Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzee hakua mtazamaji wa maendeleo ya wenzake, he was a doer and he has that competitive mindset.
I bet now ile highway ya Dar to Dom ingekua imefika mbali, maana aliona mikopo inamchelewesha akaona aanze mwenyewe Dar to Kibaha, na km ingekua bado now angekua anaitafta Mlandizi km sio Moro.
He was waiting for no one, just on his own pace.
Mkopo alikosa baada ya kuvunja nyumba za watu hata baada ya katazo la mahakama, tatizo humu ndani kuna watu mnapenda sana kuabudu watu huu ujinga sijui unasababishwa na nn,Yani kila siku mko busy kutajataja watu hapa ilhali Wenzetu wanamaendeleo kutuzidi na hawana huo muda wa kuabudu viongozi wao
 
I beg to differ with u humbly! Aside projects in Chato sidhani kama alikuwa na speed hiyo kwa miradi ya taifa! Tena kuna miradi aliisimamisha kibabe, saa hii serikali inalipia baada ya kushindwa kesi! Alikuwa controversial!!
Wacha kupotosha kwa misingi ya kutafuta attention, wewe unajua iliyo kweli na unajua fika kwamba even ur opinions zilisikilizwa na GoT kipindi cha Magufuli, unataka tuweke ushahidi humu wa mawazo yako kusikilizwa? Leo hii husikilizwi tena watu wapo busy kupiga pesa huku wanatamba na miradi ile ile ya awamu ya tano, nothing new to show, unapiga kelele za Chato, kwn Chato iko wapi? Nje ya Tz? Je Chato inazidi investment za Dar au Dodoma au Mwanza? Wacha mambo yako wewe.
 
Siku 5 zilizopita Forbes magazine ilideclare kwamba Lebron James ni dollar billionaire. Lebron James ni basket baller wa pili kuwa dollar billionaire baada ya Michael Jordan.
 
Mkopo alikosa baada ya kuvunja nyumba za watu hata baada ya katazo la mahakama, tatizo humu ndani kuna watu mnapenda sana kuabudu watu huu ujinga sijui unasababishwa na nn,Yani kila siku mko busy kutajataja watu hapa ilhali Wenzetu wanamaendeleo kutuzidi na hawana huo muda wa kuabudu viongozi wao
Hiyo tabia ya kutowapa heshima yao viongozi waliofanya makubwa ndiyo inayowatafuna hayo mataifa unayoyataja.

Mtu akifanya makubwa lazima apewe sifa zake, kwanza inafanya wanaofatia kutaka kufanya makubwa ili wakumbukwe kama wenzao, America mpk kesho wanamuabudu George Washington, Great China mpk kesho wanamuabudu Mao Tse tung, India mpk kesho wanamuabudu Gandhi hao wasiowapa heshima viongozi wao waliofanya makubwa huenda hawana wa kumpa heshima, unataka walipe heshima jiwe?
 
Mkopo alikosa baada ya kuvunja nyumba za watu hata baada ya katazo la mahakama, tatizo humu ndani kuna watu mnapenda sana kuabudu watu huu ujinga sijui unasababishwa na nn,Yani kila siku mko busy kutajataja watu hapa ilhali Wenzetu wanamaendeleo kutuzidi na hawana huo muda wa kuabudu viongozi wao
Tunaomba ushahidi kwamba mkopo alikosa kwasababu ya kuvunja Nyumba za watu

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
I beg to differ with u humbly! Aside projects in Chato sidhani kama alikuwa na speed hiyo kwa miradi ya taifa!

Tena kuna miradi aliisimamisha kibabe, saa hii serikali inalipia baada ya kushindwa kesi! Alikuwa controversial!!

Watu waliokuwa wanaweza kumpinga walikuwa kama wakina Msukuma na Gwajima na wale vigogo!

Ukimpinga na ukiwa nje ya watu wa kabila lake unaondoka!

Tusisahau uporaji kutoka kwa wafanyabiashara!
Mkuu, hili la kwamba Magufuli alikua akijali watu wa kabila lake ulilijua lini?, Mkuu sidhani Kama unamtendea haki. Magufuli alikua na mapungufu mengi Sana, katili, kiburi, aliendesha nchi kwa mkono wa chuma, alisiriga Katiba, hakuwa akisikiliza ushauri, na mengine mengi, lakini hili la ukabila, ninapingana na wewe, Kama unaviashiria vya ukabila wa Magufuli, ebu tuwekee wazi mkuu.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kenya chini ya Zuzu ilikuwa inalamba matako ya Mwingereza kipindi hiki! Cha ajabu wana uchumi unashindana na sisi badala ya kuwa wanashindana na SA kama malipo ya ukuhuda!
Wacha zako. Kenya iliongozwa na dictator mjinga ambaye aliharibu uchumi wetu kwa miaka 24. Kuna wakati tulikuwa na 0% gdp growth. Barabara zilikuwa hovyo na uchumi ulikuwa umedorora sana. Wakenya walipitia mateso sana. Nyie mlikuwa mnapigana vita vya kuikomboa Africa, sisi tulikuwa tunapigana na dictator ambaye alikuwa anauwa wapinzani na kuwafunga jela. Unasema kwamba Kenya ilistahili kuwa level ya South Africa ilhali unasahau kwamba tulikuwa tunapigana kumuondoa dictator madarakani.
 
Mkuu, hili la kwamba Magufuli alikua akijali watu wa kabila lake ulilijua lini?, Mkuu sidhani Kama unamtendea haki. Magufuli alikua na mapungufu mengi Sana, katili, kiburi, aliendesha nchi kwa mkono wa chuma, alisiriga Katiba, hakuwa akisikiliza ushauri, na mengine mengi, lakini hili la ukabila, ninapingana na wewe, Kama unaviashiria vya ukabila wa Magufuli, ebu tuwekee wazi mkuu.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hujawahi kukosea mkuu, cku ukikosea kwa muono wangu nitakwambia.
 
Hiyo tabia ya kutowapa heshima yao viongozi waliofanya makubwa ndiyo inayowatafuna hayo mataifa unayoyataja.

Mtu akifanya makubwa lazima apewe sifa zake, kwanza inafanya wanaofatia kutaka kufanya makubwa ili wakumbukwe kama wenzao, America mpk kesho wanamuabudu George Washington, Great China mpk kesho wanamuabudu Mao Tse tung, India mpk kesho wanamuabudu Gandhi hao wasiowapa heshima viongozi wao waliofanya makubwa huenda hawana wa kumpa heshima, unataka walipe heshima jiwe?
Labda sijui heshima manake nn,
Naona kuna mahali umenitaja na kusema suala la mishahara, Kuna mikataba ,sheria na utaratibu ambazo zipo na kitaalamu zinatambulika,suala la kuongeza mishahara halihusiani na ujenzi wa madaraja ama ujenzi wa aina yoyote ile...Sasa bad enough unapogusa maslahi ya watu usitegemee ueleweke watakuelewa wale ambao hawana direction na maisha yao tu.

Raisi ni mwanasiasa wako watu wanaofanya kazi lazima awathamini Jpm hakua anaheshimu wafanyakazi alikua anaamini yeye mwenyewe ndio anaweza kufanya kazi,Kitu ambacho sio kweli,Binafsi naweza sema alijitahidi kufanya kazi ila kipengele icho sijawahi kumkubali hata siku 1
 
Labda sijui heshima manake nn,
Naona kuna mahali umenitaja na kusema suala la mishahara, Kuna mikataba ,sheria na utaratibu ambazo zipo na kitaalamu zinatambulika,suala la kuongeza mishahara halihusiani na ujenzi wa madaraja ama ujenzi wa aina yoyote ile...Sasa bad enough unapogusa maslahi ya watu usitegemee ueleweke watakuelewa wale ambao hawana direction na maisha yao tu.

Raisi ni mwanasiasa wako watu wanaofanya kazi lazima awathamini Jpm hakua anaheshimu wafanyakazi alikua anaamini yeye mwenyewe ndio anaweza kufanya kazi,Kitu ambacho sio kweli,Binafsi naweza sema alijitahidi kufanya kazi ila kipengele icho sijawahi kumkubali hata siku 1
Hayo ni mawazo yako mkuu na tunayaheshimu ila jpm alikubalika ndani na njee ya tanzania na ilo lipo wazi bila chenga
 
Back
Top Bottom