment 2260056View attachment 2260058View attachment 2260059View attachment 2260060View attachment 2260061View attachment 2260062View attachment 2260063View attachment 2260064View attachment 2260065
Hawa ni full mikwara kama vile MK254 anavyo waita, walijichokea zamani 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Wee jamaa unakuanga zuzu kweli, pipeline is next to kenya pipeline shirika la mafuta, you need your head checkedView attachment 2260072
Zuzu aliona jina pipeline akajua ni ya uchafu
Yani vile anadhindanga akicompare Maisha yao personally na yetu' hana hata WiFi kwa nyumba - kitu amabacho probably all Kenyans on this forum wanacho.Umefunguliwa hotspot na simu ingine. Tony254 come and see your friend.
Yao hii hapa ona nziKunyans hizi level itawachukua sio chini ya miaka 50 ndio muwe hapa









Duuhh hapo ndio kusafiHaha,hizi picture za zamani mnatoa wapi,poleni Nairobi si chafu kama Dar,hView attachment 2259967ere is the current state of this area![]()







Hasira hasaraHawa hufai kuwajibu,
Wacha wajibambe kama kawaida they keep repeating same topics always,
Mafala wa mwisho.









Tatizo lako ww huwa una hasira snHizi takataka ndio hamfai kuwapa airtime,
Watu mandazi san
Matatu Gani inatumia expressway!!!
Plus lorries zinazoingia Nairobi ICD!!!
Hiii nchi Ni Kama Kila mtu Ni Mafi akili.



