ForeverMore
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 812
- 1,942
Sasa hutaki kuwa ujenzi wa double road + BRT unafanyika hapo? Au ili mradi tu kulazimisha tufanane?Wacha kelele ya chura.
Sasa hutaki kuwa ujenzi wa double road + BRT unafanyika hapo? Au ili mradi tu kulazimisha tufanane?Wacha kelele ya chura.
Sasa hutaki kuwa ujenzi wa double road + BRT unafanyika hapo? Au ili mradi tu kulazimisha tufanane?
mm najua maana ya main road na streets hzo unazoonesha ww ndio hzo nkurunah road sijui moi avenue road na mbona haziitwi streets ?? 🤣🤣 au walikosea budaa
tatizo lenu hakuna elimu iliyowasaidia nyinyi zaidi ya kuvukia barabara tu na kujenga magorofa ya matope 😂😂😂😂
siku mombasa itafikia level ya streets za mwanza nitag mm nifunge acc mamaae
mbona picha moja sasa ?? 🤣🤣🤣 zingine ziko wapi ushajua kutaofautosha kati ya main road na streets sasaUnajitia hamnazo tu😂😂😂😂😂, yaani ni too obvious u can't compare Mombasa and any other town in Tanzania nje ya Dar, tusisumbuane tafadhali😂😂😂😂😂, ngojeni wakati wenu utafika tu ata kama sio hiki kizazi chenu, pole naelewa haya maumivu na wivu😂😂😂😂Hizi clips zako nilizihifadhi, unajipiga risasi kwa mguu,Mwanza iko down maze, ni vyema kujipa matumaini 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
View attachment 2247026
So? Una maanisha construction haikufanyika au imeisha?Tweet yako ni ni ya 2021 hio nimepost ni ya last week, you don't make any sense.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Walaaa nimecheka sana !Hii reli yetu ya umeme ingelikuwa Kunyaland isingepigwa fence asilani, na kwakweli kwa jinsi ilivyo na speed kali ingeuwa sn Wakunya, hebu angalia madereva wa Kunyaland walivyo na akili mbovu alafu wawekewe reli ya umemeView attachment 2246996
angalia wapi kwenye afadhali 🤣🤣👇
alafu eti wasoma hawa ??😂😂😂 labda wamesomea kuvuka barabara🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Walaaa nimecheka sana !View attachment 2247118View attachment 2247122View attachment 2247124
Munamwaga mavi ovyo ovyo 🤣 🤣 🤣alafu eti wasoma hawa ??😂😂😂 labda wamesomea kuvuka barabara
hio barabara inajengwa na ukitaka ushahidi sema tu ntakupigia kwa simu yangu mwenyewe 🤣🤣🤣🤣🤣 munaumiza vichwa bure tuYenu ni ndani ya CBD tena nje ya offisi ya mkuu wa mkoa. Aibu kubwa sana hio. 🤣 🤣 🤣
Mkuu wa mkoa anapokea wageni nje ya sewage eti ju barabara inatengenezwa. 🤣 🤣 🤣 Hamna aibu mbele ya wageni.hio barabara inajengwa na ukitaka ushahidi sema tu ntakupigia kwa simu yangu mwenyewe 🤣🤣🤣🤣🤣 munaumiza vichwa bure tu
Bongolalas hawajafikisha hata 50%. 🤣 🤣 🤣 🤣 Watazidii kuisoma number.
kwani laptop per child alinyamba (alishuta)?Uhuru amesema kwamba internet penetration rate ya Kenya in 2022 ni 93% na mobile phone penetration rate ni zaidi ya 100%
nani alikwambia mkuu wa mkoa ofisi yake ipo CBD ?? 😂😂😂😂Yenu ni ndani ya CBD tena nje ya offisi ya mkuu wa mkoa. Aibu kubwa sana hio. 🤣 🤣 🤣
ofisi ya mkuu wa mkoa iko ilala over 5km from CBD na ushahidi kua hio barabara inajengwa huu hapa 😂😂👇👇👇Mkuu wa mkoa anapokea wageni nje ya sewage eti ju barabara inatengenezwa. 🤣 🤣 🤣 Hamna aibu mbele ya wageni.
Kijana vipi? Mbona unanga'ang'ania hivyo? Umesha ambiwa na kuonyeshwa kuwa under construction bado king'ang'anizi.Yenu ni ndani ya CBD tena nje ya offisi ya mkuu wa mkoa. Aibu kubwa sana hio.![]()
![]()
![]()



nyie kweli vilaza daa...
SaluteKwa hivyo umekubali CBD yenu ni ndogo, ukiingia umetoka. 🤣 🤣 🤣 🤣nani alikwambia mkuu wa mkoa ofisi yake ipo CBD ?? 😂😂😂😂
kwann unaongea kwa hasira sana 🤣🤣👇
View attachment 2247140
Acha porojo una bore sana