Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Niko home hapa as I type, mambo ya kawaida tu hayo.View attachment 2257669
Hahaha Teargas huyu jamaa tulimuaibisha hadi akenda kuinstall wi-fi. The best 007 unaona tumekutoa ushamba. Sasa mbona zamani tukipost screen-shot ya wi-fi ulikuwa unapinga na kusema kwamba hio ni wi-fi ya shule? Aisee ulikuwa mshamba sana. Yaani huku wi-fi ni kitu cha kawaida sana na hata watu wa kawaida wanayo nyumbani.
 
Umefunguliwa hotspot na simu ingine. Tony254 come and see your friend.
Hahaha eti amefungua hotspot. Hahaha by the way sikuwa nimefikiria from that angle. He had already fooled me mpaka nikampongeza. By the way it is probably a hotspot using another phone.
 
Ndiyo hii hapa chini nakuwekea mana nilikuambia hakuna namna mtaizidi Tz kwenye exports labda mzuie lorries zetu alafu mkimbilie kutoa takwimu faster kama mlivyofanya jana


What's the level of your education? Umesoma hata hiyo article kweli ama wewe kazi Yako ni copy and paste? In the article imeandikwa Kenya exported $138M to Tanzania while Tanzania only exported $118M to Kenya.
 
Hahaha Teargas huyu jamaa tulimuaibisha hadi akenda kuinstall wi-fi. The best 007 unaona tumekutoa ushamba. Sasa mbona zamani tukipost screen-shot ya wi-fi ulikuwa unapinga na kusema kwamba hio ni wi-fi ya shule? Aisee ulikuwa mshamba sana. Yaani huku wi-fi ni kitu cha kawaida sana na hata watu wa kawaida wanayo nyumbani.
Jamaa kamefunguliwa hotspot.
 
What's the level of your education? Umesoma hata hiyo article kweli ama wewe kazi Yako ni copy and paste? In the article imeandikwa Kenya exported $138M to Tanzania while Tanzania only exported $118M to Kenya.
Ongea na Wakunya wenzio hawa hapa, yn wewe unavyodhani kabisa 150 lorries kwa 80 lorries mtatukaribia kweli kwenye export value? Labda uwe chizi
Screenshot_20220611-203312.jpg
Screenshot_20220611-203302.jpg
 
Back
Top Bottom