The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
Yah sure ipigwe interchange ya maana hapo tazara na buguruni chama paleNi kweli, hapo kuna Flyover but still foleni ni kubwa tu, me nafkiri hili eneo lipate three level interchange kama ile ya Ubungo..
Mimi sioni kuna nini la maana hapo kama kujenga interchange Dar kumewashinda. Utalingashaje huu upuuzi na interchanges kibao ambazo zimejaa Nairobi? Sasa kama unazungumzia battle ya street level kisha uulize mzungu achague mji upi bora kati ya Nairobi ambayo ina interchanges zaidi ya 15 na Dar ambapo juctions hazina interchange ni obvious atachagua Nairobi. Dar nzima ina interchanges chini ya 5.Kwa mitaa ya Azikiwe, Maktaba square , Sokoine drive, Biti Titi na Uhuru streets msiwe na wasiwasi kuna mipango madhubuti na ikikamilika sidhani kama kuna jiji EA Litatia pua interms of Street level, Pedestrian walkways na Urban mass transit. Chukulia mtaa wa msimbazi, na Toure drive kabla ya improvement.
View attachment 2259152
View attachment 2259153
View attachment 2259154
View attachment 2259156
View attachment 2259157
View attachment 2259159
View attachment 2259161
Mradi tayari kashapewa SINOHYDRO kwa ajili ya utekelezaji.
kuna video hapa ya TANROADS wakuu wa WiFi nyumbani nadhani hamtapata shida kuangalia mkitaka.
Weka picha sio wikipedia. Mbona mimi niliweka video ya dam yetu?Chagua Dam tuanze battle ya Dams za Tanzania na kunyaland
A desert country needs competition na Tanzania 😂😂😂
Yaani Wakunya ninyi malimbukeni kweli, mumejenga kidimbwi kimoja mnatutambia kisa hamjawahi kusikia Tanzania tukiongea kuhusu dams basi mnafikiri hatuna 🤣
View attachment 2259455
Hii hata kwenye list ya Wikipedia haipo lakini inazima dams zote mlizonazo kunyaland, hii Dam inasupply maji ya kunywa kwa Morogoro municipalities yenye wakazi zaidi ya laki 2, inahudumia irrigation schemes na kufuga samakiWeka picha sio wikipedia. Mbona mimi niliweka video ya dam yetu?
ichoboy01 njoo umsikilize huyu zuzuvitu kama hizi inakuaga sana sana ya kikenyaland.... hapa nta sema mli tu copy kiasi
Dar imefocus kenye Mass transit, Baada ya Phase 3 ambayo tayari contractor kashapewa kazi ikiisha , uje ulinganishe vizuri majiji haya mawili. Dar baada ya phase 1 tu ya BRT ilishinda tuzo, haikua tuzo ya Interchange, ni Usafiri Bora wa Umma. Kuwa na interchange sio kigezo cha kuwa mji ni bora, Interchange zipo kutatua tatizo la foleni ambayo hamkupangilia vizuri zamani. (IMO).Mimi sioni kuna nini la maana hapo kama kujenga interchange Dar kumewashinda. Utalingashaje huu upuuzi na interchanges kibao ambazo zimejaa Nairobi? Sasa kama unazungumzia battle ya street level kisha uulize mzungu achague mji upi bora kati ya Nairobi ambayo ina interchanges zaidi ya 15 na Dar ambapo juctions hazina interchange ni obvious atachagua Nairobi. Dar nzima ina interchanges chini ya 5.
Cc Sama boy 255
Taarifa murua kabisa kutoka DRC
Tony254 nakumbuka ulikuja na moto kichizi kipindi DRC inajoin EAC, mkasema mnataka kuifundisha Tanzania namna capitalism mentality ilipowafikisha 😂😂😂 eti DRC mtaenda kupata vyote mnavyopata Tanzania ikiwemo mahindi 😂😂😂
Masikini hamkujua DRC mwenyewe anakula kwa jeuri yetu, yaani ninyi nyote ni wagonjwa wetu, Tanzania ndio daktari 😂😂😂
Na hiyo mentality yenu kwamba soko la mazao ya Tanzania ni kunyaland pekee, ife kuanzia saivi
Tonny huwezi jua umuhimu wa hiyo video uliyoona na jinsi BRT inavyotransform eneo. Angalia hii Msimbazi Street kabla na baada ya BRT Phase 1. Hii Barabara ilikua mbovu ikiwa na fujo zote na watembea kwa mguu walikua wanatembea kwa hatari, sasa hivi ipo vizuri pedestrian wana eneo kubwa la kutembea, dedicted Bus lane na magari mengine ya kawaida yametengwa. hizi picha zote nimepiga mwenyewe toka mwanza na najua umuhimu wa haya mabadiliko.Mimi sioni kuna nini la maana hapo kama kujenga interchange Dar kumewashinda. Utalingashaje huu upuuzi na interchanges kibao ambazo zimejaa Nairobi? Sasa kama unazungumzia battle ya street level kisha uulize mzungu achague mji upi bora kati ya Nairobi ambayo ina interchanges zaidi ya 15 na Dar ambapo juctions hazina interchange ni obvious atachagua Nairobi. Dar nzima ina interchanges chini ya 5.
Cc Sama boy 255
hebu tuoneshe plz ili na sisi tufurahie 🤣🤣vitu kama hizi inakuaga sana sana ya kikenyaland.... hapa nta sema mli tu copy kiasi
Ni sawa. Nimeona system yenu ya BRT. If it works for you then hakuna shida. Nyie naona mnafuata system ya Europe ambao wametilia mkazo mass transit system. Nairobi nayo imefuata system ya miji ya USA kama Houston au LA ambapo haina mass transit system nzuri na nguvu zote zimewekezwa kwenye kujenga interchanges na barabara nyingi za ghorofa ili kupitisha magari kwa wingi.Tonny huwezi jua umuhimu wa hiyo video uliyoona na jinsi BRT inavyotransform eneo. Angalia hii Msimbazi Street kabla na baada ya BRT Phase 1. Hii Barabara ilikua mbovu ikiwa na futo zote na watembea kwa mguu walikua wanatembea kwa hatari, sasa hivi ipo vizuri pedestrian wana eneo kubwa la kutembea, dedicted Bus lane na magari mengine ya kawaida yametengwa. hizi picha zote nimepiga mwenyewe toka mwanza na najua umuhimu wa haya mabadiliko.
Before BRT Lanes.
View attachment 2259534
BRT Bus stops zikaanza kuchimbwa.
View attachment 2259536
BRT Lanes zikaanza kutengenezwa
View attachment 2259537
After BRT lanes and Bus stops ( Bado Mabasi hayajaanza kupita)
View attachment 2259538
After the BRT Buses become operational.
View attachment 2259539
View attachment 2259540
View attachment 2259542
You see the order?
View attachment 2259543
View attachment 2259544
Huo ni mtaa mmoja tu wa Msimbazi, sasa BRT PHASE 3 itapita barabara muhimu kadhaa , Sokoine Drive, Azikiwe ambayo ni sura ya CBD yetu, Maktaba Square , Biti titi na Uhuru na Nyerere road all the way to Gongolamboto. Dar haitakua imepauka tena.
All Photos taken by me for educational purposes.
View attachment 2259551
View attachment 2259555
dera! una tatizo? kwani mamako anavaaje?Hii ni nini amevaa jameni?
kitu cha 2012 sio?on the international platform, nairobi reduces dar es salaam to rubbles and debri ..... 😆
View attachment 2259443View attachment 2259436
huku siku hzi hutaki kuskia au??👇👇Hii ni nini amevaa jameni?