KENPAULITE
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,511
- 3,313
Umesoma reason ukajua ni kwanini wamerevoke na hio license ni gani?
Umesoma reason ukajua ni kwanini wamerevoke na hio license ni gani?
@Tony254Ni suala la mda tu
Tangu nipost Icardi akiwa giraffe Manor ya Nairobi alafu Tz_one akaisifia hawachoki kupost hii Serval cat yao ya Engare Nairobi. Inferiority complex inawatafuna kuwatafuna.🤣🤣Low budget giraffe manor
Wamemsugua mafuta mgongoni bradhee. Anawaita my friends siku hizi.🤣🤣MTU yeyote ana support upuzi wa hawa wadanganyika hapa ni mjinga tu kama hao watanzania![]()
and u xpect a construction site to be clean and neat.!?Good morning ka Nairobi, hiyo apo unayoiona ndiyo wanaiita prism tower, ukute imepigwa kwa juu kiupande upande unaweza kusema kweli iko vzr ila ground sasaView attachment 2252812
kisa..... reporti kimeandaliwa na tanzanian citizen newspaper journalist. wht do u expect.!Ni suala la mda tu
Naona kama unachanganya mambo mawili hapa. Kuna ile kutaka kuwa always right na kuna ile kukataza mwenzako kuongea jinsi anavyotaka. Kupenda kuwa always right sio tatizo kubwa kwa sababu Wakenya wengi na Watanzania wengi wanaipenda nchi zao kwa hivyo wana haki ya kutetea nchi zao. Ila tatizo la kukandamiza haki ya mwenzako kuzungumza au kutoa maoni yake ndio tatizo hapa mkuu kwa sababu hio ni kukandamiza freedom of speech na freedom of association. Yaani Mkenya au Mtanzania ana haki ya kuongea na kutangamana na mtu yeyote yule bila haki yake kukandamizwa.Pole Sana, ila kwa ujumla wakenya mpo na tatizo la kutokuvumiliana, yaani mnadhani ninyi mpo na haki ya kusikilizwa zaidi ya wengine, kwamba mnadhani ninyi mpo sahihi kuliko watu/nchi zingine huwa ninawaita "We are always right, while others are wrong people"
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Shirika limejiharia km nchi yao




Maneno yako yanamkata maini soja mfagiaji na dadake mwarabu koko.





hapa ndo machungu ilianza. Tusi na nusu hili kwa ule watchman
NairobiWalkerYet your the one who argue facts? by insulting the dead for the past one year now still countingAnother great morning for Tanzanians to be stupid and argue foolish things all day

congratulation another dunderhead



































Ninyi wakenya hamuwezi pata Amani katika nchi yenu kwasababu ya huu upumbavu wenu, lazima muheshimu uhuru na nawazo ya watu wengine. Endeleeni kuchinjana kwasababu ya tofauti zenu ndogondogo miongoni mwenu, hivi kwanini hamjiulizi iweje Tanzania nchi ambayo inapakana na Kenya, lakini kunatofauti kubwa Sana katika kipengele cha Amani, Tanzania ipo namba 57 wakati Kenya ipo nafasi ya 125 kwa amani duniani?MTU yeyote ana support upuzi wa hawa wadanganyika hapa ni mjinga tu kama hao watanzania![]()
Who magufala?Yet your the one who argue facts, by insulting the dead for the past one year now still countingcongratulation another dunderhead
![]()
Not that. On that you're wrong. You're the dunderhead.Dunderhead![]()
Eneo hii watu wa kuwekwa Zizi moja kama kondoo wanajulikana.Ninyi wakenya hamuwezi pata Amani katika nchi yenu kwasababu ya huu upumbavu wenu, lazima muheshimu uhuru na nawazo ya watu wengine. Endeleeni kuchinjana kwasababu ya tofauti zenu ndogondogo miongoni mwenu, hivi kwanini hamjiulizi iweje Tanzania nchi ambayo inapakana na Kenya, lakini kunatofauti kubwa Sana katika kipengele cha Amani, Tanzania ipo namba 57 wakati Kenya ipo nafasi ya 125 kwa amani duniani?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hapana Tony, haya Mambo yanahusiana kwa karibu na kwa ujumla ni kitu kimoja. Wakenya mnahisi ninyi mpo sahihi kwa Kila jambo, katika kusema na kutenda.Naona kama unachanganya mambo mawili hapa. Kuna ile kutaka kuwa always right na kuna ile kukataza mwenzako kuongea jinsi anavyotaka. Kupenda kuwa always right sio tatizo kubwa kwa sababu Wakenya wengi na Watanzania wengi wanaipenda nchi zao kwa hivyo wana haki ya kutetea nchi zao. Ila tatizo la kukandamiza haki ya mwenzako kuzungumza au kutoa maoni yake ndio tatizo hapa mkuu kwa sababu hio ni kukandamiza freedom of speech na freedom of association. Yaani Mkenya au Mtanzania ana haki ya kuongea na kutangamana na mtu yeyote yule bila haki yake kukandamizwa.

53. Uvinza > Malagarasi 150 kilometers
🛣️. 4773 km
Wewe ulipojibu post ya The best 007 alipokua akisifia timu ya wasichana ya U17, ukaamua kulinganisha na timu zenu zilizofanya vizuri, hiyo sio "inferiority complex?Tangu nipost Icardi akiwa giraffe Manor ya Nairobi alafu Tz_one akaisifia hawachoki kupost hii Serval cat yao ya Engare Nairobi. Inferiority complex inawatafuna kuwatafuna.![]()


. Upumbavu ni gharama Sana.