Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screen Shot 2022-05-04 at 15.57.53.png
20220605_123750.png
20220517_110148.png
20220605_123723.png

DAR ES SALAAM
 
Aawapii! Unajua Mwanza ina mamilionea wangapi kutokana na shughuli za uchimbaji madini na uvuvi? Mbona basi Mwanza ina watu binafsi wenye meli kubwa na kampuni za uundaji meli kuliko Mombasa?

Mimi huwa sibahatishi. Sasa wewe na hawa walio-like comment yako The best 007 na xng hua tafuteni Mwanza kwenye hii list. Na rafiki yangu Sama boy 255 anayetokea Mwanza anaweza kuwasaidia kutafuta Mwanza kwenye hii list. Na ichoboy01 anayeidharau Mombasa pia anaweza kuwasaidia.

tapatalk_1651168720993.png



Cc tuusan
 
Kaka jiwe ataishi miyoni mwetu milele
Yani ni noma mkuu, hizo A220 zinapiga mzigo kupita maelezo, linaweza likatua sahizi kutoka Hahaya Comoro zen linasafishwa linaelekea mwanza liko full, huku lingine linapakia linaenda Lusaka Harare na lingine Ndola Lubumbashi both at par, hizo Q400 ndio balaa zinazajaza mpk basi, hiyo comment ya jamaa nilitaka niitoe mm leo kwa kuweka picha ya terminal 2 na ku comment "tofauti ya stendi za daladala na airport ni nn?" Nashangaa kumbe kuna mwamba twitter naye kaliona hilo, wakuu Magufuli asamehewe makosa yake hapa duniani mana inawezekana alifanya kosa lkn hakukusudia ilikuwa ni kwa faida ya Taifa na Watz kwa ujumla.
 
Hawa Mbweha wa kike wa kunyaland huwa wakiona The only electrified SGR in East and Central Africa huwa wanaishiwa nguvu kabis! Na hapo bado trains za kisasa hazijatua na zikitua kuna watu watapata vidonda vya tumbo huko Kibera kwenye mabanda yao!
 
Utanionyesha nini, neighbor hood gani kali yenye level za osterbey we jamaa zaidi ya hizo apartments .? Au utaonyesha Karen yenye vumbi kila mahali.?
Umeshinda bongolala. Oysterbay is the best neighborhood in Africa. Ila toka hapo uswazini utembee kidogo
 
Expressway yao nzuri ila hii picha sio yao, Hapa ni Northern Greece. Pia Kenya wanadrive upande kama wa kwetu hapa, ila angalia taa za nyuma za gari (nyekundu) zipo upande wa kulia na za mbele zipo kushoto.
Mkunya keshaiba picha! !
 
Wewe unatupostia video ya 80% bridge na 20% estate.

Video ya estate ni kama hii hapa.



Nikikwambia hakuna neighbor hood kali hapo kwenu kushindana na osterbey I mean it sio hizo vumbi zenu za Karen, this is osterbey 👇
screenshot_20220606-113641_1-jpg.2251990
Screenshot_20220606-113628_1.jpg
chagua wewe sasa utaleta hizo shule zenu au karen yenye vumbi every single street
 

Attachments

  • Screenshot_20220606-113641_1.jpg
    Screenshot_20220606-113641_1.jpg
    116.4 KB · Views: 57
Back
Top Bottom