Malobabrian
JF-Expert Member
- Jun 12, 2020
- 254
- 298
Najua uyaelewi umeyazoea kuyaona tu kwa runinga ndio uyafahamu...hizo zenu sijui kama ni gari ama chombo cha kukokotea majiHili ni gari au mtambo wa solar unaotembea?!!Acheni masikhara jamani
Najua uyaelewi umeyazoea kuyaona tu kwa runinga ndio uyafahamu...hizo zenu sijui kama ni gari ama chombo cha kukokotea majiHili ni gari au mtambo wa solar unaotembea?!!Acheni masikhara jamani
Heheheheeee route ya Nairobi hasa TC 202 inajaza mpk raha, now mpk TC 200 iko vzr yn Wakenya wenyewe kabisa hawapandi KQ wanapanda TCKaka sio mchezo kuanzia this March tumempoka rasmi Kenya Airways dominance kwny route ya Dar-Nbo-Dar,amekaa chini, mgonjwa amekataa uji!!!!Hali yake ni mbaya sana na kati ya vitu vilivyoongeza chachu ni kuhamisha flights zote za ATCL kwa route ya Dar-Nbo-Dar Terminal 3. Wanatafuta kwa kutokea kupitia Jambo Jet ila bado kabali inawahusu mpk tuone mbolea inadondoka!![]()








Umebadilika sasa..bado ni kwenu na ingali tu vile iliko hakijabadilikaTBT!
Sasa tuongee nini tena na hapo wameshasema "Museum air shows". Kama hujaelewa maana yake ni kwamba hizo ndege za F5 ni antiques na sehemu yake ni museum sio kwenye airbase
Iko poa sana hii.


Umebadilika sasa..bado ni kwenu na ingali tu vile iliko hakijabadilika
Mimi sijui ila nimefurahia madereva wa Tanzania kuzuia malori ya Kenya kuingia Tanzania pia!Sasa county govt moja ikiruhusiwa kucharge levy au tax kwa malorry basi zote zitafanya hivyo. Sioni kama hilo ni sawa. Sasa nini itaizuia Nakuru county kucharge haya malorry tax kwa maana lazima yapitie Nakuru county. Kisha Busia county itapata tamaa na kufanya vivyo hivyo. Hii itafanya Kenya iwe uncompetitive kwenye logistics sector.
Na hapa panakuwaje...Duuu kukiwa na mvua ya siku nzima inakuwaje hapo!!!?

ahsant mkuuIko poa sana hii.
Hapa ni kibera kweli...zuzu la mtu ...mazingira ya dar kwelikweliNaona umepost na mabanda ya kibera!
Soma vizuri nilichoandika! Kipindi hicho hamna nchi East Africa ilikuwa na radar ya ku-cover the whole airspace sasa sijui una maana gani ati Kenya ilikuwa ina control EA airspace!Mzee, there is a difference between monitoring an airspace of not only one country by radar and requesting clearance for landing... Hio "kuomba kutua" unaongelea landing clearance where the ATC of the specific airport is responsible, just like take off clearance and taxing clearance... Hata JNIA hawezi kupeana landing clearance ya Kilimanjaro airport.
Kwa the second story sioni mahali Norfolk ilibomiwa na ndege...mbona unaenda off topic
tatizo letu mbaghala


Na ujayaona tandale pananuka shombotatizo letu mbaghala
sawa dogo, hapa ni kibra kweli 👇🏽👇🏽Naona umepost na mabanda ya kibera!