joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Hiyo inajulikana kwamba hajamfikia kwa kila kitu, ukabila, ukatili, kuvunja Katiba ya nchi, Elimu, uchapakazi, uwezo wa akili, uzalendo, ubunifu na matumizi Bora ya pesa za serikaliHajafikia Sukumagang leader aliyesimamisha mradi wa kujenga chuo cha kilimo change kumbukumbu ya Mwl Nyerere Butiama 2015 ila kuenda kuanzisha utitiri wa vyuo Chato.
Huku hiki kikikwama toka Kikwete atoke madarakani!




Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

