Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

FB_IMG_16551371594540428.jpg
 
Ndugu tumia akili kidogo basi kinachofanyika Ngorongoro sio sawa, kama kweli kuna wakenya walikuwa wanaingia wangechukua hatua kuwazuia ili shughuli ziende vizuri.
Suala la kuwahamisha sio sawa ni muhimu kuhakikisha wanaendelea kuishi kwa amani na wanyama
Maasai wa ngorongoro wamejengewa nyumba nzuri sana Tanga shule na vituo vya afya kupitia uongozi wao walikubaliana kuhama ndio maana serikali ikawekeza hela kwenye makazi yao mapya wamepewa pamoja na mapori huko Tanga ya kulisha mifugo yao sasa leo wanakataa kuhama inaelekea kuna kamchezo kinaendelea na it seems kuna ambao hawakuwepo mwanzoni ila sasa wameona watu wamepewa nyumba na maeneo bure na wao wakaja kuhamia hapo ngorongoro ili na wao wajumuishwe kwenye mpango wa kupata nyumba bure. Most likely they are from Kenya. Though I do not condone the use of force or any measures that hurt people.
 
Maasai wa ngorongoro wamejengewa nyumba nzuri sana Tanga shule na vituo vya afya kupitia uongozi wao walikubaliana kuhama ndio maana serikali ikawekeza hela kwenye makazi yao mapya wamepewa pamoja na mapori huko Tanga ya kulisha mifugo yao sasa leo wanakataa kuhama inaelekea kuna kamchezo kinaendelea na it seems kuna ambao hawakuwepo mwanzoni ila sasa wameona watu wamepewa nyumba na maeneo bure na wao wakaja kuhamia hapo ngorongoro ili na wao wajumuishwe kwenye mpango wa kupata nyumba bure. Most likely they are from Kenya. Though I do not condone the use of force or any measures that hurt people.
lazma nguvu itumike kidogo bro bora kuchunga mbuzi lakini sio binaadamu
 
Kwa mitaa ya Azikiwe, Maktaba square , Sokoine drive, Biti Titi na Uhuru streets msiwe na wasiwasi kuna mipango madhubuti na ikikamilika sidhani kama kuna jiji EA Litatia pua interms of Street level, Pedestrian walkways na Urban mass transit. Chukulia mtaa wa msimbazi, na Toure drive kabla ya improvement.

View attachment 2259152

View attachment 2259153

View attachment 2259154


View attachment 2259156

View attachment 2259157

View attachment 2259159


View attachment 2259161

Mradi tayari kashapewa SINOHYDRO kwa ajili ya utekelezaji.
kuna video hapa ya TANROADS wakuu wa WiFi nyumbani nadhani hamtapata shida kuangalia mkitaka.

Hii Mandela road ndio itaenda mpaka Ubungo na Tazara?
 
Hizi evictions ndio zitakuwa mwisho wa kualikana kuja kuchungia ngombe kwenye mbuga zetu kuanzia hapo tukikuta mifugo mbugani tunataifisha yote kwahiyo maasai wa Kenya mjipange kabisa.
Dawa ya jeuri ni Kiburi, alisema Sugu.
 
Hii hata kwenye list ya Wikipedia haipo lakini inazima dams zote mlizonazo kunyaland, hii Dam inasupply maji ya kunywa kwa Morogoro municipalities yenye wakazi zaidi ya laki 2, inahudumia irrigation schemes na kufuga samaki


Sio dam ni ziwa hasaa 😂😂😂 kule north wanatengeneza vidimbwi ati wanaita DAM 😂😂😂
 
Back
Top Bottom