Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Tena ni over 11k 😂😂😂
Mbona mnaanza kuzipunguza mapema hivi 🤣🤣🤣
Huyo ni Veronicah ambaye hatujui ni nani. Rais Uhuru mwenyewe kwa mdomo wake alisema amejenga 10,000km Sasa mbona unawasikiliza akina Veronicah na rais mwenyewe keshaongea kwa mdomo wake mwenyewe?


