Ona hapa jinsi maasai wanaishi vizuri na wanyama
Ndauo amejam, hio raia wanaona tu simba ikidish ng'ombe na wamebangaiza. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Ona hapa jinsi maasai wanaishi vizuri na wanyama
Jibu swali langu la mwanzo kwanzaMbona hamtunzi mazingira huko kwa bwawa litalokua struggling gorge dam? Mnasumbua maasai bure ndio muuzie beberu
Wazanzibari wana haki kikatoba kuliko wadanganyika. Mama anauzia ngongoro muarabu sababu yeye ni mzanzibari.Ukishasema hivi ndiyo unategemea Tz itavunjika vunjika kama Kenya? Unajisumbua![]()
Hisia zako zinanihusu vipi? Kwani we shoga?Alafu we jamaa nahisi unatumia Tecno j7 ya kitambo sana hii simu niliitumia kipindi nipo shule, haikai na chaji hii simu.View attachment 2257113
sio swala la kuanza kuishi ila shughuli za kibinaadamu zimekua ni nyingi na watu wameomgezela huku watu wakiwatumia hao wamasai kama sehemu ya kufuga mifugo yao ndani ya hifadhi, jibu ni kua wanahatarisha maisha ya ya wanyama na mimeaKwani wanyama na maasai wameanza kuishi ngorongoro juzi?
Shida nn? Nchi yetu kubwa hata akiuzia waarabu ngorongoro wewe unaumizwa na nn? Nchi kubwa, mbuga zipo nyingi tatizo liko wapi, wewe unaumizwa na kuuzwa kwa ngorongoro isiyokuhusu? Pambana na Kenyatta aliyeuza 3/4 ya arable land akawaachia TurkanaWazanzibari wana haki kikatoba kuliko wadanganyika. Mama anauzia ngongoro muarabu sababu yeye ni mzanzibari.








The best 007 tuusan The Sunk Cost Fallacy joto la jiwe etc wakionyesha jina tu moja wameisha ivo. Utaskia wametekwa na watu wasiojulikana au kufungwa jela. Lazima wasifu ccmna pia huku jf nimegundua, majina za hawa watanganyika wote ziko Coded. hivi hakuna ata moja aliyeandika jina lake rasmi kama vile mimi Fredy ama ata Tony, iamLee, Don YF, MwathaDan, etc... kisa.! wanahofia kukua lebeled na kuchunguzwa na maofisa wa 'Usalama wa Taifa' kwa sensitive content zozote watakazo weza kupost humu. pia hakuna siku utawahi ona picha ama nyuso zao live.!!??
alaf mwambie akupe source kua inataka kuuzwa kwa waarabu akikupa tu nitag tatizo hawa wakenya wanawivu sana na tanzania 😂😂😂Shida nn? Nchi yetu kubwa hata akiuzia waarabu ngorongoro wewe unaumizwa na nn? Nchi kubwa, mbuga zipo nyingi tatizo liko wapi, wewe unaumizwa na kuuzwa kwa ngorongoro isiyokuhusu? Pambana na Kenyatta aliyeuza 3/4 ya arable land akawaachia Turkana![]()
Kuna compensation? Wamepewa alternative?sio swala la kuanza kuishi ila shughuli za kibinaadamu zimekua ni nyingi na watu wameomgezela huku watu wakiwatumia hao wamasai kama sehemu ya kufuga mifugo yao ndani ya hifadhi, jibu ni kua wanahatarisha maisha ya ya wanyama na mimea
Wewe unaongea upuuzi tu. Wamaasai wameanza kuishi na wanyama Ngorongoro zaidi ya miaka 2,000 nyuma.Kwa ajili ya kutunza mazingira na kulinda wanyama jibu lipo wazi
Wewe kwa sababu ni mwarabu sasa unataka kujitetea kwamba huyo anayenunua sio mwarabu?alaf mwambie akupe source kua inataka kuuzwa kwa waarabu akikupa tu nitag tatizo hawa wakenya wanawivu sana na tanzania 😂😂😂
Kama nchi ni kubwa kwa nini maasai anafukuzwa kwa shamba lake ngorongoro kwa ajili ya muarabu?Shida nn? Nchi yetu kubwa hata akiuzia waarabu ngorongoro wewe unaumizwa na nn? Nchi kubwa, mbuga zipo nyingi tatizo liko wapi, wewe unaumizwa na kuuzwa kwa ngorongoro isiyokuhusu? Pambana na Kenyatta aliyeuza 3/4 ya arable land akawaachia Turkana![]()
Kwa hivyo nyie mnajali wanyama na mimea kushinda wanadamu? Kwenu wanyama wana thamani kushinda wanadamu?sio swala la kuanza kuishi ila shughuli za kibinaadamu zimekua ni nyingi na watu wameomgezela huku watu wakiwatumia hao wamasai kama sehemu ya kufuga mifugo yao ndani ya hifadhi, jibu ni kua wanahatarisha maisha ya ya wanyama na mimea
Yah ila tukumbuke pia nchi inaendeshwa kwa sheria pia, idadi ya wamasai mbugani imeongezeka hatua za haraka zinaitajika ili kulinda pori tengefu la ngorongoroWewe unaongea upuuzi tu. Wamaasai wameanza kuishi na wanyama zaidi ya miaka 2,000 nyuma.
Wapi wameandika muarabu anataka kuuziwa ngorongoro, una ushahidi tafadhali?Kama nchi ni kubwa kwa nini maasai anafukuzwa kwa shamba lake ngorongoro kwa ajili ya muarabu?
Basi serikali ingeuzia muarabu mbuga lingine sababu maasai ana haki kihistoria za kua ngorongoro kushinda muarabu.
Iyo sehemu haiuzwi wala hawagawi bloku za uwindaji bali ni kwa ajili ya conservation tuuWewe kwa sababu ni mwarabu sasa unataka kujitetea kwamba huyo anayenunua sio mwarabu?
Nimenotice kwamba kiswahili chako ni kizuri kushinda cha Watanzania wenzako. Asubuhi uliniambia nitumie tafsida ikanibidi niende kwa kamusi kuangalia maana ya neno hilo. Sasa naona unatumia neno "tengefu".Yah ila tukumbuke pia nchi inaendeshwa kwa sheria pia, idadi ya wamasai mbugani imeongezeka hatua za haraka zinaitajika ili kulinda pori tengefu la ngorongoro
Ndio tunajali wanyama wa porini kuliko binadamu vipi uko kenya kama nyinyi mnajali sana watu si muachie watu wangie kwenye hifadhi zenu wafanye shughli za kibinadamuKwa hivyo nyie mnajali wanyama na mimea kushinda wanadamu? Kwenu wanyama wana thamani kushinda wanadamu?
Wapi wameandika muarabu anataka kuuziwa ngorongoro, una ushahidi tafadhali?