Kile Chuma kilikua kina vision sana. I bet majirani now wanapumua maana kasi yake ilikua sio ya kitoto.
We were competing on everything, wakijenga flyover Mzee huyu hapa na zake, wanajenga SGR, Mzee huyu hapa anawapumulia pembeni with a superior SGR. wana Shirika la ndege la kichovu chovu mzee huyu hapa na mindege yake brand new, wanajenga bandari mzee huyu hapa anapanua bandari 4 at per na mimeli maziwa yote.
I real do miss him...the competitive mindset, uthubutu, confidence, execution mindset, speed, accuracy and with high standard. Kifupi alikua mtu wa kazi na kazi zilimkubali.
10yrs with him tungekua a superior country within a EA block coz no one angetaka kupitia kwa jirani while kila kitu kinapatikana kwetu bt now hakuna namna lets hope for the best tunakwenda ila kiukweli kasi imepungua.
Namshukuru Sana Mungu kwa kunipa uhai nikaziona kazi za bwana yule, nimeona kazi za maraisi wa4 nikiwa na akili timamu bt Bwana yule was something special.