dopchinski
JF-Expert Member
- Mar 11, 2021
- 3,387
- 3,683
sisi wakenya wote humu ni watu ajabu sana.. tofauti na nyinyi wadanganyika, roho zetu ii wazi kabisa.. hatujui kuficha lolote.! tunafichua either iwe mbaya ama mzuri.. yani tunajikubali jinsi tulivyo..Kawaida reasoning yako ipo chini Sana, Sasa ukitumia jina Kama Tony, Kuna Tony wangapi huko Kenya?, Kwanza Kuna uhakika gani kwamba kweli jina lake ni Tony?. Ninyi siku zote ni watu wenye uwezo mdogo Sana wa kufikiria mambo, matokeo yake ni uzushi na kuandika upumbavu hapa JF
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
hivi Tony amesha reveal jina lake hapa live kabisa, na bado utabisha eti pengine 'Tony' huenda ikawa sio jina lake halisi.!! 😆😆



