Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Eneo hii watu wa kuwekwa Zizi moja kama kondoo wanajulikana.
Kwahiyo kwa upumbavu wako huko kote wanakoongoza kwa kuwa nchi zenye Amani duniani, Iceland, New Zealand, Ghana, Botswana, Mauritius kote wanawekwa zizi Moja?. Kwahiyo sifa kubwa ya kutowekwa zizi Moja ni kuchinjana na kubaguana Kama Kenya?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wewe Ochungchung, kama tungekuwa tunaongelea projects za makaratasi ningekuwa nishapost 490km Mombasa - Nairobi dual carriageway. Niulize mbona sijapost hiyo?
Ipo hatua gani?

2022-6-7_9-52-41.PNG
 
Where is the evidence it is U/C n under one project! There is nothing like Nairobi-Mau Summit!

Where is dual carriageway?


BTW the project is cancelled n hence inexistent!

Wewe ndio uli cancel ama ni kingereza huelewi? This project is very much alive.

 
Naona kama unachanganya mambo mawili hapa. Kuna ile kutaka kuwa always right na kuna ile kukataza mwenzako kuongea jinsi anavyotaka. Kupenda kuwa always right sio tatizo kubwa kwa sababu Wakenya wengi na Watanzania wengi wanaipenda nchi zao kwa hivyo wana haki ya kutetea nchi zao. Ila tatizo la kukandamiza haki ya mwenzako kuzungumza au kutoa maoni yake ndio tatizo hapa mkuu kwa sababu hio ni kukandamiza freedom of speech na freedom of association. Yaani Mkenya au Mtanzania ana haki ya kuongea na kutangamana na mtu yeyote yule bila haki yake kukandamizwa.
Sasa kupenda hata kupingana na facts si ujuha? Kuna mtu Nicxie tangu jana anabisha JNHPP is not the largest project in EAC na anataja Ethiopia! Sasa anaambiwa atoe evidence Ethiopia ipo EAC, anaendelea kubisha na kutaja DRC! Aisee mna utaahira!!
 
Wewe ulipojibu post ya The best 007 alipokua akisifia timu ya wasichana ya U17, ukaamua kulinganisha na timu zenu zilizofanya vizuri, hiyo sio "inferiority complex?. Upumbavu ni gharama Sana.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mwanzo huwa simjibu huyo fake bond 7 maanake ni mtu asiye reason hata kidogo. Secondly sijaongelea michezo humu the past couple of days. Fanya research yako vizuri kabla udanganye.
 
Wamemsugua mafuta mgongoni bradhee. Anawaita my friends siku hizi.
Acheni ujinga nyie anyone has a right to air his or her own opinion freely. Sasa nyie mtu akiongea ukweli kiistaarabu huwa mnamkwaza it shows what kind of people you are. You need to change your mentality and stop bringing your life frustrations here.
 
Ninyi wakenya hamuwezi pata Amani katika nchi yenu kwasababu ya huu upumbavu wenu, lazima muheshimu uhuru na nawazo ya watu wengine. Endeleeni kuchinjana kwasababu ya tofauti zenu ndogondogo miongoni mwenu, hivi kwanini hamjiulizi iweje Tanzania nchi ambayo inapakana na Kenya, lakini kunatofauti kubwa Sana katika kipengele cha Amani, Tanzania ipo namba 57 wakati Kenya ipo nafasi ya 125 kwa amani duniani?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Sasa mdanganyika ana uhuru gani wa kifikra kama sio kusifu ccm na hayati magufuli?
 
Kwahiyo kwa upumbavu wako huko kote wanakoongoza kwa kuwa nchi zenye Amani duniani, Iceland, New Zealand, Ghana, Botswana, Mauritius kote wanawekwa zizi Moja?. Kwahiyo sifa kubwa ya kutowekwa zizi Moja ni kuchinjana na kubaguana Kama Kenya?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kuwa na Amani na kuwekwa Zizi moja wapi na wapi? Hizo nchi ulizotaja hazijawekwa zizi moja kama nyinyi. Msijidanganye.
 
Acheni ujinga nyie anyone has a right to air his or her own opinion freely. Sasa nyie mtu akiongea ukweli kiistaarabu huwa mnamkwaza it shows what kind of people you are. You need to change your mentality and stop bringing your life frustrations here.
Mbona hatukumkwaza Walker255 alipoongea kiustaarabu?
 
CBK wajipange kufanya bold decisions

View attachment 2252849
Uchumi wa Kenya hauna mizizi, uchumi wa Kenya unajengwa kutoka nje kwenda ndani, wakati uchumi lazima ujengwe toka ndani kwenda nje Kama ilivyo China na Tanzania
Tony254
Don YF
dyfre

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Sasa mdanganyika ana uhuru gani wa kifikra kama sio kusifu ccm na hayati magufuli?
Kenya mpo na Uhuru gani zaidi ya kusifia viongozi wa kabila lako na kuwaua wale ambao sio kabila lako, kumbuka Tanzani ipo namba 57 na Kenya namba 125 kwa amani duniani, kwa Demokrasia Tanzania 96 na Kenya 98,. Endeleeni kuchinjana

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kuwa na Amani na kuwekwa Zizi moja wapi na wapi? Hizo nchi ulizotaja hazijawekwa zizi moja kama nyinyi. Msijidanganye.
Tunazungumzia Amani, hayo ya zizi Moja umeyaleta wewe baada ya kuona huna "points" za kuelezea kwanini Tanzania imewazidi kwa mbali Sana katika Amani.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Huyu Mkenya aliyekuwa anagombea urais amenyimwa fursa ya kugombea urais akaamua kuchoma voters card (kadi ya kupigia kura) mbele ya watu. Ni kinyume cha sheria kufanya hivyo. Ingekuwa nchi zingine sijui kama huyu angewachwa afanye hicho kitendo mbele ya umma.
 
Back
Top Bottom