Hapo sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Maisha ya Tz ni magumu kama huna kazi au biashara yenye mzunguko.....ni wapi maisha ni rahisi kama huna kazi au biashara yenye mzunguko?
Hapa kuna mkenya mmoja alipaita Holland [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Katika hili ninaungana na wewe, Jambo Moja unapaswa na wewe kukubali kwamba, mapato yatokanayo na uzalishaji wa ndani, huwa serikali inapata Kodi, lakini serikali haitozi Kodi kwa pesa inayoingizwa nchini Kama "remittances", zaidi ya gharama za kutuma na kutolea pesa, kwasababu remittances sio matokeo ya "goods and services produced domestically"(GDP)[emoji23][emoji23][emoji23]Katika kikao cha bunge, mbele ya rais Samia, Waziri wa madini Doto Biteko amesema kwamba mapato (sales) ya dhahabu ni Tsh 8.1 trillion. Pia amesema kwamba lengo la makusanyo la wizara ya madini ni Tsh 600 billion kwa mwaka. Sikiliza kutoka dakika 2:57.
Ninamnukuu Waziri Biteko.
"Makusanyo baada ya wewe kuingia kwenye ofisi yameongezeka sana. Tulikuwa tunakusanya, na mauzo yote ya dhahabu nchi nzima ni ya trillioni nane nukta moja tisa. Lakini kwa miezi sita pekee toka umekuja, mheshimiwa tumeshafanya mauzo ya trilioni nne na milioni mia saba arubaini. Kiasi kwamba mheshimiwa rais hatuna wasiwasi, lengo tuliyowekewa la kukusanya bilioni mia sita kwa mwaka kutoka bilioni mia tano themanini tulikuwa tumepangiwa tutalivuka kwa sababu mheshimiwa raisi wewe umeweka msukumo mkubwa sana kwenye miradi hii ya maendeleo."
Sasa nyie watatu mkipinga maneno ya waziri wenu aliyoyasema mbele ya rais wenu mtakuwa wajinga kweli.
chongchung The best 007 coodip1 Lengo la makusanyo la wizara ya madini kwa mwaka ni Tsh 600 billion. Kwa hivyo muwache huo upuuzi wenu wa kusema kwamba mauzo yote ya madini ya $3.6 billion inakwenda GoT.
Asante. Nakubaliana nawe.Katika hili ninaungana na wewe, Jambo Moja unapaswa na wewe kukubali kwamba, mapato yatokanayo na uzalishaji wa ndani, huwa serikali inapata Kodi, lakini serikali hairozi Kodi kwa pesa inayoingizwa nchini Kama "remittances", zaidi ya gharama za kutuma na kutolea pesa, kwasababu remittances sio matokeo ya "goods and services produced domestically"(GDP)[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo "remittances" sio sehemu ya FDI[emoji23][emoji23][emoji23]Asante. Nakubaliana nawe.
Hayo majengo ya dar yamechakaa ajedar na nairobaa mbingu na ardhi..
at the cbd of dar-es-salaam city.!
street level[emoji38]View attachment 2250716View attachment 2250717View attachment 2250718
VS
at the cbd of nairobi city.![emoji91]
street level View attachment 2250721View attachment 2250730View attachment 2250731View attachment 2250727View attachment 2250720
i still remember vividly, some years back, a BBC reporter complementing nairobi street level as being comparable only to those of south africa's major cities
Nimeangalia hii video...mpangilio uko vizuri ,barabara ziko poa but hey mbona hamna nyumba za kueleweka?maukuta marefu hata nyumba huzioni....Oysterbay utabaki kua Oysterbay, hii estate ijaribu shanty Town ya MoshiMilimani in Kakamega looks better than Oyster Bay
Katika kikao cha bunge, mbele ya rais Samia, Waziri wa madini Doto Biteko amesema kwamba mapato (sales) ya dhahabu ni Tsh 8.1 trillion. Pia amesema kwamba lengo la makusanyo la wizara ya madini ni Tsh 600 billion kwa mwaka. Sikiliza kutoka dakika 2:57.
Ninamnukuu Waziri Biteko.
"Makusanyo baada ya wewe kuingia kwenye ofisi yameongezeka sana. Tulikuwa tunakusanya, na mauzo yote ya dhahabu nchi nzima ni ya trillioni nane nukta moja tisa. Lakini kwa miezi sita pekee toka umekuja, mheshimiwa tumeshafanya mauzo ya trilioni nne na milioni mia saba arubaini. Kiasi kwamba mheshimiwa rais hatuna wasiwasi, lengo tuliyowekewa la kukusanya bilioni mia sita kwa mwaka kutoka bilioni mia tano themanini tulikuwa tumepangiwa tutalivuka kwa sababu mheshimiwa raisi wewe umeweka msukumo mkubwa sana kwenye miradi hii ya maendeleo."
Sasa nyie watatu mkipinga maneno ya waziri wenu aliyoyasema mbele ya rais wenu mtakuwa wajinga kweli.
chongchung The best 007 coodip1 Lengo la makusanyo la wizara ya madini kwa mwaka ni Tsh 600 billion. Kwa hivyo muwache huo upuuzi wenu wa kusema kwamba mauzo yote ya madini ya $3.6 billion inakwenda GoT.
Sasa kwa akili yako itaendelea kwenda zanzibar kupitia Mombasa hata baada ya route KIA kuanza? Kutakuwa hamna changes zozote kama direct flights to Znz au KIA?Inaniuamje mombasa imedorola wewe kwann mm Kenya..
So Week iliyopita yote Fly dubai imetua KIA?
Turkish Imetua KIA?
Hizo zinakujaga kipindi ambacho ni high season..ikiwa low season
Fly dubai Inakuja Dar Via Znz
Na Turkish inakuja Dar via Znz, some days sio Via Znz
Hyo edelweiss inakuja High season Zanzibar Via KIA
Hyo Eurowings kila Jumapili Inaenda Zanzibar via Mombasa..
Ukiambiwa facts usiwe unabisha.
Na condor ilikuwa hivyo hvyo..
Kuna kipindi Hizo zote Fly dubai , turkish zinashuka KIA ..then high season ikipungua kuna kua hamna scheduled flights ..
Only to Dar and some to Dar Via Znz
KLM yenyewe kipindi cha low season inapunguza frequency ..
.View attachment 2250592
GoT does not get $3.5 billion. $3.5 billion ni mauzo (sales) ya madini. Wewe endelea kupingana na waziri wenu wa madini.Unachochanganya ni kwamba hiyo Tshs 600 bln ni kodi! Sasa revenue ya gold ni uuzwaji wa dhahabu yenyewe plus related tax i.e. export tax, VAT n royalties! So when GoT gets $3.5 bln means it's own revenue! It has nothing to do with what Barrick n other mining companies get upon selling the gold globally! Wacha kupotosha!
Ndio sio sehemu ya FDI. Lakini remittance ina umuhimu mkubwa katika kujenga uchumi husika.Kwahiyo "remittances" sio sehemu ya FDI[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
How do you manage to tolerate arguing with guys like this?Ndio sio sehemu ya FDI. Lakini remittance ina umuhimu mkubwa katika kujenga uchumi husika.
Wameambiwa wasiseme kilometers ili kuondoa statistics faulty 😂😂😂😂