Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

U

Magufuli angekuwepo ndio alikuwa wa kuona fursa, hawa wengine watakwambia dunia nzima iko hivyo na sisi sio kisiwa.
Wacha tuendelee kusoma binadamu alikuwa nyani [emoji848][emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Baada ya kugundua fighter jet zao ni upuuzi mbele ya fighter jet za Tanzania wakaanza kuziita Chinese!
Ona hapa wamepokea donation 2016 na 2022. [emoji23][emoji23][emoji23]
IMG_1885.jpg


IMG_1886.jpg
 
Nope tanzania air force makaomakuu ni julius nyerere international airport
Sio ngerere!
Sasa JNIA itakuwaje makao makuu ya airforce yenu? Vita vikitokea basi adui kisheria anaruhusiwa kubomb military targets. Sasa adui atabomb JNIA na kusema kwamba hio ni military target. Mimi naona kama Ngerengere ndio makao makuu ya airforce yenu. Lakini kama una evidence kwamba JNIA ndio makao makuu ya airforce yenu basi weka hio evidence nitaikubali.
 
I said you are stupid.

Gorilla warfare are attacks such as those conducted by Al Shabaab in Kenya. Example: Wastgate attack, Garissa University and other attacks on Kenyan soil by Al Shabaab. Simply call it: "hit and run".

Secondly, Tanzania never used any form of Israelian support in 1977 war with Uganda for so many serious reasons, one major reason being: Tanzania broke all diplomatic relations with Israel in1973 when Tanzania became the first African state to recognize "PLO" as a legitimate representative of Palestinian people and allowed the PLO to open an Embassy in Dar es salaam.

Mnajifanya mnajua sana wakati hamjui chochote!

STUPID!
Kingine Israel ilikuwa iki-support apartheid regime SA! Kunyaland ndo ilikuwa ina-buttlick Israel na SA! Na Tanzania kupindua serikali ya Manchar Seychelles was a major blow kwa SA kwa vile refueling stop for SAA to south asia routes ilikuwa-suspended under Albert Rene!
 
Taifa gas giving Kunyaland sleepless nights


MY TAKE
70 trucks of LPG from Tanzania to Kunyaland blocked! I love the fact the Tanzanian drivers resorted to block all trucks from Kenya to Tanzania too!

Sasa county govt moja ikiruhusiwa kucharge levy au tax kwa malorry basi zote zitafanya hivyo. Sioni kama hilo ni sawa. Sasa nini itaizuia Nakuru county kucharge haya malorry tax kwa maana lazima yapitie Nakuru county. Kisha Busia county itapata tamaa na kufanya vivyo hivyo. Hii itafanya Kenya iwe uncompetitive kwenye logistics sector.
 
Kingine Israel ilikuwa iki-support apartheid regime SA! Kunyaland ndo ilikuwa ina-buttlick Israel na SA! Na Tanzania kupindua serikali ya Manchar Seychelles was a major blow kwa SA kwa vile refueling stop for SAA to south asia routes ilikuwa-suspended under Albert Rene!
Uko sahihi kabisa, ndio maana nikamwambia huyu punguani kuna sababu nyingi sana za msingi. Mimi hata sioni cha kubishana na hawa jamaa kuhusu vina na majeshi ni mambo wasio na uelewa nayo kabisa na inaonesha jinsi gani walivyo weupe kwenye ammbo mengine pia.

Labda wana umri mdogo, I dont think kama nitaendelea kujibizana nao - ni kupoteza sana muda kiukweli.
 
Back
Top Bottom