Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya hawaelewi hii maneno cz nchi nzima wanaokunywa maziwa ni asilimia 3 pekee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums1230294512.jpg
 
Dar kila corner ni sewage, CBD, uswazi, nje ya offisi ya RC. Kila mahali ni raw sewage. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]

Image

Image
Haven't you noticed anything about cleanliness here? [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
tapatalk_-1759063599_486x648.jpg
 
Mimi ninareport kilichosemwa leo na serikali ya Kenya kwenye sherehe ya madaraka. Whether utaamini au utapinga ni haki yako. Yangu ni kureport yaliyosemwa. Jamaa wa kazi amefanya kazi.
Ianze kwako . Unaamini au?
 
Raw sewage ndani ya Dar CBD nje ya offisi ya mkuu wa mkoa. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]

Image
Hayo maeneo kuna construction ya BRT phase 2 , kwa hiyo some drainage system hazifanyi kazi kwa sababu ya huo ujenzi . Chill out , halafu ilala sio CBD
 
Back
Top Bottom