Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wamasai wasituchanganye na wao ni watanzania tu kama sisi sote. Wahame huko. Nchi ina mapori mengi tu yakufuga.

Wasitupande mpaka kichwani

Leo hii wapo nchi nzima. Ukienda Sumbawanga wapo, ukienda Lindi na Mtwara wapo, ukienda Kigoma pia wapo, ukienda Morogoro wapo. Sasa kwa nini hawataki kuishi kwa kufuata sheria!? Kwani wao wana utawala wao?
 
Wewe punguza mihemko. Kubali kwamba mumewafanyia Wamaasai unyama yaishe.

Ujinga wao ndiyo unaowagharimu.
Kutwaa ardhi kwa manufaa au masilahi ya Taifa ni jambo la kisheria. Hilo halihojiwi, ni utekelezaji tu, kama ilivyofanywa kwa maeneo mengine ya migodi, barabara, hifadhi za misitu, n.k.

Kwani nyie ile MAU EVICTION ilikuwaje?
 
Wewe huwa unatanguliza Kenya kwenye kila kitu. Hata mke wako akifirwa najua utasema ni Mkenya amefanya hivyo. Najua ukiwa ndotoni, huwa unaota Wakenya wakikukimbiza kila wakati.

Wale wenye vichwa vibovu kama chako ndiyo waliopata kipondo. Tulia tu sindano iwaingie.
Ile mifugo mnayokuja kuchunga kinyemela Loliondo, sasa imefika mwisho.
 
I'm glad you're simply explaining violence and insecurity, not denying it. Thank you.
Mbona Kunyaland,Uganda,Botswana nk wamewahamisha watu,mbona mnapiga Sana makelele kwa Tanzania? 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220611-084348.png
    Screenshot_20220611-084348.png
    41.6 KB · Views: 9
  • Screenshot_20220611-084455.png
    Screenshot_20220611-084455.png
    308.9 KB · Views: 8
  • Screenshot_20220611-084421.png
    Screenshot_20220611-084421.png
    369.2 KB · Views: 9
  • Screenshot_20220611-081546.png
    Screenshot_20220611-081546.png
    123 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220611-081603.png
    Screenshot_20220611-081603.png
    67.8 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220611-081458.png
    Screenshot_20220611-081458.png
    98.4 KB · Views: 9
  • Screenshot_20220611-081135.png
    Screenshot_20220611-081135.png
    156.6 KB · Views: 11
Ujinga wao ndiyo unaowagharimu.
Kutwaa ardhi kwa manufaa au masilahi ya Taifa ni jambo la kisheria. Hilo halihojiwi, ni utekelezaji tu, kama ilivyofanywa kwa maeneo mengine ya migodi, barabara, hifadhi za misitu, n.k.

Kwani nyie ile MAU EVICTION ilikuwaje?
Tatizo ni masai wa Kenya wanaona Masai wa Tanzania wakihamishwa watashindwa kuingiza mifugo Tanzania! Ndo maana NGOs zao ziko busy kuwahimiza Masai wa Tanzania wagome!
 
Ni unyama uliokithiri. Alafu CCM wameanza kukamata journalists. Hakuna uhuru wa wanahabari Tanzania ndio maana watanzania wote hadi hapa jf hutazama TV station na habari za Kenya View attachment 2256950

na pia huku jf nimegundua, majina za hawa watanganyika wote ziko Coded. hivi hakuna ata moja aliyeandika jina lake rasmi kama vile mimi Fredy ama ata Tony, iamLee, Don YF, MwathaDan, etc... kisa.! wanahofia kukua lebeled na kuchunguzwa na maofisa wa 'Usalama wa Taifa' kwa sensitive content zozote watakazo weza kupost humu. pia hakuna siku utawahi ona picha ama nyuso za hawa watu 🤔🤔🤔🤔🤔.!!??
 
na pia huku jf nimegundua, majina za hawa watanganyika wote ziko Coded. hivi hakuna ata moja aliyeandika jina lake rasmi kama vile mimi Fredy ama ata Tony, iamLee, Don YF, MwathaDan, etc... kisa.! wanahofia kukua lebeled na kuchunguzwa na maofisa wa 'Usalama wa Taifa' kwa sensitive content zozote watakazo weza kupost humu. pia hakuna siku utawahi ona picha ama nyuso zao live .!!??
Ata vyeti hakuna mtanzania anaweza post hapa sababu wanaogopa watachunguzwa na watafuatwa na makaburu wa CCM.
Tanzania ni nchi ya kipuzi sana. Hamna uhuru wa habari na ni maskini. Terrible combination
 
Back
Top Bottom