Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya tayari wameshawasilisha kesi katika international court of Justice (ICJ) na kuishtaki serikali ya Tanzania kwa kukandamiza haki za kibinadamu za wamaasai wa Tanzania.

Yaani nafurahi kweli kitu Kenya mnachofanya, mshikisheni huyu mama adabu kabisa, nikikumbuka alivyokua akimkashfu JPM kwa reciprocation alizokua akichukua dhidi ya choko choko kutoka kwa Uhuru wacha aone true colors za kenya!
 
Taarifa murua kabisa kutoka DRC

Tony254 nakumbuka ulikuja na moto kichizi kipindi DRC inajoin EAC, mkasema mnataka kuifundisha Tanzania namna capitalism mentality ilipowafikisha eti DRC mtaenda kupata vyote mnavyopata Tanzania ikiwemo mahindi

Masikini hamkujua DRC mwenyewe anakula kwa jeuri yetu, yaani ninyi nyote ni wagonjwa wetu, Tanzania ndio daktari

Na hiyo mentality yenu kwamba soko la mazao ya Tanzania ni kunyaland pekee, ife kuanzia saivi
Haya mazingira ya hili ghala yaboreshwe kwasababu yanahifadhi chakula kinachotumiwa na wanadamu. Serikali iwasaidie kuwaboreshea mazingira wafanyabiashara. Si salama sana kwa ulinzi wanaweza kufanyiwa hujuma za kuibiwa bidhaa zao.
 
Yaani nafurahi kweli kitu Kenya mnachofanya, mshikisheni huyu mama adabu kabisa, nikikumbuka alivyokua akimkashfu JPM kwa reciprocation alizokua akichukua dhidi ya choko choko kutoka kwa Uhuru wacha aone true colors za kenya!
Mama ndio kaanza ukatili. Sisi hatukuwa na tatizo na yeye hapo awali.
 
Tonny huwezi jua umuhimu wa hiyo video uliyoona na jinsi BRT inavyotransform eneo. Angalia hii Msimbazi Street kabla na baada ya BRT Phase 1. Hii Barabara ilikua mbovu ikiwa na fujo zote na watembea kwa mguu walikua wanatembea kwa hatari, sasa hivi ipo vizuri pedestrian wana eneo kubwa la kutembea, dedicted Bus lane na magari mengine ya kawaida yametengwa. hizi picha zote nimepiga mwenyewe toka mwanza na najua umuhimu wa haya mabadiliko.

Before BRT Lanes.

View attachment 2259534

BRT Bus stops zikaanza kuchimbwa.
View attachment 2259536

BRT Lanes zikaanza kutengenezwa

View attachment 2259537

After BRT lanes and Bus stops ( Bado Mabasi hayajaanza kupita)

View attachment 2259538

After the BRT Buses become operational.

View attachment 2259539

View attachment 2259540

View attachment 2259542

You see the order?

View attachment 2259543

View attachment 2259544







Huo ni mtaa mmoja tu wa Msimbazi, sasa BRT PHASE 3 itapita barabara muhimu kadhaa , Sokoine Drive, Azikiwe ambayo ni sura ya CBD yetu, Maktaba Square , Biti titi na Uhuru na Nyerere road all the way to Gongolamboto. Dar haitakua imepauka tena.


All Photos taken by me for educational purposes.

View attachment 2259551

View attachment 2259555
mshamba huyo hawezi kuelewa
 
Mimi sioni kuna nini la maana hapo kama kujenga interchange Dar kumewashinda. Utalingashaje huu upuuzi na interchanges kibao ambazo zimejaa Nairobi? Sasa kama unazungumzia battle ya street level kisha uulize mzungu achague mji upi bora kati ya Nairobi ambayo ina interchanges zaidi ya 15 na Dar ambapo juctions hazina interchange ni obvious atachagua Nairobi. Dar nzima ina interchanges chini ya 5.

Cc Sama boy 255
🤣🤣🤣 Licha ya majibu mazuri uliyopata toka kwa bwana NDINDA Ila kuna Habari mbaya kwa wakenya nakupatia bro, kwasasa DAR iko na interchange 9 . 4 done ✅ 5 zipo under construction . ona vile tunavyokuja kuwapita kwenye kila kitu .. tumeanza kujenga hiz interchange 2017 lakini tunavyoongea hadi sasa tunazo 9 ndani ya DSM tu bila kusahau na madaraja makubwa 3
 
Ubepari ni mbaya sana...

Check watu wasio na uwezo wanavyoshindwa kutumia barabara kwa sababu ya malipo...

Sasa hio barabara imejengwa ili iweje...

Wakenya kuna kitu hakiko sawa nchini kwenu
1655145897814.jpg
 
🤣🤣🤣 Licha ya majibu mazuri uliyopata toka kwa bwana NDINDA Ila kuna Habari mbaya kwa wakenya nakupatia bro, kwasasa DAR iko na interchange 9 . 4 done ✅ 5 zipo under construction . ona vile tunavyokuja kuwapita kwenye kila kitu .. tumeanza kujenga hiz interchange 2017 lakini tunavyoongea hadi sasa tunazo 9 ndani ya DSM tu bila kusahau na madaraja makubwa 3
Usihesabu hizo 5 ambazo bado zinajengwa. Bado mna interchanges 4 tu.
 
Yaani nafurahi kweli kitu Kenya mnachofanya, mshikisheni huyu mama adabu kabisa, nikikumbuka alivyokua akimkashfu JPM kwa reciprocation alizokua akichukua dhidi ya choko choko kutoka kwa Uhuru wacha aone true colors za kenya!
Tulisema hapo before hawa nyang'au ukienda nao kistaarabu wanakuona dhaifu na kusahau wema wako. Sasa hapa wanaanza choko choko zao. Ili mama aende nao sawa awaachie wazee wa kazi muda mfupi tu wataomba diplomasia itumike.
 
Back
Top Bottom