ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
who is maria ?? kama mtu anatetea ushoga ww unahisi atakua ni shetani wa kiasi gani 😂😂😂Now you're discrediting Maria na evidence umeletewa. Such a loser
who is maria ?? kama mtu anatetea ushoga ww unahisi atakua ni shetani wa kiasi gani 😂😂😂Now you're discrediting Maria na evidence umeletewa. Such a loser
wapinzani watanzania wanaokataa hata maendeleo ya sehemu zao 🤣🤣 upinzani tanzania hakuna kilichobakia ni sinema tuKwa hiyo kulingana na wewe mpinzani hawezi kua na maono sawa?
kumbe pele limepata mkunaji ndio maana nashangaa kwann wakenya wameshikilia bango hili kumbe penye kidonda ndipo dawa ilipoingia 😂😂Kwa hiyo kulingana na wewe mpinzani hawezi kua na maono sawa?
pele limepata mkunaji sasa 🤣🤣🤣Kwa hiyo kulingana na wewe mpinzani hawezi kua na maono sawa?
Wameona ndio ahueni yao kwenye utalii, c unakumbuka ile ishu ya Zanzibar walipambana lkn wapii, Wakenya wanaiogopa Tz ktk kila angle c kwenye utalii pekee, hata EACOP uliona walivyopambana juzi kati lkn napo wameshindwa. Hawa ni wafalme wa kukosa kila siku kama walivyojitangazia juzi kugundua mafuta lkn napo wapii.Hii ishu mbona wakunya wanaishobokea mnoo!











Kuna watanzania wanashindwa kung'amua ni vita ya uchumi!Wameona ndio ahueni yao kwenye utalii, c unakumbuka ile ishu ya Zanzibar walipambana lkn wapii, Wakenya wanaiogopa Tz ktk kila angle c kwenye utalii pekee, hata EACOP uliona walivyopambana juzi kati lkn napo wameshindwa. Hawa ni wafalme wa kukosa kila siku kama walivyojitangazia juzi kugundua mafuta lkn napo wapii.
Infact Wakenya wanaifuatilia Tz kuliko nchi yoyote duniani![]()
Wameshafeli hawa mbwa.Kuna watanzania wanashindwa kung'amua ni vita ya uchumi!
Mambo ya kutekana tuliyazika Chato rasmi..The best 007 tuusan The Sunk Cost Fallacy joto la jiwe etc wakionyesha jina tu moja wameisha ivo. Utaskia wametekwa na watu wasiojulikana au kufungwa jela. Lazima wasifu ccm
Kampeni dhidi ya EACOP ni Mkunya anaendesha saahii mgogoro wa Loliondo ni NGOs za Kunyaland yet watu wanne wameuwawa na Kenya wildlife services Kajiado sababu ya protest!Wameshafeli hawa mbwa.
NdioBado hujajifunza kuattach picha?
pele limepata mkunaji sasa 🤣🤣🤣
Kwani Wewe nI sukumagang?Inaonekana ww ni malaika anae ishi safi sanaaaaIzi chuki uchwara hazikusaidi hata kidgo.
Geza Ulole Wakenya hatutawacha hili jambo la Ngorongoro lipumzike. Tutahakikisha kwamba dunia nzima inajua kwamba nyie wajinga mnatesa wamaasai wenu. Ona neno Ngorongoro inatrend kwenye twitter ya Kenya nambari 6. Mtu yeyote anayeingia twitter Kenya atajua mlichowafanyia Wamaasai wenu. Halafu tunahakikisha media zote za dunia akina BBC, CNN wamejua mnachowafanyia wamaasai.Wameona ndio ahueni yao kwenye utalii, c unakumbuka ile ishu ya Zanzibar walipambana lkn wapii, Wakenya wanaiogopa Tz ktk kila angle c kwenye utalii pekee, hata EACOP uliona walivyopambana juzi kati lkn napo wameshindwa. Hawa ni wafalme wa kukosa kila siku kama walivyojitangazia juzi kugundua mafuta lkn napo wapii.
Infact Wakenya wanaifuatilia Tz kuliko nchi yoyote duniani![]()