Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

20220601_190535.jpg
20220601_190535.jpg
20220601_190533.jpg
20220601_190530.jpg
20220601_190527.jpg
20220601_190535.jpg
20220601_190530.jpg
 
Uhuru ametumia zaidi ya ksh 1 trillion kwenye mabarabara. Wacha ubishi wewe mtu. Budget ya infrastructure ya Kenya ni ksh 200 billion kila mwaka na zaidi ya nusu ya hii pesa inakwenda kwenye mabarabara. Hio budget inafadhiliwa na taxes na mikopo ambayo GoK imeomba kwa miaka 9. GoK imeomba mikopo zaidi ya ksh 3 trillion. Sasa wewe unaongea kuhusu ksh 1 trillion pekee? Geza Ulole unamsikia mwenzako anavyosema? Kwamba Kenya haiwezi kupata ksh 1 trillion ya kujenga mabarabara.
Kwa ujenzi huo na matumizi hayo ya pesa si Uhuru angechukua tuzo juzi ya miundombinu ambayo Samia amepewa.
 
kwa hivyo hiyo number plate kwenye hiyo gari sio ya Tanzania? 😂 😂
Na wewe leta basi gari likiosha barabara za Nairobi na kinyesi tuone
Umesoma post niliokujibu before au ndo hamnazo🙄
 
Rivian electric trucks zimefika Kenya for testing. 🙌 The Kenyan engineer who helped build the company ni kama ametukumbuka. 😁☺️


Image



Watching the video nimerealize sio gari moja. Ni Rivian kadhaa zimekuwa imported. This is interesting.
 
Kuna mganda amechukua video ndani ya Uhuru gardens. This place is magnificent
 
Back
Top Bottom