Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sikuizi ni continental level tu. Regional level tumewachia wabongo.

Image
4 AREAS: 👇🏽👇🏽
kisha watadai eti nairobaa is pachafu na 60%slums, nairobaa hakuna maji, nairobaa hakuna security, nairobaa hakuna food, nairobaa usafiri ni wasiwasi.. etc


Screenshot_20220611-013716_Chrome.jpg
nb: nairobi is more friendly, exciting and full of enthusiasm than either cape town or lagos.!😳👏🏽👏🏽
 
Du ase.. nikisema ni udhaifu wa mama.. nitaitwa sukumagang...
Unaumiza watu wako ili kupora ardhi yao uwape waarabu? Huu ni ujinga..
Utaifa uko wap? Uongozi wa kutetea watu wako na resources zao uko wap?
Wasaidiz wake wanafanya nn kuruhusu haya mambo
Kama wanataka hela si mikopo mingi tu wanapewa
Kuna watu waliongelea hii issue wakaitwa wadini na akina Zitto Kabwe.
 
Ni unyama uliokithiri. Alafu CCM wameanza kukamata journalists. Hakuna uhuru wa wanahabari Tanzania ndio maana watanzania wote hadi hapa jf hutazama TV station na habari za Kenya View attachment 2256950
Fuatilia MAU forest series kabla ya kufungua mdomo wako, nani anafuatilia TV za Kenya?, zaidi ya ukabila nini kinasababisha mtanzania kufuatilia TV stations za Kenya?.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
4 AREAS:
kisha watadai eti nairobaa is pachafu na 60%slums, nairobaa hakuna maji, nairobaa hakuna security, nairobaa hakuna food, nairobaa usafiri ni wasiwasi.. etc


View attachment 2256899 nb: nairobi is more friendly, exciting and full of enthusiasm than either cape town or lagos.!
Kwani hayo yote uliyomention hapo juu ni ya uongo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni unyama uliokithiri. Alafu CCM wameanza kukamata journalists. Hakuna uhuru wa wanahabari Tanzania ndio maana watanzania wote hadi hapa jf hutazama TV station na habari za Kenya View attachment 2256950
What is a journalist?, In Kenya even an MP who has the responsibility to protect his people was arrested on the same matter


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
joto la jiwe njoo utuhubirie about your peaceful nation. You know every killing that happens in Kenya tukiwaambia there's worse in your country mnakana.
Unajua maana ya worse? Hao walitishia mishale Serikali wakati wanajua kuna Sheria ya Uhifadhi wanakiuka..

Wanatakiwa kunyooshwa mara moja Ili kukomesha upuuzi.
 
Kuna mbwa tunataka waje watolee ufafanuzi, tena na hiyo hii issue ya loliondo ndiyo inakwenda kuonesha rangi halisi ya mama.
Kuna uwezekano mkubwa mama Samia Suluhu pia ni mkabila, hawapendi watu wa kaskazini, anapendelea Zanzibar
Tony254

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Licha ya propaganda,Utalii wa Tanzania unazidi kuchanja mbuga hususani Zanzibar.

Mashirika ya ndege yanazidi kurejesha safari zake zilizokoma hapo awali 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220611-071446.png
    Screenshot_20220611-071446.png
    93.9 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220606-184120.png
    Screenshot_20220606-184120.png
    67.1 KB · Views: 10
Kiswahili kufanywa lugha ya Kimataifa,kuanzishwa kila Balozi na pia kufundishwa kwenye vyuo vikuu mbalimbali Duniani👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220606-214950.png
    Screenshot_20220606-214950.png
    93.9 KB · Views: 9
  • Screenshot_20220607-132436.png
    Screenshot_20220607-132436.png
    133.3 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220607-132513.png
    Screenshot_20220607-132513.png
    49.4 KB · Views: 10
Back
Top Bottom