nilichofurahia zaidi hilo neno deliveries sijui wana deliver kitu gani huwez jua labda kende 😂😂😂😂
nilichofurahia zaidi hilo neno deliveries sijui wana deliver kitu gani huwez jua labda kende![]()

mtoto anazalishwa kwenye matope ya mtaro 🤣🤣🤣🙌🙌🙌Wanazalisha wajawazito![]()




Hamna mtalii anaenda Kunyaland, kuna vurugu za uchaguzi kule!wameshupalia mambo ya loliondo kumbe yanayowaumiza ni haya 😂👇
View attachment 2259884
Hawa jamaa nilisemaga maisha yao ni ya kiujanja janja.. hata GDP yao ni ya kimchongo.. yan kama maisha ya madalali, yan ujanja ujanja tu hakuna uhalisiaAlafu angalia public buses za Kenya aisee, yn ndiyo ziko hvyo hvyo zootee, jamaa ni mafukara mno mm nawaambia ndugu zangu, Wakenya ni mafukara zaidi ya unavyoweza ku imagine.
Haha,hizi picture za zamani mnatoa wapi,poleni Nairobi si chafu kama Dar,hTukisema pipeline ni one massive slum wanabisha
View attachment 2259804View attachment 2259805View attachment 2259806View attachment 2259807
Yan umepost kuonyesha kuna unafuu au nn..sijaelewa😂Haha,hizi picture za zamani mnatoa wapi,poleni Nairobi si chafu kama Dar,hView attachment 2259967ere is the current state of this area😍😍😜
True. Nandy hakuwa hivyo zamani. Kuna wakati watanzania humu walikuwa wanashabikia ubaguzi wa rangi Kwa kusema vibaya watu wenye skin tone nyeusi wa kutoka Kenya. Inashangaza sana Maana standards za aina hii Ndio zinawafanya wadada wadhani kuwa urembo ni kuwa na ngozi nyeupe. Otherwise you are just ugly. Absolutely disgusting!Kachibua ngozi huyu jangili. Hio sio rangi yake halisi.
Sasa wew hii si habari Jamhuri wametoa kwenye gazeti lao leo? Wao ndo source inabid tujue kilichoandikwa.. yan unauliza kitu as if kila mtu anakijua afu tukaamua kukaa kimyaWhy is no one talking about this? 👀
View attachment 2259968
I meant to say why no one is talking about the stalling of the procurement of SGR trains. The last time we were told they’d be here was April, yet nothing happened. It’s highly likely that something is fishy.Sasa wew hii si habari Jamhuri wametoa kwenye gazeti lao leo? Wao ndo source inabid tujue kilichoandikwa.. yan unauliza kitu as if kila mtu anakijua afu tukaamua kukaa kimya
Tuliaema hapa ndio maana hii zabuni ilifichwa hawakuwa wakiizungumzia sana kila mara walikuwa wanaikwepa hii ni order toka Germany. Walipoona procurement ya trains imechelewa baada ya wazabuni kuleta pingamizi wakaona wanunue mitunba ili kuanza operations mapema.