Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kaka sio mchezo kuanzia this March tumempoka rasmi Kenya Airways dominance kwny route ya Dar-Nbo-Dar,amekaa chini, mgonjwa amekataa uji!!!!Hali yake ni mbaya sana na kati ya vitu vilivyoongeza chachu ni kuhamisha flights zote za ATCL kwa route ya Dar-Nbo-Dar Terminal 3. Wanatafuta kwa kutokea kupitia Jambo Jet ila bado kabali inawahusu mpk tuone mbolea inadondoka!
Heheheheeee route ya Nairobi hasa TC 202 inajaza mpk raha, now mpk TC 200 iko vzr yn Wakenya wenyewe kabisa hawapandi KQ wanapanda TC
 
Dar Es Salaam

IMG_1902.jpg
 
Sasa county govt moja ikiruhusiwa kucharge levy au tax kwa malorry basi zote zitafanya hivyo. Sioni kama hilo ni sawa. Sasa nini itaizuia Nakuru county kucharge haya malorry tax kwa maana lazima yapitie Nakuru county. Kisha Busia county itapata tamaa na kufanya vivyo hivyo. Hii itafanya Kenya iwe uncompetitive kwenye logistics sector.
Mimi sijui ila nimefurahia madereva wa Tanzania kuzuia malori ya Kenya kuingia Tanzania pia!
 
Mzee, there is a difference between monitoring an airspace of not only one country by radar and requesting clearance for landing... Hio "kuomba kutua" unaongelea landing clearance where the ATC of the specific airport is responsible, just like take off clearance and taxing clearance... Hata JNIA hawezi kupeana landing clearance ya Kilimanjaro airport.

Kwa the second story sioni mahali Norfolk ilibomiwa na ndege...mbona unaenda off topic
Soma vizuri nilichoandika! Kipindi hicho hamna nchi East Africa ilikuwa na radar ya ku-cover the whole airspace sasa sijui una maana gani ati Kenya ilikuwa ina control EA airspace!
 
Malaya ni yule anayekataa kwao kukiwa kichafu kisha kuikubali mahali kwingine kusafi..fix your slums niggaz..huo ni utopolo wa kihayawani sana
1230.jpg
Sewage_in_the_street_in_Tandale%2C_Dar_es_Salaam_(3233303875).jpg
magomeni-data.jpg
8029130921_e9a5ab0981_b.jpg
 
Back
Top Bottom