Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

According to UNESCO, Tanzania has a large number of literacy people in East and Central Africa followed by Uganda and Kenya.
JamiiForums-986715324.jpg
JamiiForums-1725422490.jpg
 
Pole Sana, ila kwa ujumla wakenya mpo na tatizo la kutokuvumiliana, yaani mnadhani ninyi mpo na haki ya kusikilizwa zaidi ya wengine, kwamba mnadhani ninyi mpo sahihi kuliko watu/nchi zingine huwa ninawaita "We are always right, while others are wrong people"

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Naona kama unachanganya mambo mawili hapa. Kuna ile kutaka kuwa always right na kuna ile kukataza mwenzako kuongea jinsi anavyotaka. Kupenda kuwa always right sio tatizo kubwa kwa sababu Wakenya wengi na Watanzania wengi wanaipenda nchi zao kwa hivyo wana haki ya kutetea nchi zao. Ila tatizo la kukandamiza haki ya mwenzako kuzungumza au kutoa maoni yake ndio tatizo hapa mkuu kwa sababu hio ni kukandamiza freedom of speech na freedom of association. Yaani Mkenya au Mtanzania ana haki ya kuongea na kutangamana na mtu yeyote yule bila haki yake kukandamizwa.
 
MTU yeyote ana support upuzi wa hawa wadanganyika hapa ni mjinga tu kama hao watanzania
Ninyi wakenya hamuwezi pata Amani katika nchi yenu kwasababu ya huu upumbavu wenu, lazima muheshimu uhuru na nawazo ya watu wengine. Endeleeni kuchinjana kwasababu ya tofauti zenu ndogondogo miongoni mwenu, hivi kwanini hamjiulizi iweje Tanzania nchi ambayo inapakana na Kenya, lakini kunatofauti kubwa Sana katika kipengele cha Amani, Tanzania ipo namba 57 wakati Kenya ipo nafasi ya 125 kwa amani duniani?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Ninyi wakenya hamuwezi pata Amani katika nchi yenu kwasababu ya huu upumbavu wenu, lazima muheshimu uhuru na nawazo ya watu wengine. Endeleeni kuchinjana kwasababu ya tofauti zenu ndogondogo miongoni mwenu, hivi kwanini hamjiulizi iweje Tanzania nchi ambayo inapakana na Kenya, lakini kunatofauti kubwa Sana katika kipengele cha Amani, Tanzania ipo namba 57 wakati Kenya ipo nafasi ya 125 kwa amani duniani?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Eneo hii watu wa kuwekwa Zizi moja kama kondoo wanajulikana.
 
Naona kama unachanganya mambo mawili hapa. Kuna ile kutaka kuwa always right na kuna ile kukataza mwenzako kuongea jinsi anavyotaka. Kupenda kuwa always right sio tatizo kubwa kwa sababu Wakenya wengi na Watanzania wengi wanaipenda nchi zao kwa hivyo wana haki ya kutetea nchi zao. Ila tatizo la kukandamiza haki ya mwenzako kuzungumza au kutoa maoni yake ndio tatizo hapa mkuu kwa sababu hio ni kukandamiza freedom of speech na freedom of association. Yaani Mkenya au Mtanzania ana haki ya kuongea na kutangamana na mtu yeyote yule bila haki yake kukandamizwa.
Hapana Tony, haya Mambo yanahusiana kwa karibu na kwa ujumla ni kitu kimoja. Wakenya mnahisi ninyi mpo sahihi kwa Kila jambo, katika kusema na kutenda.

Kawaida mtu yeyote anayejiona kwamba wakati wote yeye yupo sahihi, basi hataki kuona watu wengine wanaofanya tofauti na vile anavyopenda au anavyotaka yeye.

Kenya Kama nchi au Kama wakenya mnalo Hilo tatizo Sana, na ndio sababu Kenya inakwaruzana na majirani wake wote, mara utasikia Kenya na Uganda wanagombania Mambo ya maziwa ya lato, mara sukari, mara ushuru wa magari, ukija Kenya na Tanzania ndio kabisaa migogoro haikatiki.

Tanzania tukichoma vifaranga ni makosa, lakini Kenya mkizuia mahindi yetu kwa kisingizio cha "aflotoxin" hiyo ni sawa.

Anachokifanya "Nairobiwalker" hapa kukuchagulia nini la kusema, ndicho mlichomfanyia Geza Ulole huko Skyscraper city mwisho alizuiliwa na mkampiga ban. Jambo la kushangaza, wewe unasifia kwamba Geza ni miongoni mwa watanzania hapa JF ambaye yupo independent, lakini huko Skyscraper city, hiyo indepence yake hamuhitaki



Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Tangu nipost Icardi akiwa giraffe Manor ya Nairobi alafu Tz_one akaisifia hawachoki kupost hii Serval cat yao ya Engare Nairobi. Inferiority complex inawatafuna kuwatafuna.
Wewe ulipojibu post ya The best 007 alipokua akisifia timu ya wasichana ya U17, ukaamua kulinganisha na timu zenu zilizofanya vizuri, hiyo sio "inferiority complex?. Upumbavu ni gharama Sana.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom