Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii ziara ya mama omani ina mambo makubwa sana Bagamoyo oyee! Oman state reserve fund ndio investor mkubwa Kwa hii project ambao wafaransa na wamarekani wanaitolea macho pia ku counter chinese influence in Africa. Sasa China Merchant Holdings itabidi wajipange vizuri odds hapo haziko upande wao both teams to score (GG). [emoji16]
Investors wamekuwa wengi Sana wanatolea udenda Bagamoyo Port kuanzia US,France,China na Oman..

Tujipange vyema kupata value for money kwa mwenye offer nzuri.
 
DCI National Forensic Lab, hii lazima neighbours from the south warudi benchmarking tenaView attachment 2259351View attachment 2259352View attachment 2259353View attachment 2259354
FB_IMG_1655115737499.jpg
View attachment 2259357View attachment 2259358View attachment 2259356View attachment 2259359
FB_IMG_1655115711269.jpg
FB_IMG_1655115708863.jpg
FB_IMG_1655115706489.jpg
FB_IMG_1655115704036.jpg
FB_IMG_1655115701749.jpg
FB_IMG_1655115699305.jpg
FB_IMG_1655115696433.jpg
FB_IMG_1655115694070.jpg
FB_IMG_1655115691638.jpg
FB_IMG_1655115679974.jpg
FB_IMG_1655115689118.jpg
FB_IMG_1655115686309.jpg
FB_IMG_1655115696433.jpg
FB_IMG_1655115694070.jpg
FB_IMG_1655115691638.jpg
 
Kwa mitaa ya Azikiwe, Maktaba square , Sokoine drive, Biti Titi na Uhuru streets msiwe na wasiwasi kuna mipango madhubuti na ikikamilika sidhani kama kuna jiji EA Litatia pua interms of Street level, Pedestrian walkways na Urban mass transit. Chukulia mtaa wa msimbazi, na Toure drive kabla ya improvement.

View attachment 2259152

View attachment 2259153

View attachment 2259154


View attachment 2259156

View attachment 2259157

View attachment 2259159


View attachment 2259161

Mradi tayari kashapewa SINOHYDRO kwa ajili ya utekelezaji.
kuna video hapa ya TANROADS wakuu wa WiFi nyumbani nadhani hamtapata shida kuangalia mkitaka.

Nimeingalia hii video ebhanaeeh huh mradi wa BRT phase 3 ikiisha hao punguani za kikunya 😂😂😂 itawabidi wafungue battle ya NAIROBI vs Kigali, because we will no longer be in the same sentence with them.. Cc Tony254 vipi una lolote la kusema.?
 
Hii Thiba Dam ni purely agricultural (ukulima), no power production and it is functioning. View attachment 2259040
Chagua Dam tuanze battle ya Dams za Tanzania na kunyaland
A desert country needs competition na Tanzania 😂😂😂

Yaani Wakunya ninyi malimbukeni kweli, mumejenga kidimbwi kimoja mnatutambia kisa hamjawahi kusikia Tanzania tukiongea kuhusu dams basi mnafikiri hatuna 🤣

2022-6-13_15-41-37.PNG
 
Chagua Dam tuanze battle ya Dams za Tanzania na kunyaland
A desert country needs competition na Tanzania 😂😂😂

Yaani Wakunya ninyi malimbukeni kweli, mumejenga kidimbwi kimoja mnatutambia kisa hamjawahi kusikia Tanzania tukiongea kuhusu dams basi mnafikiri hatuna 🤣

View attachment 2259455
Utawakimbiza jirani,kuna time unatakiwa uwape pumzi, wajifariji kidogo 😂😂😂
 
Utawakimbiza jirani,kuna time unatakiwa uwape pumzi, wajifariji kidogo 😂😂😂
😅😅😅 Tatizo wana ushamba wa kipumbavu sana, eti kidimbwi kinajazwa maji kwa siku 1 then wanasema wana Dam,

Visibility study ya Farkwa Dam linalojengwa Dom inaonesha litajaa to it's full capacity kwa miaka mitatu, then ndezi mmoja anaiunuka na kidimbwi chake cha siku moja anatutishia maisha 😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom