The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Walisema hii ni imagination





Walisema hii ni imagination





Ziko wapi hizo 23k? Alafu mkiwa humu JF mnakubali ni 23k ila mkiwa twitter mnakataa kata kata, sijui mnamkomoa nani.Inasemekana Kenya ina 23,000 kilometres of paved roads. Hii ni kulingana na serikali ya Kenya. Ujumbe huu umetolewa leo wakati wa sherehe la madaraka. Ujumbe huo unasema kwamba 2013 wakati rais Uhuru anashika usukani wa nchi, Kenya ilikuwa na 13,000 km of paved roads. Uhuru amejenga 10,400 km of paved roads katika miaka 9 ya uongozi wake. Kwa hivyo kwa ujumla Kenya ina zaidi ya 23,000 km of paved roads kulingana na serikali ya Kenya. Teargas kweli Uhuru hacheki na kazi.
Cc tuusan
Cc
Exactly very possible, hata hiyo ni kidogo if u know the total number that uses Mombasa road..,23,000 for 7 days total, some vizuri acha kujifanya hujui kiingereza. Sasa anasema 31,000 per day. Seriously?
Mimi ninareport kilichosemwa leo na serikali ya Kenya kwenye sherehe ya madaraka. Whether utaamini au utapinga ni haki yako. Yangu ni kureport yaliyosemwa. Jamaa wa kazi amefanya kazi.Ziko wapi hizo 23k? Alafu mkiwa humu JF mnakubali ni 23k ila mkiwa twitter mnakataa kata kata, sijui mnamkomoa nani.
Hii reli yetu ya umeme ingelikuwa Kunyaland isingepigwa fence asilani, na kwakweli kwa jinsi ilivyo na speed kali ingeuwa sn Wakunya, hebu angalia madereva wa Kunyaland walivyo na akili mbovu alafu wawekewe reli ya umemeReli yetu ya SGR inapigwa fence yote, hii picha nmeipiga mwenyewe kama dk 20 zilizopita.View attachment 2246986View attachment 2246987



True, watu washazoea expressway, sikuizi hadi mat zinaitumia sana. Yet it's just on pilot phase, when everything is complete itakua a total gamechanger.Exactly very possible, hata hiyo ni kidogo if u know the total number that uses Mombasa road..,
Mwanza kuna uwanja unahitaji Modernisation tu! Hakuhitaji uwanja mpya mikoa mingine ipate fursa nayo!Stadiums zinafaa ziwepo Dodoma, Mbeya, Mwanza na Arusha ku compliment viwanja vya Dar.
mm najua maana ya main road na streets hzo unazoonesha ww ndio hzo nkurunah road sijui moi avenue road na mbona haziitwi streets ?? 🤣🤣 au walikosea budaa
tatizo lenu hakuna elimu iliyowasaidia nyinyi zaidi ya kuvukia barabara tu na kujenga magorofa ya matope 😂😂😂😂
siku mombasa itafikia level ya streets za mwanza nitag mm nifunge acc mamaae
Alafu ata sioni haja ya kuitumia sana, lately chini hakuna jam as such during rush hour, vehicles zimepungua, the traffic ina flow smoothly, only not speed kama juu., gridlock nikama inaisha.True, watu washazoea expressway, sikuizi hadi mat zinaitumia sana. Yet it's just on pilot phase, when everything is complete itakua a total gamechanger.
Hapo sio Dar hawa wanaishi paradiso, hawama slum na wako na magari mengi kuliko New Yorkers 😂 😂 😂 😂 😂Raw sewage ndani ya Dar CBD nje ya offisi ya mkuu wa mkoa. 🤣 🤣 🤣 🤣
![]()
Reli yetu ya SGR inapigwa fence yote, hii picha nmeipiga mwenyewe kama dk 20 zilizopita.View attachment 2246986View attachment 2246987
Kwenye ndege mnatugusia wapi by the way?ati longest dual carriage in East and central Africa? How about Dodoma 110 km ring road? Wacha upumbavu! kwenye reli, meli na ndege hamtugusi hata kidogo!
Ni maumivu kuona kanchi kadogo kama Kenya kakiwa na km nyingi ya paved roads kuliko bonge la nchi Tanzania, ni aibu sana, alafu total road network and connectivity in Africa ni SA pekee is ahead of Kenya, najua hili mtapinga kama ilivyo kawaida yenu.., na unataka kujilinganisha na sisi., nyie bado mko porini tukilinganisha bana, yaani ata Kenya ikibakia na 13,000km in relation to its size, it will still be ahead of Tanzania on average, nyie ni below 15,000km na hiyo size yoote ya nchi! 😂 😂 😂 😂 😂 ..,Ziko wapi hizo 23k? Alafu mkiwa humu JF mnakubali ni 23k ila mkiwa twitter mnakataa kata kata, sijui mnamkomoa nani.