tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
His excellence pres UK...apo nmekubaliUhuru amerudia tena kwa mara ya pili kwamba amejenga 10,000 km of tarmac roads. Hii ndio itakuwa legacy yake.
His excellence pres UK...apo nmekubaliUhuru amerudia tena kwa mara ya pili kwamba amejenga 10,000 km of tarmac roads. Hii ndio itakuwa legacy yake.
Yaani jamaa king'ang'anizi hatariView attachment 2247146
ofisi ya mkuu wa mkoa iko ilala over 5km from CBD na ushahidi kua hio barabara inajengwa huu hapa
kwann uumie kwann unalia namna hiiView attachment 2247143
View attachment 2247146




Hii kelele yako haitasaidia kutoa hio sewage hapo.Kijana vipi? Mbona unanga'ang'ania hivyo? Umesha ambiwa na kuonyeshwa kuwa under construction bado king'ang'anizi.
Unajua, hii inaonyesha jinsi ilivyo adimu kupata uchafu Tanzania. Ndio maana unaangaika hii ipite.
Barabara nzima hiyo ili fumuliwa tena ilikuwa double road. Imefumuliwa inajengwa upya with BRT.
Aiseeenyie kweli vilaza daa...
Nyie wakina joto la jiwe Geza Ulole na wengine, mnaweza kubishana na mijitu jinga na ng'ang'anizi hivi???Salute
ww ni mjinga wa aina yake kwani ni lazma ofisi ya mkuu wa mkoa iwe CBD au umekariri maisha 😂😂😂😂Kwa hivyo umekubali CBD yenu ni ndogo, ukiingia umetoka. 🤣 🤣 🤣 🤣
ni lazma awe hvo anatafuta njia ya kutokea sasa 😂😂😂 wakishaniona mm hua wanaharisha hapo hapoYaani jamaa king'ang'anizi hatari![]()
It's freaking 5km away. We jamaa vipi? Leo umeamka na chang'aa kichwani au frustration hizi??? DahKwa hivyo umekubali CBD yenu ni ndogo, ukiingia umetoka.![]()
![]()
![]()
![]()
Na malazy bado wanaamini avocado tunatoa kwao 😂Uhuru amesema kwamba Kenya iliexport avocado ya ksh 1 billion in 2013 lakini 2021 Kenya iliexport avocado ya ksh 15 billion.
Kwasababu ni ya umeme, nyinyi hamjawahi kukuwa na reli ya umeme na hamtakuwa nayo kwa miaka 500 ijayo so you are layman of the party.Congrats. You're 5 years late to the party.
Iko sawa hii mkuuuYeah kaka
Host cities ziwe
1.Arusha
2.Mbeya
3.Dar
4 .Zanzibar
5.Mwanza
6.Dodoma
ni lazma awe hvo anatafuta njia ya kutokea sasawakishaniona mm hua wanaharisha hapo hapo






Nyie mna ndege 3 chakavu sisi tuna ndege 11 mpya na tano zinakuja mwakani kufanya fleet iwe 16 brand new aircrafts, no wonder all kenyan passengers substitute KQ for TC.Kwenye ndege mnatugusia wapi by the way?
Kwahyo mnawazidi Egypt, Morocco,Algeria,Nigeria kwa paved roads? You must be a foolNi maumivu kuona kanchi kadogo kama Kenya kakiwa na km nyingi ya paved roads kuliko bonge la nchi Tanzania, ni aibu sana, alafu total road network and connectivity in Africa ni SA pekee is ahead of Kenya, najua hili mtapinga kama ilivyo kawaida yenu.., na unataka kujilinganisha na sisi., nyie bado mko porini tukilinganisha bana, yaani ata Kenya ikibakia na 13,000km in relation to its size, it will still be ahead of Tanzania on average, nyie ni below 15,000km na hiyo size yoote ya nchi!![]()
![]()
![]()
![]()
..,
View attachment 2247056
Hahahaha hawa mbwa aisee waliiweka humu hii picha waki claim ni xpress way ya mchina kumbe waliiba







Bwana ehh... Leo kwenye pita pita yangu nikakutana nayo...Hahahaha hawa mbwa aisee waliiweka humu hii picha waki claim ni xpress way ya mchina kumbe waliiba![]()
Nimecheka kiseng*Iyo iko vyema sanaaa mkuuuReli yetu ya SGR inapigwa fence yote, hii picha nmeipiga mwenyewe kama dk 20 zilizopita.View attachment 2246986View attachment 2246987
How many kilometers of paved roads does those countries have each?Kwahyo mnawazidi Egypt, Morocco,Algeria,Nigeria kwa paved roads? You must be a fool
Eti 5km away 🤣 🤣 🤣 Hata mkijitetea aje, mutatuambia mbona mkona maji ya sewage nje ya offisi ya mkuu wa mkoa.It's freaking 5km away. We jamaa vipi? Leo umeamka na chang'aa kichwani au frustration hizi??? Dah
Duuh huyo soja ni mrembo kweli
...Kwnn anarudia rudia? Hajiamini au? Kama kajenga si akae kmy kwnn anasisitiza? That repetition should alert you about something fishy.Uhuru amerudia tena kwa mara ya pili kwamba amejenga 10,000 km of tarmac roads. Hii ndio itakuwa legacy yake.