Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

na pia huku jf nimegundua, majina za hawa watanganyika wote ziko Coded. hivi hakuna ata moja aliyeandika jina lake rasmi kama vile mimi Fredy ama ata Tony, iamLee, Don YF, MwathaDan, etc... kisa.! wanahofia kukua lebeled na kuchunguzwa na maofisa wa 'Usalama wa Taifa' kwa sensitive content zozote watakazo weza kupost humu. pia hakuna siku utawahi ona picha ama nyuso zao live .!!??
Kawaida reasoning yako ipo chini Sana, Sasa ukitumia jina Kama Tony, Kuna Tony wangapi huko Kenya?, Kwanza Kuna uhakika gani kwamba kweli jina lake ni Tony?. Ninyi siku zote ni watu wenye uwezo mdogo Sana wa kufikiria mambo, matokeo yake ni uzushi na kuandika upumbavu hapa JF

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
DEMOCRATIC country you said hehe eti mama anajali.. nkt! The best part with the truth you can never hide it for long

Tanzania wanatishiwa hadi na Spika wa bunge. 🤣 🤣 🤣 Badala asaidie kutatua shida kisheria, she is issuing threats.
 
Tatizo ni masai wa Kenya wanaona Masai wa Tanzania wakihamishwa watashindwa kuingiza mifugo Tanzania! Ndo maana NGOs zao ziko busy kuwahimiza Masai wa Tanzania wagome!
Wewe wacha upuuzi. Lazima uingize Kenya kwenye upuuzi wenu? Nyie wenyewe mnawaumiza na kuwauwa Wamaasai wenu halafu mnasingizia Wakenya. Polisi wanaofanya unyama huu ni Watanzania, risasi ni ya Tanzania, bunduki inayofanya unyama huu ni ya Tanzania. Sasa Kenya inaingilia wapi?
 
Daraja la
IMG_20220611_111101.jpg
IMG_20220611_111055.jpg
IMG_20220611_111103.jpg
Kigongo busisi


IMG_20220611_111051.jpg
 
Halafu kunyaland capital inaizidi Lagos by faaar.
Uongo kabisa.
Sasa Lagos ambako wanapata one hour of electricity per day unaweza kulinganisha na Nairobi ambapo hakuna black-outs unless kuna maintenance, na maintenance yenyewe haifanyiki kila siku? Kenya unaweza kuenda hata miezi miwili bila blackout. Shebby01 ambaye ni Mtanzania anayeishi Kenya anaweza kuconfirm kwamba ninachosema ni ukweli. Sisi hatuna tatizo la blackout kama Nigeria. Tanzania ina more blackouts kushinda Kenya. Huo ndio ukweli mchungu.
 
Sasa unapost screen shot ili iweje? Nilikuwa tayari kwa lolote lile.
Sasa ndiyo nmekuonesha jinsi gani tunapaswa ku deal na wapumbavu wanaodhani wao ndiyo viongozi humu kwenye huu uzi, mtu akikurupuka na wewe unakurupuka naye pasipo kumuangalia usoni.
 
Rasilimali za Biharamulo na Ngara mkabila JPM alizotaka zimezwe na mkoa wa Chato! Saahii anziangalia huko aliko.








NOTE
Rasilimali za Wilaya ya Biharamulo tayari zilikuwa zinaandikwa na suffix Chato maana jamaa alikuwa akijiandaa kuzimega na kuwa sehemu ya mkoa wa Chato! Hata hifadhi ya Bugiri ilianza kuandikwa Bugiri-Chato.
 
Host Government Agreement (HGA) signed btn GoT n ExxonMobil n Equinor

Anecdote
  1. US$ 30 bln LNG plant at Likongo Lindi,
  2. Special Economic Zones (SEZ) n new polytechnic university for gas, oil n electricity to be built in Lindi,
  3. Ship building port n supporting infrastructure like airstrip in Lindi,
  4. Why Kalemani (MP Chato) former minister of Energy had to be dropped.
 
Back
Top Bottom