Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You are not even ashamed of mentioning JWTZ in the same sentence with war. Which modern war have you ever won? I know you will tell me the Kagera thing which the main contributer and mastermind was Israel. Are you talking about the same JWTZ which were afraid to go to Mozambique to fight terrorists? Or you are talking about the same JWTZ that were slashed with Pangas in Mozambique? When it comes to modern war, Tanzania has no history.

The subject is way beyond your horizons.

Tanzania has fought and won so many wars. Tanzania is the only country in Africa with a history of interstate wars.

According to late Prof Ali Mazrui, in his Essay, Tanzania is the only sub imperial power in Africa.

Mazrui, a Kenyan Professor, was at the time director of African studies in the university of Michigan.

Why should I waste my time with your likes?
 
U

Magufuli angekuwepo ndio alikuwa wa kuona fursa, hawa wengine watakwambia dunia nzima iko hivyo na sisi sio kisiwa.
Wacha tuendelee kusoma binadamu alikuwa nyani 🤔🤔
Wewe ni mburula tuu mwenye chuki kama huyo unaemshabikia ambae hakuna kitu alifanya kwenye kilimo..

Twende Kazi SSH 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220529-092103.png
    Screenshot_20220529-092103.png
    109.8 KB · Views: 13
  • Screenshot_20220529-091505.png
    Screenshot_20220529-091505.png
    45.1 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220529-092247.png
    Screenshot_20220529-092247.png
    153.3 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220529-092558.png
    Screenshot_20220529-092558.png
    110.6 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220529-092540.png
    Screenshot_20220529-092540.png
    112.5 KB · Views: 12
  • Screenshot_20220529-092453.png
    Screenshot_20220529-092453.png
    97.3 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220529-091550.png
    Screenshot_20220529-091550.png
    48.7 KB · Views: 11
Ndicho nlichokuwa namaanisha, sema niliona kumtaja sana Magu hapa, ntaonekana naleta siasa. Jamaa angetafuta hata dili la mafuta ya Urusi.
Kazi iendelee 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220529-091505.png
    Screenshot_20220529-091505.png
    45.1 KB · Views: 9
  • Screenshot_20220529-091641.png
    Screenshot_20220529-091641.png
    45.9 KB · Views: 8
  • Screenshot_20220529-091610.png
    Screenshot_20220529-091610.png
    50.4 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220529-091550.png
    Screenshot_20220529-091550.png
    48.7 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220529-091747.png
    Screenshot_20220529-091747.png
    211.3 KB · Views: 10
Mkuu, Ngerengere ni kwa ajili ya kumfundisha marubani, kutengeneza ndege na kuunganisha(to assemble) ndege.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hapana Ngerengere ni kamandi kuu ya Anga!

Magufuli azindua uwanja wa ndegevita Tanzania​

7 Machi 2017
Rais Magufuli akifyatua risasi hewani kuashiria ufunguzi wa uwanja wa ndege vita nchini Tanzania

CHANZO CHA PICHA,IKULU YA TANZANIA

Maelezo ya picha,
Rais Magufuli akifyatua risasi hewani kuashiria ufunguzi wa uwanja wa ndege vita nchini Tanzania

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli, amezindua uwanja wa kisasa wa ndegevita wa Ngerengere uliofanyiwa ukarabati baada ya miundombinu ya uwanja huo kuharibika.

Katika hotuba yake Rais Magufuli amelipongeza Jeshi la Tanzania (JWTZ) kwa kazi kubwa linayofanya na pia akamshukuru Rais wa China Xi Jinping na Serikali yake kwa msaada mkubwa iliyoutoa kujenga uwanja huo.

"Mhe. Balozi Lu Youqing naomba unipelekee shukrani zangu za dhati kwa Rais wa China kwa kutoa msaada huu mkubwa wa kujenga uwanja wa ndegevita wa Ngerengere, najua China imetusaidia kujenga Reli ya TAZARA, Kiwanda cha Urafiki na Uwanja wa Mpira, hii yote inathibitisha uhusiano wetu mzuri, urafiki na undugu"

Balozi wa China nchini Tanzania Lu Youqing amesema kujengwa kwa uwanja huo kumeimarisha zaidi uhusiano na ushirikiano kati ya Tanzania na China na amempongeza Magufuli kwa kuendeleza uhusiano huo.

Mbali na kuzindua uwanja huo Magufuli alishuhudia maonesho ya ndege za kivita zilizorushwa kwa mbinu mbalimbali za kivita, ili kutoa heshima

Rais Magufuli azindua uwanja wa ndege vita Ngerengere

CHANZO CHA PICHA,IKULU YA TANZANIA
Maelezo ya picha,
Rais Magufuli azindua uwanja wa ndege vita Ngerengere

Rais Magufuli akihutubia wakati wa ufunguzi wa uwanja wa ndegevita Ngerengere.

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Salvatory Mabeyo amesema ukarabati wa uwanja huo ulioanza tarehe 15 Julai, 2013 umegharimu Tanzania bilioni 137 na milioni 631 ikiwa ni ufadhili wa Serikali ya China na umehusisha kujenga upya njia ya kuruka na kutua ndege yenye urefu wa mita 3,000 upana wa mita 45 na unene wa sentimeta 45.

Jenerali Mabeyo ameongeza kuwa uwanja huo ni miongoni mwa viwanja bora zaidi duniani kwa sasa na una uwezo wa kutumiwa na ndege za aina zote zilizo chini ya Boeing 777 huku akibainisha kuwa pamoja na ndege za kivita pia unaweza kutumiwa na ndege za kawaida za abiria kwa dharula.

Aidha, Magufuli ameahidi kujenga barabara ya lami ya kuunganisha kamandi ya Jeshi la anga ya Ngerengere na barabara kuu ya Dar es Salaam - Morogoro.

 
Hahahaha, Kenya ipo Congo?, Unaumwa wewe. Huko Somalia Kenya sio sehemu ya AMISOM?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kenya is operating independently and that's why most of the time you will see KDF using its own hardware in Somalia na sio za Amison. Hata drones tunatumia huko Iko na flags za Kenya.

These are KDF in Somalia , if they were under Amison you could have seen any green item in them. But unfortunately for you, they don't have it.

15427614_600x2001_jpeg37b61bf13b5257f534bf109d668d3907.jpeg
IMG_20210702_193604.jpg
13378287_screenshot20210410183914_jpeg8908df279fc4b7f4d8fa28fcfe5f623b.jpeg
15096163_img20220310141223_jpegd424f68957e16fe0b8d3c3eeb4d9118e.jpeg
 
We are so useless that Iddi Amin was afraid of attacking Kenya and decided to attack Tanzania which has a stronger military than Kenya? What type of logic is that?
Why should Amin attack a country which was the first country to recognise his government, a country that refused to support his enemies, the only country that he depended it's port for importation of his military equipments even during it's war with Tanzania?, Amin was clever enough not to attack a country that supported him.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
The subject is way beyond your horizons.

Tanzania has fought and won so many wars. Tanzania is the only country in Africa with a history of interstate wars.

According to late Prof Ali Mazrui, in his Essay, Tanzania is the only sub imperial power in Africa.

Mazrui, a Kenyan Professor, was at the time director of African studies in the university of Michigan.

Why should I waste my time with your likes?
Tell me any modern war that Tanzania has ever participated in? The wars that you are talking about are wars of 1960' when parties engaged were actively practicing gorilla wars.
 
Kenya is operating independently and that's why most of the time you will KDF using its own hardware in Somalia na sio za Amison. Hata drones tunatumia huko Iko na flags za Kenya.

These are KDF in Somalia , if they were under Amison you could have seen any green item in them. But unfortunately for you, they don't have it.

View attachment 2243066View attachment 2243068View attachment 2243074View attachment 2243076

Are not these same cowards who stole chocolates from Westgate Mall?

Are not these toy soldiers who sell charcoal in Somalia?
 
Ebu hesabu hizo 32 tuone, Mimi nimekuonyesha around F-5 14 that are ready to fly according to this satellite picture. Remember we also jets.

View attachment 2243034
Who told you these are ready to fly?, Almost all these are grounded one, the same like our 18 MIG-21 look similar in our air bases, but can't fly because they are outdated and for safety reasons

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hapana Ngerengere ni kamandi kuu ya Anga!

Magufuli azindua uwanja wa ndegevita Tanzania​

7 Machi 2017
Rais Magufuli akifyatua risasi hewani kuashiria ufunguzi wa uwanja wa ndege vita nchini Tanzania

CHANZO CHA PICHA,IKULU YA TANZANIA

Maelezo ya picha,
Rais Magufuli akifyatua risasi hewani kuashiria ufunguzi wa uwanja wa ndege vita nchini Tanzania

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli, amezindua uwanja wa kisasa wa ndegevita wa Ngerengere uliofanyiwa ukarabati baada ya miundombinu ya uwanja huo kuharibika.

Katika hotuba yake Rais Magufuli amelipongeza Jeshi la Tanzania (JWTZ) kwa kazi kubwa linayofanya na pia akamshukuru Rais wa China Xi Jinping na Serikali yake kwa msaada mkubwa iliyoutoa kujenga uwanja huo.

"Mhe. Balozi Lu Youqing naomba unipelekee shukrani zangu za dhati kwa Rais wa China kwa kutoa msaada huu mkubwa wa kujenga uwanja wa ndegevita wa Ngerengere, najua China imetusaidia kujenga Reli ya TAZARA, Kiwanda cha Urafiki na Uwanja wa Mpira, hii yote inathibitisha uhusiano wetu mzuri, urafiki na undugu"

Balozi wa China nchini Tanzania Lu Youqing amesema kujengwa kwa uwanja huo kumeimarisha zaidi uhusiano na ushirikiano kati ya Tanzania na China na amempongeza Magufuli kwa kuendeleza uhusiano huo.

Mbali na kuzindua uwanja huo Magufuli alishuhudia maonesho ya ndege za kivita zilizorushwa kwa mbinu mbalimbali za kivita, ili kutoa heshima

Rais Magufuli azindua uwanja wa ndege vita Ngerengere

CHANZO CHA PICHA,IKULU YA TANZANIA
Maelezo ya picha,
Rais Magufuli azindua uwanja wa ndege vita Ngerengere

Rais Magufuli akihutubia wakati wa ufunguzi wa uwanja wa ndegevita Ngerengere.

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Salvatory Mabeyo amesema ukarabati wa uwanja huo ulioanza tarehe 15 Julai, 2013 umegharimu Tanzania bilioni 137 na milioni 631 ikiwa ni ufadhili wa Serikali ya China na umehusisha kujenga upya njia ya kuruka na kutua ndege yenye urefu wa mita 3,000 upana wa mita 45 na unene wa sentimeta 45.

Jenerali Mabeyo ameongeza kuwa uwanja huo ni miongoni mwa viwanja bora zaidi duniani kwa sasa na una uwezo wa kutumiwa na ndege za aina zote zilizo chini ya Boeing 777 huku akibainisha kuwa pamoja na ndege za kivita pia unaweza kutumiwa na ndege za kawaida za abiria kwa dharula.

Aidha, Magufuli ameahidi kujenga barabara ya lami ya kuunganisha kamandi ya Jeshi la anga ya Ngerengere na barabara kuu ya Dar es Salaam - Morogoro.

Donation from Chinese.
 
Back
Top Bottom